Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Wote wanasombwa na majiHapo anayetafutwa ni polepole wengine wamechomekewa tu.
Kwa nini?CCM wanachekesha sana sana
Taarifa inajieleza, SomaSilaa gani? Huyuhy wa chadema2015 au jelly
Imagine taarifa ipo pale na hataki kusoma anauliza Tena, tuna kizazi Cha watu wavivu kusoma na wepesi kucomment ambacho hawajakisoma.Taarifa inajieleza, Soma
Kundi la BUNDI linaitwa PARLIAMENT (BUNGE) [emoji851][emoji851][emoji445]Sasa kumekuucha,
sasa kumekuchaa,
Bundi ameshalia Dodooma[emoji445]
CCM hatuna papara, mtu anajiweka mwenyewe kamba shingoni.CCM wanachekesha sana sana
Si unajua tena mafisi yakimuona fisi mwenzao kadondokewa na damu kidogo tu wanamtafuna mzima-mzima.Utabiri unazidi kutimia
"Wakitumaliza sisi wataanza wenyewe kwa wenyewe"
Kiroboto amejipeleka kibla mwenyewe.Hapo anayetafutwa ni polepole wengine wamechomekewa tu.