Sikuwahi Muona mtu akiingia JF, JF kuna nani??

Mkuu kuna wakati unakaa kama dakika 5 ukirudi unakuta uzi mpya na reply kama 200, unajiuliza hawa watu wapo hapahapa tz?? Mbona hatuwaoniiiiii
Sasa wewe hapo ulipo nyumbani kwako unategemea umwone nani zaidi ya waliomo nyumbani mwako? Na kama unaishi peke yako ghetto ndio basi tena huwezi kuona mtu. Lakini ujue kila mtu huko alikojificha anatupia comment, na ndani ya dakika moja kuna maelefu ya comments yanatupwa.

Kwani wewe unapotupia comments au kupost thread kuna mtu anakuwa anachungulia nyuma yako?
 
Unataka tujuane unadhan huku ni FB Ooop!! Mimi ndio nakumegea kademu kako mpaka kananifwata JF
 
Exactly
 
me juzi ndo nimemdakua Dingi ..na sikujua kuwa no expert member hapa jukwaani na jina anslotumia duu..mpaka nimechoka..sitaki hata kulitaja nami asijenidakua..
Wewe unatafuta kiki ni huyo Dingi yako..
 
unavyosema mjamaa unamaanisha miss natafuta ni kidume cha mbegu!!
Ohooooo....[emoji87] [emoji87]
Yaani nilikua nimepanga kesho nianze kumzoza..[emoji39] [emoji39]
 
JF kuna acc hewa nyingi sana humu, mtu mmoja ana accs hata 6
 
Usife moyo mkuu,
Wapo watu real kabisa
 
kesho utakuwa wapi nijekutumia computer zenu niandae nondo kali zaidi ya mange kinambi na mechi kali juu ya serikali.
 
Sasa mkuu unazungumzia comments 500 kwenye taifa la watu million 50 kasoro, angalia ratio yake hapo, lazima upate tabu sna kuwapata, wapo ila ndio hvyo. Tena katka hizo comments kuna reply kibao.. Usikute waliochat wachache tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…