πππ NakubaliHiyo ikipigwa haitoi sauti, ni vibration tu kama simu lakini inauwa watu 1000 kwa nusu dakika
Halafu ikiwaua hawatoki damu, damu inaganda ndani kwa ndani
Afrika nzima ni viongozi wawili tu wanalindwa na silaha hiyo
Jnaitwa LissugunIna
Inaitwaje hii siraha mkuu?
Ukitaka kupata majibu sahihi tafuta movie za kivietnam
Mbona mwamvuli tu ule?Wakuu,
Nianze kwa kudeclare interest kwamba mimi sio mjuvi na sina utaalam wowote kuhusu masuala ya silaha.
Kilichonisukuma kupandisha huu uzi ni baada ya kutazama video hapa chini ikimuonyesha mlinzi wa Lissu akiwa na silaha ya ajabu ambayo nimeshindwa kuelewa ni silaha ya aina gani.
Kombora sio kombora, mkuki sio mkuki, upinde sio upinde, Rpg sio rpg
View attachment 1600189
. Hakika imenitoa ushamba sana.
Naomba mwenye kuijua anipe taarifa zake ili siku nikipata ukwasi wa kutosha na mimi nikainunue kwaajili ya ulinzi binafsi.
Asante.
Ya ccm unalia tu basikwani bomu linaua watu wangapi kwa wakt mmoja
"Hahaha" ni kiashiria cha kushobolwaHalafu mtu anishawishi kuwa eti Lissu atashinda hahaha
Mkuu hilo swali ukiingia kwenye website inayohusu umiliki wa silaha kwa sheria za Tanzania utapata majibu yote
Lala tu nyumbaniWanafunga barabara tena?!
Wakuu,
Nianze kwa kudeclare interest kwamba mimi sio mjuvi na sina utaalam wowote kuhusu masuala ya silaha.
Kilichonisukuma kupandisha huu uzi ni baada ya kutazama video hapa chini ikimuonyesha mlinzi wa Lissu akiwa na silaha ya ajabu ambayo nimeshindwa kuelewa ni silaha ya aina gani.
Kombora sio kombora, mkuki sio mkuki, upinde sio upinde, Rpg sio rpg
View attachment 1600189
. Hakika imenitoa ushamba sana.
Naomba mwenye kuijua anipe taarifa zake ili siku nikipata ukwasi wa kutosha na mimi nikainunue kwaajili ya ulinzi binafsi.
Asante.
Zenye uwezo wa kuua mtu bila kumjeruhi.Labda tuanzie tu kwa kukuuliza, umiliki wa silaha kwa mtu binafsi anaruhusiwa kumiliki silaha zenye uwezo upi
Na kweli.Lala tu nyumbani
Makamu mwenyekiti wa chadema unaona nu kiongozi mkubwa Sana?Hiyo ikipigwa haitoi sauti, ni vibration tu kama simu lakini inauwa watu 1000 kwa nusu dakika
Halafu ikiwaua hawatoki damu, damu inaganda ndani kwa ndani
Afrika nzima ni viongozi wawili tu wanalindwa na silaha hiyo
Bashiru hatii mguu Sasa huyo kiongozi mdogo!?Makamu mwenyekiti wa chadema unaona nu kiongozi mkubwa Sana?