Silaa, Polepole na Gwajima waitwa Kamati Kuu ya CCM kujieleza

Silaa, Polepole na Gwajima waitwa Kamati Kuu ya CCM kujieleza

Ni kawaida hata Membe bila shaka aliitwa then akafurushwa ndani ya Chama.....sio jambo la kushangaza ni utaratibu wa CCM kwa wanachama wake....

Bila shaka hata vyama vingine vina taratibu zake, tuheshimu taratibu za vyama vyetu....Ndio demokrasia, ukikosea unaitwa unasikilizwa then hukumu inatoka...
Mkuu ningewaona wa maana CCM kama wangewaita akina Diallo,Nape, Bulembo ambao nao walitoa maneno yasiyo na staha hii ni double standard ya wnye CCM kutaka kukomoana kwa wasiojikomba na wasema ukweli
 
Kujikosoa ni msingi imara wa taasisi yoyote ile. Maana mnapojikosoa ndio hapo mnajiweka sawa na kujirekebisha.

Kwa muda mfupi tangu hayati JPM atutoke watanzania kwa macho yao wameshuhudia mabadiliko makubwa.

kuna dalili mradi mkubwa kama JNHP hautakamilika kama ilivyopangwa, kuna dalili za rushwa kama za Escrow kurudi kupitia mgao wa umeme, harufu za ufisadi kila kona mbaya zaidi ni hata mwaka haujaisha tokea hayati JPM afariki.

Je kwa mwanaCCM kama Polepole kuhoji na kukosoa haya mabaya yanahochafua serikali na chama cha CCM ni kosa?
Hapo nyuma walimkosoa aliyekuwa mwenyekiti wake na je sasa kiko wapi?
 
Inaweza kuwa fursa kwa Chadema hii late them check those peoples if they're assets or...........!.
 
Alihoji Bernad Membe kuhusu haki yake ya kuwa mgombea Urais kwenye chama 2020 na matokeo yake alifukuzwa uwanachama.
Alihoji Bernad Membe kuhusu haki yake ya kuwa mgombea Urais kwenye chama 2020 na matokeo yake alifukuzwa uwanachama.
Dogo ishu ya Membe huijui vizuri. Kwanini usitafute thread humu ambayo alifanya mahojiano na kituo kimoja hapa nchini na akamwaga nyongo yote?


#JPM ATABAKI JUU!!!
 
Jerry Silaa na Gwajima toka waojiwe bungeni wamekuwa kama wamemwagiwa maji!
Sasa ni zamu ya Polepole. Wiki ijayo hatutamsikia tena!
 
Back
Top Bottom