Silaa, Polepole na Gwajima waitwa Kamati Kuu ya CCM kujieleza

Silaa, Polepole na Gwajima waitwa Kamati Kuu ya CCM kujieleza

Alihoji Bernad Membe kuhusu haki yake ya kuwa mgombea Urais kwenye chama 2020 na matokeo yake alifukuzwa uwanachama.
Bora huyu nilimuelewa kuwa alikuwa akiutaka urais, na Katiba yao ipo wazi kila baada ya miaka mitano urais unashindanishwa tena. Sasa Polepole hoja yake nini? Kama ni kukosoa serikali, yeye ni mbunge hivyo aende kule bungeni kuikosoa serikali atakavyo. Kama wateule wa Rais, Katiba pia haimzuii Rais kuteua awatakao iwapo anaona wanafaa. Kila Rais alifanya hivyo na yeye anajua. Wamfute tu Ili ajue "what goes around comes around'
 
Huyu ndio mwenye siri zote za uchafu wa uchaguzi , inaelezwa kwamba kama akakosa ujasiri na akaamua kuweka mambo hadharani aibu itakayofumuka haijawahi kutokea , viapo vyote vya wasaliti amevirekodi na anavyo , na hakuna mwanaccm mwingine aliyenavyo , hii ndio sababu inayotajwa kuwa ilisababisha kuvunjiwa ghetto lake na wakora ili kuambulia chochote
Hana hata siri moja. Kavurugwa tu
 
Bora huyu nilimuelewa kuwa alikuwa akiutaka urais, na Katiba yao ipo wazi kila baada ya miaka mitano urais unashindanishwa tena. Sasa Polepole hoja yake nini? Kama ni kukosoa serikali, yeye ni mbunge hivyo aende kule bungeni kuikosoa serikali atakavyo. Kama wateule wa Rais, Katiba pia haimzuii Rais kuteua awatakao iwapo anaona wanafaa. Kila Rais alifanya hivyo na yeye anajua. Wamfute tu Ili ajue "what goes around comes around'
Kinacho muuma Polepole na Gwajima ni serikali kukubali na kuamini kuwa covid ipo nchini na inaua.

Pia kuamini kuwa chanjo ndiyo njia pekee ya kuwanusuru watanzania dhidi ya janga la covid.

Wao waliamini ktk maagizo ya jiwe kuwa covid haiwezi kuingia nchini Tanzania na kama ingeingia basi nyungu na kunifukiza ndiyo ilikuwa dawa pekee.
 
Kinacho muuma Polepole na Gwajima ni serikali kukubali na kuamini kuwa covid ipo nchini na inaua.

Pia kuamini kuwa chanjo ndiyo njia pekee ya kuwanusuru watanzania dhidi ya janga la covid.

Wao waliamini ktk maagizo ya jiwe kuwa covid haiwezi kuingia nchini Tanzania na kama ingeingia basi nyungu na kunifukiza ndiyo ilikuwa dawa pekee.
Ni mjinga tu ndiye ataamini kuwa Corona ni kitu cha mchezo.
 
Kwa umri ilionao ccm na mambo wanayofanya haviendani, hawakujifunza kwa maalim seif na wenzake walipokuwa ccm wakawa wanahoji mambo. Hii yote kufikiri kila mtu anaweza kuwa mwanasiasa. Wote waliowaita wana uwezo mkubwa wa kujenga hoja, wakati waliobaki wanatumia siasa za vitisho.
 
Ni kawaida hata Membe bila shaka aliitwa then akafurushwa ndani ya Chama.....sio jambo la kushangaza ni utaratibu wa CCM kwa wanachama wake....

Bila shaka hata vyama vingine vina taratibu zake, tuheshimu taratibu za vyama vyetu....Ndio demokrasia, ukikosea unaitwa unasikilizwa then hukumu inatoka...
Kweli kabisa. Tofauti iliyopo ni kwamba Membe hakuwa na madhara lakini hawa jamaa wanawakilisha kundi kubwa sana la watu nyuma yao. Imagine kuwaadhibu hawa watu eti kisa wameamua kusimama imara dhidi ya ukoloni mamboleo wa siasa za corona na chanjo yake! Zaidi ya silimia 90 ya watz tunawaunga mkono.
 
Huyu ndio mwenye siri zote za uchafu wa uchaguzi , inaelezwa kwamba kama akakosa ujasiri na akaamua kuweka mambo hadharani aibu itakayofumuka haijawahi kutokea , viapo vyote vya wasaliti amevirekodi na anavyo , na hakuna mwanaccm mwingine aliyenavyo , hii ndio sababu inayotajwa kuwa ilisababisha kuvunjiwa ghetto lake na wakora ili kuambulia chochote
Kama ndivyo anahitaji protection huyu vinginevyo watammaliza tu...

Na ulinzi anaopaswa kuwa nao si huu tunaoujua wa kibinadamu bali ni wa aliye juu yaani BWANA MUNGU - Yehova...

Otherwise, labda anaweza kuwashinda tu wapinzani wake iwapo miungu yake ina nguvu kuizidi miungu ya anaopambana nao, yaani ya Rais Samia Suluhu na wenzake CCM na serikalini...
 
Kweli kabisa. Tofauti iliyopo ni kwamba Membe hakuwa na madhara lakini hawa jamaa wanawakilisha kundi kubwa sana la watu nyuma yao. Imagine kuwaadhibu hawa watu eti kisa wameamua kusimama imara dhidi ya ukoloni mamboleo wa siasa za corona na chanjo yake! Zaidi ya silimia 90 ya watz tunawaunga mkono.
Sema wewe na ukoo wako mnawaunga mkono.
 
Back
Top Bottom