Silaa, Polepole na Gwajima waitwa Kamati Kuu ya CCM kujieleza

Silaa, Polepole na Gwajima waitwa Kamati Kuu ya CCM kujieleza

Wito huu ni muhimu sana, kilichobaki ni CCM kuonyesha uwezo wa kuwashikisha adabu.

Mtu huwezi kumdharau rais wa JMT na Mwenyekiti wa CCM. Najua wote watapiga magoti kuomba msamaha, nashauri kwa Polepole na Gwajima, msamaha wao iwe ni kuchanja hadharani, kisha wawahamasishe wafuasi wao kuchanja. Jerry Slaa asamehewe tuu bila masharti.
P
Yaani na wewe Mayala ushakuwa malaya wa kisiasa hata huwa hueleweki unasimamia nini! Ndio sababu hata watawala hawahangaiki na wewe kwa maana unachembechembe ya unafiki na ukijipendekeza ovyo! Kwa hiyo Rais akikosolewa ni kmdhararu Rais?
 
Ndio maana nikakwambia muulize babaako mambo haya. Wewe huyawezi. Yesu Kristu aliyefariki miaka zaidi ya elfu mbili iliyopita hayupo juu? Mtume Muhammad (SAW) aliyefariki zaidi ya miaka 1400AD hayupo juu?
Mjane wa mzee pombe bado upo eda.
 
Umeongea ukweli kabisa.

Mimi ni mwana CCM lakini naona tunakoelekea kwa hovyo.

Kumzima mtu asiongee ni hatari sana, pia hawa TCRA wanapaswa wasiwe wanasiasa, wanakosa weledi.

Najua Polepole anaweza kufukuzwa uanachama that's my deep hope.ninayoiona.

Ni hatari sana mtu kutoa maoni kisha akanyamazishwa kisa cheo.

Mfano Slaa kosa lake ni nini hasa? Kwanini hawa watu wasijibiwe hoja zao? Kwanini wamekuwa attacked badala ya wahusika kujibu hoja?

Kwa dhati hii inaonyesha jinsi gani bado taifa letu ni changa sana inapofika kwenye suala la demokrasia!! Just imagine kama CCM wenyewe tunazibana midomo what about the opposition parties? This is not good at all.

Yetu macho.
Nakuambia CCM hii iliyokuwa inabebwa na Magufuli? Yaani hawa CCM wakikutana kwenye vikao wanatiana ujinga sana! Kwa taarifa yao Magufuli alikuwa anawabeba na alikuwa mkubwa kuliko CCM subiri majibu watayapata!
 
Wito huu ni muhimu sana, kilichobaki ni CCM kuonyesha uwezo wa kuwashikisha adabu.

Mtu huwezi kumdharau rais wa JMT na Mwenyekiti wa CCM. Najua wote watapiga magoti kuomba msamaha, nashauri kwa Polepole na Gwajima, msamaha wao iwe ni kuchanja hadharani, kisha wawahamasishe wafuasi wao kuchanja. Jerry Slaa asamehewe tuu bila masharti.
P
Mtu mzima halafu CHAWA dah!
 
Wito huu ni muhimu sana, kilichobaki ni CCM kuonyesha uwezo wa kuwashikisha adabu.

Mtu huwezi kumdharau rais wa JMT na Mwenyekiti wa CCM. Najua wote watapiga magoti kuomba msamaha, nashauri kwa Polepole na Gwajima, msamaha wao iwe ni kuchanja hadharani, kisha wawahamasishe wafuasi wao kuchanja. Jerry Slaa asamehewe tuu bila masharti.
P
Naunga mkono
 
Kujikosoa ni msingi imara wa taasisi yoyote ile. Maana mnapojikosoa ndio hapo mnajiweka sawa na kujirekebisha.

Kwa muda mfupi tangu hayati JPM atutoke watanzania kwa macho yao wameshuhudia mabadiliko makubwa.

kuna dalili mradi mkubwa kama JNHP hautakamilika kama ilivyopangwa, kuna dalili za rushwa kama za Escrow kurudi kupitia mgao wa umeme, harufu za ufisadi kila kona mbaya zaidi ni hata mwaka haujaisha tokea hayati JPM afariki.

Je kwa mwanaCCM kama Polepole kuhoji na kukosoa haya mabaya yanahochafua serikali na chama cha CCM ni kosa?
Jiulize tu haya maswali yafuatayo:
1. NI KWANINI SHEIKH TAKADIR, OSCAR KAMBONA, BIBI TITI, TUNTEMEKE SANGA NA WENGINEO WALIONEKANA MAADUI WA TAIFA? KILIKUWA CHAMA GANI?
2. JE NI KWANINI IMRAN KOMBE ALIUWAWA NA KOLIMBA BAADA YA KUSEMA CHAMA KIMEPOTEZA DIRA NA MWELEKEO HAKUCHUKUA RAUNDI? HAPO SIWATAJI KINA ALHAJI JUMBE WALA MAALIM SEIF NK.
JE KUNA MAHALA POPOTE WALIOIKOSOA TANU AU CCM NA SERIKALI YAKE WALIBAKI SALAMA?
4. KWANINI KINA LISU, MBOWE WALIONEKANA WASALITI KWA TAIFA? NA KABLA YAO ALIKUWA PROFESA LIPUMBA.
Mwisho huo mradi wa umeme wa maji ni upuuzi mwimgine wa kutafuna fedha za nchi kwa kitu ambacho hakina uhakika. Uganda wana mabwawa makubwa waliojenga bado wanalia. Nasikia eti tunataka kuuza umeme Ethiopia yale mabwawa waliyojenga yamekuwaje?
 
Wanapewa haki ya kusikilizwa kabla ya kuchukua uamuzi,Ni jambo jema.Tuvute subira
 
Back
Top Bottom