Silaha ya mlinzi wa Lissu imenitoa ushamba

Halafu mtu anishawishi kuwa eti Lissu atashinda hahaha
 
Mbona mwamvuli tu ule?
 
Hiyo ni silaha ya kibeberu ambayo ni ghali sana kuimiliki, Duniani ni watu watatu tu wanaolindwa na silaha hiyo...wa kwanza ni Kim Jon Un, wa pili ni Rais wa Urusi na wa tatu ni Mh. Lisu.
Ayatollah wa Iran ametoa oda pia ila bado hajakidhi vigezo.
 

Hizi ndiyo zile lugha rasmi ambazo wale walio panga kukandamiza haki na uhuru wetu ikiwamo kukwiba uchaguzi wanaweza kuzielewa.

Lugha zilizodhamiria kwamba basi ni basi kweli kweli.

Viva askofu Mwamakula, si muda mrefu tutaungana sote kwenye msafara huo.

Haki na uhuru huinua taifa.
 
Hiyo ikipigwa haitoi sauti, ni vibration tu kama simu lakini inauwa watu 1000 kwa nusu dakika

Halafu ikiwaua hawatoki damu, damu inaganda ndani kwa ndani

Afrika nzima ni viongozi wawili tu wanalindwa na silaha hiyo
Makamu mwenyekiti wa chadema unaona nu kiongozi mkubwa Sana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…