Joshua justine
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 792
- 1,015
Huenda ni wote , baadae tutaelewa polepole ana kampani, wote wana pambana na udhalimu wa ccm hao,Hapo anayetafutwa ni polepole wengine wamechomekewa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda ni wote , baadae tutaelewa polepole ana kampani, wote wana pambana na udhalimu wa ccm hao,Hapo anayetafutwa ni polepole wengine wamechomekewa tu.
Wana speed hao,Yameshatimia tayari
Oohoooo,[emoji445]Sasa kumekuucha,
sasa kumekuchaa,
Bundi ameshalia Dodooma[emoji445]
Hao wahuni hawana huo utaratibu gaidi bwana makengeza anachoamua nyumbu wanafata!Kwani CHADEMA haijawahi kuwaita wanachama wake kujieleza na hatimaye kuwafukuza???
Yaani na wewe Mayala ushakuwa malaya wa kisiasa hata huwa hueleweki unasimamia nini! Ndio sababu hata watawala hawahangaiki na wewe kwa maana unachembechembe ya unafiki na ukijipendekeza ovyo! Kwa hiyo Rais akikosolewa ni kmdhararu Rais?Wito huu ni muhimu sana, kilichobaki ni CCM kuonyesha uwezo wa kuwashikisha adabu.
Mtu huwezi kumdharau rais wa JMT na Mwenyekiti wa CCM. Najua wote watapiga magoti kuomba msamaha, nashauri kwa Polepole na Gwajima, msamaha wao iwe ni kuchanja hadharani, kisha wawahamasishe wafuasi wao kuchanja. Jerry Slaa asamehewe tuu bila masharti.
P
Mjane wa mzee pombe bado upo eda.Ndio maana nikakwambia muulize babaako mambo haya. Wewe huyawezi. Yesu Kristu aliyefariki miaka zaidi ya elfu mbili iliyopita hayupo juu? Mtume Muhammad (SAW) aliyefariki zaidi ya miaka 1400AD hayupo juu?
Nakuambia CCM hii iliyokuwa inabebwa na Magufuli? Yaani hawa CCM wakikutana kwenye vikao wanatiana ujinga sana! Kwa taarifa yao Magufuli alikuwa anawabeba na alikuwa mkubwa kuliko CCM subiri majibu watayapata!Umeongea ukweli kabisa.
Mimi ni mwana CCM lakini naona tunakoelekea kwa hovyo.
Kumzima mtu asiongee ni hatari sana, pia hawa TCRA wanapaswa wasiwe wanasiasa, wanakosa weledi.
Najua Polepole anaweza kufukuzwa uanachama that's my deep hope.ninayoiona.
Ni hatari sana mtu kutoa maoni kisha akanyamazishwa kisa cheo.
Mfano Slaa kosa lake ni nini hasa? Kwanini hawa watu wasijibiwe hoja zao? Kwanini wamekuwa attacked badala ya wahusika kujibu hoja?
Kwa dhati hii inaonyesha jinsi gani bado taifa letu ni changa sana inapofika kwenye suala la demokrasia!! Just imagine kama CCM wenyewe tunazibana midomo what about the opposition parties? This is not good at all.
Yetu macho.
Mbona unajidharirisha we mbururaMjane wa mzee pombe bado upo eda.
Kitaalam Inatwa "Mbivu Inatuozea "Kiroboto amejipeleka kibla mwenyewe.
Nasikia babaako yupo Milembe ndio maana ulikuwa huonekani jukwaani. Ni kweli?Akili gani hii ya wakina LUGORA kumfananisha Jiwe na Yesu Kristo na Mtume Muhammad[SAW]? Huu ni upunguani!!!
Kama unafikiri mimi ni Janet, unaamini wako wazazi wana mtoto kweli?Mjane wa mzee pombe bado upo eda.
Mtu mzima halafu CHAWA dah!Wito huu ni muhimu sana, kilichobaki ni CCM kuonyesha uwezo wa kuwashikisha adabu.
Mtu huwezi kumdharau rais wa JMT na Mwenyekiti wa CCM. Najua wote watapiga magoti kuomba msamaha, nashauri kwa Polepole na Gwajima, msamaha wao iwe ni kuchanja hadharani, kisha wawahamasishe wafuasi wao kuchanja. Jerry Slaa asamehewe tuu bila masharti.
P
Punguza jabzaKama unafikiri mimi ni Janet, unaamini wako wazazi wana mtoto kweli?
Naunga mkonoWito huu ni muhimu sana, kilichobaki ni CCM kuonyesha uwezo wa kuwashikisha adabu.
Mtu huwezi kumdharau rais wa JMT na Mwenyekiti wa CCM. Najua wote watapiga magoti kuomba msamaha, nashauri kwa Polepole na Gwajima, msamaha wao iwe ni kuchanja hadharani, kisha wawahamasishe wafuasi wao kuchanja. Jerry Slaa asamehewe tuu bila masharti.
P
Jiulize tu haya maswali yafuatayo:Kujikosoa ni msingi imara wa taasisi yoyote ile. Maana mnapojikosoa ndio hapo mnajiweka sawa na kujirekebisha.
Kwa muda mfupi tangu hayati JPM atutoke watanzania kwa macho yao wameshuhudia mabadiliko makubwa.
kuna dalili mradi mkubwa kama JNHP hautakamilika kama ilivyopangwa, kuna dalili za rushwa kama za Escrow kurudi kupitia mgao wa umeme, harufu za ufisadi kila kona mbaya zaidi ni hata mwaka haujaisha tokea hayati JPM afariki.
Je kwa mwanaCCM kama Polepole kuhoji na kukosoa haya mabaya yanahochafua serikali na chama cha CCM ni kosa?
Kwa nini atafutwe? Polepole ni mdogo sana kwa chama na kama haitoshi Hana maadili kabisaHapo anayetafutwa ni polepole wengine wamechomekewa tu.