Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

Anavyoonekana anajutia kwa alichofanya bro.
Ila na wewe pia humo umoumo.
Akijifungua kaa uongee nae kaka, usikae nacho moyoni mkuu.
Akijifungua muongee afu muamue nini ufanye.
Usije ukateseka saikologia.
Ila na yeye pia, atajisikia vibaya.
Mimi hapana mkuu, nilijitahidi sana kutotembea na wanawake wengi.
 
Mkuu umeongea kitu Chenye logic sana.
 
Kosa lake ni nini? Ulimkuta bikra?
 
Mimi kipindi nipo chuo kuna dada mmoja alikuwa anakosa hata pesa ya kula , na halikuwa hafanyi hayo mambo ya kipuuzi. Mara nyingi alikuwa ananifuata kwa ustaarabu tuu mimi namsaidia mara kadhaa.
Ni tabia ya mtu.
Sijajua huyo dada kwa nini kaamua kusema inawezekana kuna kitu nyuma yake.
Sio rahisi hivyo.

WAPO MABINTI WENGI TUU CHUONI WANAKOSA HATA PESA YA STATIONARY ILA STILL WAPO FRESH KABISA MAMBO YA KIPUUZI HAWANA.
ISIJE AKAWA NA HISTORIA MBAYA DADA HUYO.
 
We jamaa bwana sasa kwani alifamya hivyo kabla ya kuwa naye ay baada kama kabla na hukumkuta bikra kubali tu usije stress
 
Ni kweli lakini huyo demu n mkweli hapaswi kumzingua kabisa... Usikute hata yeye kashadeti na mademu kibao kabla ya kua nae sasa wivu wa nini? Labda kama angemkuta ni bikra
Kaka ni kweli nimedate na wanawake wengi, lakini kumbuka sisi tunazingatia historia ya mwanamke.
 
Ahsante kwa ushauri kaka.
 
Sahihi, kiufupi demu anampenda jamaa. Kinachotakiwa ni jamaa kutake easy atulie na mrembo. Kitendo cha kumwambia ukweli maana yake demu kaamua kujikabidhi akiwa msafi na roho yake kwa jamaa
Mimi naamini kuna kitu nyuma yake bro si rahisi, amemwambia ili iweje sasa, kuna something wenda anaficha usikute ata mimba ni ya mwamba ya chuo.
 
Unaangaika! Sema mmekutana wote watoto... endeleeni kuongeza singlemoms si mmeona ni sifa njema[emoji57]
Single mom si ndio wanajiita strong and independence women [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukweli ni kwamba nimeumia sana, mpaka nahisi kama siyo mimi hivii, upendo umeporomoka nahisi kama nimechukua mwanamke aliyeachika.
Na wakikutana lazima wapashe kiporo kumbuka hao wameachana kwa sababu ya mazingira tu ya Kipato ila mioyo Yao inasemezana vinginevyo
 

It’s up to her hakuna anaejua kwanini kasema ila kibinadamu linabaki kua jambo la kiungwana.
Sasa Kama ana motives zake atajiharibia mwenyewe ukizingatia mvulana wake hana kifua cha kuhimili ana wivu balaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ahsante kaka , kwa ushauri wako
 
Hilo la huyo dada mbona dogo sana

Mimi mke wangu nilienae aliwah nipa mastory ya nyuma mpaka nikamwambia kuwa ilitokea kaachana na mimi asije akamwambia mwanaume mwingine mastory kama hayo maana sizan kama kuna mwanaume mwenye moyo mgumu kama wangu

Baadhi ya mambo aliyowah kiyafanya:-
-aliwah kuwa msagaji tena wale wa kunyonyana mpaka vinyeo
-waliwahi kuwa wanalala kitanda kimoja mademu wawili na mwanaume mmoja aliekuwa anawatunza baada ya kutoroka kwao mkoani na kuingia mjini
-ameliwa sana na walimu wake wa seko
-aliwah kubakwa
-alivyomaliza darasa la saba akatolewa bikira na mume wa mtu mwenye umri wa baba ake na huyu jamaa mpaka alizaa nae alivyomaliza form 4
-alishawah kwenda kwa waganga kutafuta dawa za kupata wanaume wenye hela
-Yaan alikuwa na mambo mengi mengine nimeyasahau hapa

Dogo oa usimuache,mimi huyu mpaka leo ni mke wangu na ananipenda mno na ananiheshimu sana,pamoja na kuwa huwa namfanyia vituko lakin hajawah taka kunilipizia ingawaje anaweza kufanya lolote lakin katulia haswa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…