balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Kwa mola wa wakatolikiHawezi kuwa motoni, yupo kuume kwa mola wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mola wa wakatolikiHawezi kuwa motoni, yupo kuume kwa mola wewe
Mola wa wakatorikiEndereeeea kuriinda kabuliiiii
Bora huyu nilimuelewa kuwa alikuwa akiutaka urais, na Katiba yao ipo wazi kila baada ya miaka mitano urais unashindanishwa tena. Sasa Polepole hoja yake nini? Kama ni kukosoa serikali, yeye ni mbunge hivyo aende kule bungeni kuikosoa serikali atakavyo. Kama wateule wa Rais, Katiba pia haimzuii Rais kuteua awatakao iwapo anaona wanafaa. Kila Rais alifanya hivyo na yeye anajua. Wamfute tu Ili ajue "what goes around comes around'Alihoji Bernad Membe kuhusu haki yake ya kuwa mgombea Urais kwenye chama 2020 na matokeo yake alifukuzwa uwanachama.
Hana hata siri moja. Kavurugwa tuHuyu ndio mwenye siri zote za uchafu wa uchaguzi , inaelezwa kwamba kama akakosa ujasiri na akaamua kuweka mambo hadharani aibu itakayofumuka haijawahi kutokea , viapo vyote vya wasaliti amevirekodi na anavyo , na hakuna mwanaccm mwingine aliyenavyo , hii ndio sababu inayotajwa kuwa ilisababisha kuvunjiwa ghetto lake na wakora ili kuambulia chochote
HakikaHao wahuni hawana huo utaratibu gaidi bwana makengeza anachoamua nyumbu wanafata!
Kinacho muuma Polepole na Gwajima ni serikali kukubali na kuamini kuwa covid ipo nchini na inaua.Bora huyu nilimuelewa kuwa alikuwa akiutaka urais, na Katiba yao ipo wazi kila baada ya miaka mitano urais unashindanishwa tena. Sasa Polepole hoja yake nini? Kama ni kukosoa serikali, yeye ni mbunge hivyo aende kule bungeni kuikosoa serikali atakavyo. Kama wateule wa Rais, Katiba pia haimzuii Rais kuteua awatakao iwapo anaona wanafaa. Kila Rais alifanya hivyo na yeye anajua. Wamfute tu Ili ajue "what goes around comes around'
Wanasahau kabisa kuwa siku hazigandi.Mola wa wakatoriki
Ni mjinga tu ndiye ataamini kuwa Corona ni kitu cha mchezo.Kinacho muuma Polepole na Gwajima ni serikali kukubali na kuamini kuwa covid ipo nchini na inaua.
Pia kuamini kuwa chanjo ndiyo njia pekee ya kuwanusuru watanzania dhidi ya janga la covid.
Wao waliamini ktk maagizo ya jiwe kuwa covid haiwezi kuingia nchini Tanzania na kama ingeingia basi nyungu na kunifukiza ndiyo ilikuwa dawa pekee.
Ndiyo maana wengi wao wanaangamia kwa ubishi wa kijinga ingawa pia kufa kupo pale paleNi mjinga tu ndiye ataamini kuwa Corona ni kitu cha mchezo.
Ule ununuzi na ulanguzi wa binaadamu hapo mtaa wa kijani ni halali🤔?Mpaka wakati huu sijaona kosa la Polepole na wenzake, nidhamu ya woga sio wakati huu.
Huyo huyoUnamzungumzia Rashid au ?.
UbarikiweKwa mola wa wakatoliki
Haituhusu lakini kuelewa tu kambi ya adui wanafanya nini, ni moja ya strategy ya kivita..Inatuhusu nini sisi?
Kweli kabisa. Tofauti iliyopo ni kwamba Membe hakuwa na madhara lakini hawa jamaa wanawakilisha kundi kubwa sana la watu nyuma yao. Imagine kuwaadhibu hawa watu eti kisa wameamua kusimama imara dhidi ya ukoloni mamboleo wa siasa za corona na chanjo yake! Zaidi ya silimia 90 ya watz tunawaunga mkono.Ni kawaida hata Membe bila shaka aliitwa then akafurushwa ndani ya Chama.....sio jambo la kushangaza ni utaratibu wa CCM kwa wanachama wake....
Bila shaka hata vyama vingine vina taratibu zake, tuheshimu taratibu za vyama vyetu....Ndio demokrasia, ukikosea unaitwa unasikilizwa then hukumu inatoka...
Kama ndivyo anahitaji protection huyu vinginevyo watammaliza tu...Huyu ndio mwenye siri zote za uchafu wa uchaguzi , inaelezwa kwamba kama akakosa ujasiri na akaamua kuweka mambo hadharani aibu itakayofumuka haijawahi kutokea , viapo vyote vya wasaliti amevirekodi na anavyo , na hakuna mwanaccm mwingine aliyenavyo , hii ndio sababu inayotajwa kuwa ilisababisha kuvunjiwa ghetto lake na wakora ili kuambulia chochote
Asante sana kwa kunielimisha mkuuHaituhusu lakini kuelewa tu kambi ya adui wanafanya nini, ni moja ya strategy ya kivita..
Sema wewe na ukoo wako mnawaunga mkono.Kweli kabisa. Tofauti iliyopo ni kwamba Membe hakuwa na madhara lakini hawa jamaa wanawakilisha kundi kubwa sana la watu nyuma yao. Imagine kuwaadhibu hawa watu eti kisa wameamua kusimama imara dhidi ya ukoloni mamboleo wa siasa za corona na chanjo yake! Zaidi ya silimia 90 ya watz tunawaunga mkono.