Dawa ya deni ni kulipa acha janjajanja🤸Ahsante chief. Ni kwel upepo wa hii miezi haujua poa kabisa. Kumbe ni wengi wameliona hilo?
ahahaha ni kwel, tatizo ki utaratibu, muwa nalipa kwa kila miez mi3. Sasa angengoja bas ifke june maana ndio hapo atleast angeweza hisi labda ni ukorofi. But bad nina mwezi m1 kimkataba ili kusema nimekiukwa utaratibu mazima
Pamoja kamanda. AhsantePole sana.
Haya maisha haya..unaweza kukuta kuna mtu anapahitaji hapo hivyo inatafutwa sababu ya kukutoa.Wakuu habari ya muda huu.
Sisi wengine kama ilivyo kwa wengi, hapa ndipo pa ku-share issues tunapohisi ku-release baadhi ya mambo yakituzidia.
Mchana wangu umeharibika ghafla sana.😅 Kulingana na tides za kibiashara safari hii (ofcourse ni mambo ya kawaida tu), landlord wangu hatimae leo kamvamia binti yangu ofisini na kumsihi amkabidhi funguo ya ofisi.
Na imekuwa kama coincidence maana this whole week sijatokea kabisa ofisini kwa kukimbizana na issue nje ya ofisi.
Yaani licha ya kulipa kodi kwa uaminifu siku zooote quarter hii biashara imeyumba nika delay 2 months.
Nimepigiwa simu na binti yangu na kiukweli nikaona isiwe ishu, nimempa maelekezo machache tu ili kusudi shughuli zisikwame. Kichwa kisha jam hiki. Let me clear my mind first, nitayawaza badae.
😅😅.
View attachment 3003640
Uko sahihi.Pole sana mkuu.
Shida kubwa kwa wengi huwa akidaiwa anamkimbia mdai, anakwepa mawasiliano, sisemi wewe umefanya hivi, ila wengi wanakuwa waoga kuongea na wadai wao, akidhani kumkimbia ndio dawa. Kumbe ni kimyume kabisa. Unatakiwa kuwa muwazi na pengine hata wewe kuwahi kumwambia shida yako ya kukuchelewesha kulipa deni kabla hajakuuliza au muda kufika. Ukifanya hivyo mara nyingi utapunguza matatizo kama haya.Mimi nimewahi kuona jamaa anadaiwa halafu katika kudaiwa, mdai akamkopesha tena jamaa zaidi. Ni lugha tu nzuri.
Hatar chief. Biashara inaweza ikakuua hiv hiv unajionaPole saan mkuu. Miezi hii migumu balaa halafu shida zinatofautiana tu ila biashara Zina changamoto sana.
Sisi wengine tunaobangaiza kwenye biashara ya usafirishaji tunakiona cha moto sabbu abiria hakuna halafu polisi Kila geti wanataka hela.
Yaani utenge elfu sitini kila siku ya mapolisi tu kwa mwezi 1.8 mil sijui huu uonevu katika nchi hii utaisha lini. Ttanzania mazingira ya kufanya biashara magumu sana.
Sawaaaaa..Dawa ya deni ni kulipa acha janjajanja🤸
Inawezekana chief, inawezekana kabisaHaya maisha haya..unaweza kukuta kuna mtu anapahitaji hapo hivyo inatafutwa sababu ya kukutoa.
Kabisa mkuu mpkt unatamani usingewekeza kabisa.Hatar chief. Biashara inaweza ikakuua hiv hiv unajiona
Si mlisema Rais Samia amefungua nchi hela zimejaa mfukoni?Wakuu habari ya muda huu.
Sisi wengine kama ilivyo kwa wengi, hapa ndipo pa ku-share issues tunapohisi ku-release baadhi ya mambo yakituzidia.
Mchana wangu umeharibika ghafla sana.😅 Kulingana na tides za kibiashara safari hii (ofcourse ni mambo ya kawaida tu), landlord wangu hatimae leo kamvamia binti yangu ofisini na kumsihi amkabidhi funguo ya ofisi.
Na imekuwa kama coincidence maana this whole week sijatokea kabisa ofisini kwa kukimbizana na issue nje ya ofisi.
Yaani licha ya kulipa kodi kwa uaminifu siku zooote quarter hii biashara imeyumba nika delay 2 months.
Nimepigiwa simu na binti yangu na kiukweli nikaona isiwe ishu, nimempa maelekezo machache tu ili kusudi shughuli zisikwame. Kichwa kisha jam hiki. Let me clear my mind first, nitayawaza badae.
😅😅.
View attachment 3003640
Mkuu umeuliza suala la msingi sana.Pole sana mwanetu
Lakini wewe unaonaje mwenendo wa biashara yako na kodi unayolipia hapo?
Hapa kiukwel ndio maana nikamwambia dogo atoke na vitu hivyo vya msingi maana ndio ofisi yenyewe , temporary niihamishie kwenye hifadhi ya mudaUkomae uumlipe au uhame ukafungue kwenye nafuu ya kodi au ufunge mazima biashara?
Hatar sanaa mkuu. Mtu mwingine anaweza asieleweIla kiukweli kwa ujumla hali ya biashara Tz imekuwa ngumu sana wa sasa, mzunguko wa biashara umekuwa wa kusuasua kwa wengi
Sawa mkuuwewe ndio umempa changamoto landlord..
Sikukaa kimyahaiwezekani ucheleweshe kodi miezi kadhaa halafu ukae kimya
ni kawaida sana kwenye biashara, inatokea sana kucheleweshewa malupo na wateja wangu. Si kitu kigeni ila kwakua najua watalipa bas huwa najua namna ya kutafuta pesa ili ku run issue bila wao kukwama. Kwa mfanya biashara hii ni kawaida sanavipi kama wewe ungecheleweshewa malipo katika biashara yako huku expenses zinasubiri kulipwa on time?
Sijasoma economics mkuu. Am an IT guyHivi hukusoma economics kuwa rent is a fixed expenses and cant be avoided?
SAwa..respect should be either waysShow your respect, go and apilogise
Tutalijadili 😂pole mwaya
Una roho ngumu ndio maana microfinance yako ipo vizuriwewe ndio umempa changamoto landlord..
haiwezekani ucheleweshe kodi miezi kadhaa halafu ukae kimya
vipi kama wewe ungecheleweshewa malipo katika biashara yako huku expenses zinasubiri kulipwa on time?
Hivi hukusoma economics kuwa rent is a fixed expenses and cant be avoided?
Show your respect, go and apilogise
Mkuuu jicommit kwenye Io Barua mliyokubaliana huenda ameona Labda umemsumbua au landlord Ni mtu ambaye hataki konakona Na usumbufu kwenye Biashara take.....just cool mrejee Tena landlord myajenheHapana napokea na hata majuzi, tulikaa chini kuwekana sawa kuhusu hili but kuna jambo sikulitimizia. Alitaka niji commit kwa barua , sasa mambo kama haya nikaona sio.
Mkuu mimi sikusema hilo😂SI mlisema
Si mlisema Rais Samia amefungua nchi hela zimejaa mfukoni?