Mkuu umeuliza suala la msingi sana.

Hapa kiukwel ndio maana nikamwambia dogo atoke na vitu hivyo vya msingi maana ndio ofisi yenyewe , temporary niihamishie kwenye hifadhi ya muda

Hatar sanaa mkuu. Mtu mwingine anaweza asielewe
kwa sasa bora u work from home kwanza hata haiathiri kazi yako then badae huko mtafute fremu tu za kawaida muweke as ofisi kama vile wanasheria wengi au business consultancy wengi wanavyofanya
 
Inauma sana na majirani wq kibongo walivyo ndo wanapatia pa kuchekea ila watz kwa unafiki tu tuko vizuri, yawezekana kuna mtu anapahitaji km mdau alivyoshauri hapo juu
Hapa kwenye kuchekwa hapa mimi ndio pameniuma. Yan kunifungia ofisi hapa nimehisi kudhalilishwa sanaaaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ndio maana nikaona isiwe tabu, nisiliwaze sana hili
 
Communication is among key issues in the business industry.

I wonder how this IT guy managed to dogde the landlord and yet He come here crying for helps

anyway this is a lesson..
Tunajifunza kutokana na makosa
Ila yeye kaja kutushirikisha ndugu zake ili kutoa machungu moyoni mwake, hajamlaumu landlord
 
Pole sana kijana ila ndio hivyo na sisi ma landlords pia tunakuwa na commitments mbalimbali za kifedha.
Sasa unapokuwa na mpangaji anaposhindwa kukulipa kodi kwa mujibu wa mkataba inakuwa changamoto sana.
Kuna wengine tunajenga kwa mikopo ukitegemea kodi ya hilo jengo ilipe mkopo ukichelewesha kulipa benki unapigwa penalt ya riba (accrued Interest) .
Mimi mpangaji wangu akikwama naweza kumvumilia kwa mwezi mmoja tu zaidi ya hapo haitawezekana
 
Hapa kwenye kuchekwa hapa mimi ndio pameniuma. Yan kunifungia ofisi hapa nimehisi kudhalilishwa sanaaaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ndio maana nikaona isiwe tabu, nisiliwaze sana hili
Yaliwahi kunikuta tena si mara moja, fanya hivi yani hutakiwi kujali kabiiiiisa na fanya chap malizana na huyo landlord halafu piga kazi kwa hasira la msingi wahi kabla hujapoteza wateja

Wabongo nuksi tunajuana mbona hapo wanaona labda ndo watatajirika kumbe wapi wanabaki palepale
 
Communication is among key issues in the business industry.

I wonder how this IT guy managed to dogde the landlord and yet He come here crying for helps

anyway this is a lesson..
U sound too judgemental and u seem to overluk and misinterpreate some stufs.

  • i never dodged a landlord
  • Am not here for help
 
Kodi ya mtu miezi 2, ulimpa taarifa kAbla?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…