Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

Inagetemeana na mtu mimi hapana.

Mimi kipindi tupo chuo kuna wadada wawili walikuwa wanakaa na me kwenye ghetto,
Mmoja huyo jamaa alikuwa anasimulia anavyomnyandua kwa washikaji, alikuwa anasema kabisa kuwa anamaji mengi, sijui yupo hivi na vile.
Daaa
Na mwingine huyo , alikuwa anasema kuwa nikiwanae tendoni, najitahidi sana kumwaga nje.

Guys am tell you vijana wengi wanaoishi na mabinti vyuoni sio wastaarabu, wengi wapo hovyo sana.
Pia angalia marinda kama yapo bro ni muhimu.
Mtu akiishi na binti ambaye anajua hawezi kuwa nae baadae. Sexy fantasy zote zinaishia hapo.
Mzee wa kupambania mzabzab
Hatari.....mabinti nao ujue wanapenda sio mnataka kusema wanaume tuu ndio wana hizo fantasys
 
Kwanza kuna kitu unaficha-maana haingii akilini umkatae binti kwa sababu ya past.
Kwanza mlikuwa mnaongea nini mpaka akifika hatua hiyo ya kukueleza hivyo
 
Wakuu kwema,

Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali mzima wa familia yangu (watoto).

Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.

Juzi hapa nikiwa kitandani nawaza mambo ya dunia, kwa upole na kwa hekima ya hali ya juu kaniingizia jambo ambalo ukweli limenitoa kwenye reli.

Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi (fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .

Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme) mpaka kumaliza chuo kisha akaachana naye, huyo jamaa alikuwa na boom, hivyo basi kutokana na hali hiyo jambo hilo amekaa nalo moyoni kwa muda mrefu ila ameshindwa kuvumilia anaomba msamaha na kunisihi nimuamini katika maisha yake yote.

Niseme tu kwamba sijaongea chochote mpaka sasa, nimekosa cha kumjibu na hapa moyo wangu unarindima hasira isiyo na mfano, chakula hakipandi na nahisi kupaliwa na kila kiingiacho kinywani kwangu, kila adhabu nayowaza nahisi ni ndogo kwake.

Wakuu wenye hekima na busara naomba mawazo yenu, maake nahisi mi nimefika ukomo wa kuwaza zaidi ya kutaka kufanya maamuzi magumu na ya ovyo.
We una shida na yeye ana shida

1. Amekwambia ili iweje wakati ni maisha yake yaliyo pita

2. Una mind nini wakati ni kipindi ambacho hukua nae, akifanya hayo nyakati za sasa mko wote hapo sawa, maisha yake ya zamani ya nini sasa ilihali na wewe ulikua na yako.

Mi naona wote mna akili za kitoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa ana wivu sana inaonekana. Huo kwake ungekuwa mtihani mgumu sana kudecide cha kufanya..

hapa mkuu nimepigwa BAN account yangu pendwa nina uchungu sana
Kumbe ndiyo wewe mabango yako yana nembo nyekundu ya mods, umefanya nini?
 
Ulimsamehe kwani alikuchiti? Yeye kakueleza historia yake ya,nyuma kabla hajakutana na wewe hapo kosa lake ni lipi.

Ukimuacha huyo mbele ya safari utajuta na utatamani ku.mrudia.
Acha kumtisha wewe.
Huyo binti tayari moyo wake ushapinda.
Mimi nimemwambia kuwa akijifungua aongee nae yote jinsi alivyojinsikia na moyo wake kupungua kwa upendo.
Kisha waamue nini wafanye, asikae nayo moyoni, kitamtesa balaa hio ishu.
 
Inagetemeana na mtu mimi hapana.

Mimi kipindi tupo chuo kuna wadada wawili walikuwa wanakaa na me kwenye ghetto,
Mmoja huyo jamaa alikuwa anasimulia anavyomnyandua kwa washikaji, alikuwa anasema kabisa kuwa anamaji mengi, sijui yupo hivi na vile.
Daaa
Na mwingine huyo , alikuwa anasema kuwa nikiwanae tendoni, najitahidi sana kumwaga nje.

Guys am tell you vijana wengi wanaoishi na mabinti vyuoni sio wastaarabu, wengi wapo hovyo sana.
Pia angalia marinda kama yapo bro ni muhimu.
Mtu akiishi na binti ambaye anajua hawezi kuwa nae baadae. Sexy fantasy zote zinaishia hapo.
Mzee wa kupambania mzabzab
wewe sasa ndiyo upewe ban kabisa maanake umeishupalia kweli kesi ya jamaa
 
Mkuu hapo inaonyesha dhahiri huyo dada anakupenda sana, tena heshimu sana uamuzi wa yeye kukueleza hayo. Kafanya jambo la msingi sana mimi naona, kakueleza hali halisi ili apate kuwa huru kabisa.

kwanini nasema hivi? Just imagine, angekausha tu halafu itokee siku moja huna hili wala lile halafu ukutane na hizo habari kwa mtu wa nje anaemjua binti kwamba kipindi anasoma alikuwa anaishi hostel bubu (kaolewa kichuochuo) ungejisikiaje?

kakueleza sababu she give up everything she did before, kaamua kuanza safari mpya na wewe, kaamua kuwa huru. Hata ikitokea kuna siku zikakupata habari kama hizo hautokuwa suprised sababu tayari unajua..

