Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
Nikutungie story wew mke wangu?Acha story za kutunga hapa kaka.
Acha ujinga basi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikutungie story wew mke wangu?Acha story za kutunga hapa kaka.
Ila sheria inasema wanandoa wasipokutana kimwili kwa muda wa miaka 2 ndoa inavunjwa.Talaka imeshindikana sabb amegoma kusain..na wasuluhishi na mabaraza yao wamesema hakuna sabb ya kuidhinisha talaka Kwa makosa ya nyuma
Kaka punguza hasira , wewe ulijuaje mke wa kaka yako alikuwa bikira????Nikutungie story wew mke wangu?
Acha ujinga basi mkuu?
Wachaa weeeNikutungie story wew mke wangu?
Acha ujinga basi mkuu?
Jomba anaharisa balaaKaka punguza hasira , wewe ulijuaje mke wa kaka yako alikuwa bikira????
Eti ulimfunua utupu wake.
Hii ni kwa mujibu wa mumeweKaka punguza hasira , wewe ulijuaje mke wa kaka yako alikuwa bikira????
Eti ulimfunua utupu wake.
Ila bro daa pole sana,TTal
Talaka imeshindikana sabb amegoma kusain..na wasuluhishi na mabaraza yao wamesema hakuna sabb ya kuidhinisha talaka Kwa makosa ya nyuma...asa mm hapa naelezea namna navomchukulia moyoni mwangu...yaan hayupo kabisa na kwangu haruhusiwi kukanyaga..uzur watoto nishawapeleka mbali uko...
Acha povu, the teh teh 🤣🤣🤣🤣Hii ni kwa mujibu wa mumewe
CH hasira na wewe acha lugha za mitaaniHii ni kwa mujibu wa mumewe
Angali wanajua kuwa umuhitaji kabisa , daaa hilo baraza la suruhisho linapatikana wapi??kusain..na wasuluhishi na mabaraza yao wamesema hakuna sabb ya kuidhinisha talaka Kwa makosa ya nyuma
Ndo hivyo bro, wanawake hawajui hii.Yani wanawake huwaga hawajuii tuu.. Ukiwa unapiga story za mapenzi yako ya zamanii epuka kusema ukweli woteeee yanii Kusema ushalalwa n wanaume 100.. sijui uliwahi Kuliwa tigooo maraa ulipigwaa mtungoo aisee Wanaume huwa inatukataa Mood kinomaa na hatuwezi kuyapokea hayo mambo kirahisiii. Ukiyasema juaa yatakucost tuu na mwanaume atakuwa anakuhukumu kwa hayo mambo hata ipite miaka 100 utaitwaa malayaaa like umefanya jana.
SIO KILA KITU CHA KUKIOONGEA MENGINE KUFA NAYO NI BORA ZAIDI.
Maamae nimecheka kinoma 😀😀😀😀So sad bro hata mimi ningemchama tuu baada ya kujifungua kuwa mimi na yeye basi.
Kukaa na mwanaume kama mke na mume daa, tunawaza vingi sana sisi wanaume, imagine jamaa alikuwa anapikiwa, anafuliwa, jioni anapiga game, anakojoa ndani, na binti afua dhuka, daaa.
So sad. Afu wewe ulijitunza daaaa.
Mimi mpaka sasa sijawahi kulala na binti all night mpaka asubui.
Ila nikipata mtu mabaye amewahi fanya hivyo sitavumilia kabisa daaa.
Anifiche nani, mie nafichika basi, mie ni kama dudukila lililodinda kwenye msuli..🤣Mzee mwenzangu baada ya kufichwa ndio unaibuka eeeh!! Tena umeibuka na kuniozesha kabisa 🙆🙆🙆
Ama kweli akufukuzae hakwambii toka!