Silaa, Polepole na Gwajima waitwa Kamati Kuu ya CCM kujieleza

Silaa, Polepole na Gwajima waitwa Kamati Kuu ya CCM kujieleza

Wasukuma tulishaamua,, Gwajima ndie rais ajaye 2025,,

Kwa uingi wetu na kwa nafasi nyeti tulizonazo katika mamlaka za nchi,,
 
Kujikosoa ni msingi imara wa taasisi yoyote ile. Maana mnapojikosoa ndio hapo mnajiweka sawa na kujirekebisha.

Kwa muda mfupi tangu hayati JPM atutoke watanzania kwa macho yao wameshuhudia mabadiliko makubwa.

kuna dalili mradi mkubwa kama JNHP hautakamilika kama ilivyopangwa, kuna dalili za rushwa kama za Escrow kurudi kupitia mgao wa umeme, harufu za ufisadi kila kona mbaya zaidi ni hata mwaka haujaisha tokea hayati JPM afariki.

Je kwa mwanaCCM kama Polepole kuhoji na kukosoa haya mabaya yanahochafua serikali na chama cha CCM ni kosa?
Kukosoa iwe kwa nidhamu na siyo kuzusha yasiyokuwepo kana kwamba hao wakosoaji wao ni malaika.
 
Wito huu ni muhimu sana, kilichobaki ni CCM kuonyesha uwezo wa kuwashikisha adabu.

Mtu huwezi kumdharau rais wa JMT na Mwenyekiti wa CCM. Najua wote watapiga magoti kuomba msamaha, nashauri kwa Polepole na Gwajima, msamaha wao iwe ni kuchanja hadharani, kisha wawahamasishe wafuasi wao kuchanja. Jerry Slaa asamehewe tuu bila masharti.
P
 
Ndio maana nikakwambia muulize babaako mambo haya. Wewe huyawezi. Yesu Kristu aliyefariki miaka zaidi ya elfu mbili iliyopita hayupo juu? Mtume Muhammad (SAW) aliyefariki zaidi ya miaka 1400AD hayupo juu?

Akili gani hii ya wakina LUGORA kumfananisha Jiwe na Yesu Kristo na Mtume Muhammad[SAW]? Huu ni upunguani!!!
 
Wito huu ni muhimu sana, kilichobaki ni CCM kuonyesha uwezo wa kuwashikisha adabu.

Mtu huwezi kumdharau rais wa JMT na Mwenyekiti wa CCM. Najua wote watapiga magoti kuomba msamaha, nashauri kwa Polepole na Gwajima, msamaha wao iwe ni kuchanja hadharani, kisha wawahamasishe wafuasi wao kuchanja. Jerry Slaa asamehewe tuu bila masharti.
P
Wewe ni wa kuupuza tu
 
Kujikosoa ni msingi imara wa taasisi yoyote ile. Maana mnapojikosoa ndio hapo mnajiweka sawa na kujirekebisha.

Kwa muda mfupi tangu hayati JPM atutoke watanzania kwa macho yao wameshuhudia mabadiliko makubwa.

kuna dalili mradi mkubwa kama JNHP hautakamilika kama ilivyopangwa, kuna dalili za rushwa kama za Escrow kurudi kupitia mgao wa umeme, harufu za ufisadi kila kona mbaya zaidi ni hata mwaka haujaisha tokea hayati JPM afariki.

Je kwa mwanaCCM kama Polepole kuhoji na kukosoa haya mabaya yanahochafua serikali na chama cha CCM ni kosa?
Tukumbushe kipind chenu cha awamu ya gwara mtu akiwakosoa mlikua mnamfanyaje? Pili.. umesema rushwa zinarud kama za escrow kutokana na mgao wa umeme. Je unashaur chuma kirudi??
 
Wamemtafutia Polepole sababu ya kumfunga mdomo kwa kuwatumia hao kina Gwajima na Silaa kama chambo.

Hapo kitakachofuata Polepole ataambiwa adhabu yake akae kimya miezi sita yuko chini ya uangalizi, awe makini huko kikaoni kama Gwajima alivyofanya na "mic"

Huu ujinga ndio unafurahiwa na wenye mawazo mgando wenye "chama chao".

Hawajui kufungana midomo kunatengeneza taifa la majuha, na vile elimu yetu iko chini, ndio tunaandaa kizazi cha malofa na adui ujinga ataendelea kututesa miaka yote mpaka mwisho wa dunia, CCM ni wajinga sana.

Nachomshauri Polepole kwanza awaambie hao CCM wenzake hajavunja sheria yoyote ya nchi kutoa mawazo yake, pili, afuate taratibu alizoambiwa na TCRA ili arudi hewani, na nyie TCRA mfanye kazi yenu kiuweledi, msijigeuze wanasiasa.
Umeongea ukweli kabisa.

Mimi ni mwana CCM lakini naona tunakoelekea kwa hovyo.

Kumzima mtu asiongee ni hatari sana, pia hawa TCRA wanapaswa wasiwe wanasiasa, wanakosa weledi.

Najua Polepole anaweza kufukuzwa uanachama that's my deep hope.ninayoiona.

Ni hatari sana mtu kutoa maoni kisha akanyamazishwa kisa cheo.

Mfano Slaa kosa lake ni nini hasa? Kwanini hawa watu wasijibiwe hoja zao? Kwanini wamekuwa attacked badala ya wahusika kujibu hoja?

Kwa dhati hii inaonyesha jinsi gani bado taifa letu ni changa sana inapofika kwenye suala la demokrasia!! Just imagine kama CCM wenyewe tunazibana midomo what about the opposition parties? This is not good at all.

Yetu macho.
 
Kinachomcost ndugu Polepole ni kutokubaliana na mazingira kuwa zama za aliyokuwa nayo ndani ya chama kipindi cha Magu ni tofauti na zama hizi akiwa mbunge.
 
Kujikosoa ni msingi imara wa taasisi yoyote ile. Maana mnapojikosoa ndio hapo mnajiweka sawa na kujirekebisha.

Kwa muda mfupi tangu hayati JPM atutoke watanzania kwa macho yao wameshuhudia mabadiliko makubwa.

kuna dalili mradi mkubwa kama JNHP hautakamilika kama ilivyopangwa, kuna dalili za rushwa kama za Escrow kurudi kupitia mgao wa umeme, harufu za ufisadi kila kona mbaya zaidi ni hata mwaka haujaisha tokea hayati JPM afariki.

Je kwa mwanaCCM kama Polepole kuhoji na kukosoa haya mabaya yanahochafua serikali na chama cha CCM ni kosa?

Haya ni matunda ya siasa chafu za Magufuli. Hivyo vuneni mlichokuwa mnashangilia akikipanda. Safari huu sukuma gang mtajua hamjui.
 
Back
Top Bottom