Mkuu, nakusihi tu mpende huyo dada. Anapenda kuwa huru ndio maana kakueleza. Ingekuja kuwa case kubwa sana kama ungeyajua haya kutoka kwa mtu wa pembeni, muda huo ushachelewa. Just cool down and go on with that innocent lady
Huyu jamaa hiyo kitu kitamtesa sana baade.
Trust me situation aliyokuwa nayo jamaa, ni mbaya sisi hatujui tunajifanya kutoa ushauri hapa. Ila saikologia yake ishaaribika.
Hapo ni GOD aingilie tuu. Sina uhakika kama atamfurahia dada huyo
 
Mi kuna binti nipo naye wa chuo yupo masters, nilipo mtokea tu akaniuliza kama nitawezena nae nikamuuliza kwa nini-akasema yeye ana mambo mengi bado hajamaliza ujana.
Nikamwambia hata Mimi nilikuwa kama wewe,na labda Mungu ananitumia Mimi kumalizoa hayo mambo yako mengi.

Niligundua yule binti hapendi mambo ya kufatiliwa na mwanaume anapenda Uhuru zaidi,nikacheza na akili take nikawa nafanya hivyo badaye alianza kufunguka mambo yake mengi sana ya nyuma ya mahusiano,ya afya yake na familia yake kwangu.

Ana matukio mengi na makubwa,but I didn't care coz ni past na kwa sasa nipo naye na nina mshape ninavyohitaji kidogo dogo kama tukiendelea vizuri hope tutafika mbali.
 
Mi kuna binti nipo naye wa chuo yupo masters, nilipo mtokea tu akaniuliza kama nitawezena nae nikamuuliza kwa nini-akasema yeye ana mambo mengi bado hajamaliza ujana.
Nikamwambia hata Mimi nilikuwa kama wewe,na labda Mungu ananitumia Mimi kumalizoa hayo mambo yako mengi.

Niligundua yule binti hapendi mambo ya kufatiliwa na mwanaume anapenda Uhuru zaidi,nikacheza na akili take nikawa nafanya hivyo badaye alianza kufunguka mambo yake mengi sana ya nyuma ya mahusiano,ya afya yake na familia yake kwangu.

Ana matukio mengi na makubwa,but I didn't care coz ni past na kwa sasa nipo naye na nina mshape ninavyohitaji kidogo dogo kama tukiendelea vizuri hope tutafika mbali.
Hii comment inahitaji maelezo marefu sana.. hope ukipata time utashusha uzi ili tupate kujua mengi zaidi
 
Wewe huyo ni mwanamke wako wa kwanza? Kama sio Unaumia kwanini.
Wanaume ni wabinafsi sana muda mwingine sijui huwaga mkoje mfyuuuuu.
Madam ndo kukaa kama mume na mke daa, we image , wanaamka asubui wote, anapikiwa jamaa, anafuliwa nguo, anasafishiwa ghetto, anapikiwa mchana na jioni, usiku anapiga game afu anakojoa ndani, asubui afaua shuka.
Kwa miaka kadhaa daaa.
Mimi mwenye siwezi hata kama alifanya kipindi sipo nae.
Mimi mwenye sijawahi kulala na binti all night.
Hata binti kuja ghetto kwangu. Daaa.
Naelewa maumivu ya jamaa asichukulie poa.
 
Roho inamuuma kwa aliyotenda na nahisi alijua kuwa nitakuja jua tu.
Anavyoonekana anajutia kwa alichofanya bro.
Ila na wewe pia humo umoumo.
Akijifungua kaa uongee nae kaka, usikae nacho moyoni mkuu.
Akijifungua muongee afu muamue nini ufanye.
Usije ukateseka saikologia.
Ila na yeye pia, atajisikia vibaya.
 
Mkuu naona umejipigia picha ukaona ni jinsi gani jamaa lilivyokuwa linafaidi na huyo mtu wako huko chuo. Pole sana ila usipende sana kufukunyua mambo, hayo huwa hatuulizani, kwa vile kama ni kuwekwa kawekwa...
 
Wengi chuo ni kisanga yaani balaa wanaoa hawa mabinti wa chuo wanapata mitihani sana.
 
Back
Top Bottom