Silaha ya mlinzi wa Lissu imenitoa ushamba

Silaha ya mlinzi wa Lissu imenitoa ushamba

Wakuu,

Nianze kwa kudeclare interest kwamba mimi sio mjuvi na sina utaalam wowote kuhusu masuala ya silaha.

Kilichonisukuma kupandisha huu uzi ni baada ya kutazama video hapa chini ikimuonyesha mlinzi wa Lissu akiwa na silaha ya ajabu ambayo nimeshindwa kuelewa ni silaha ya aina gani.

Kombora sio kombora, mkuki sio mkuki, upinde sio upinde, Rpg sio rpg

View attachment 1600189
. Hakika imenitoa ushamba sana.

Naomba mwenye kuijua anipe taarifa zake ili siku nikipata ukwasi wa kutosha na mimi nikainunue kwaajili ya ulinzi binafsi.
Asante.
Hii imetokea wapi mkuu?
 
Hiyo ikipigwa haitoi sauti, ni vibration tu kama simu lakini inauwa watu 1000 kwa nusu dakika

Halafu ikiwaua hawatoki damu, damu inaganda ndani kwa ndani

Afrika nzima ni viongozi wawili tu wanalindwa na silaha hiyo
Mkuuu..mkuuu..kwanini unakua muongo hivyo..? 🤣🤣🤣
 
Haa mnachekesha sana aisee,Chadema mnavituko sana.
sasa anamlinda muheshimiwa alafu silaha kaiweka nyuma ya mgongo!?
 
Wakuu,

Nianze kwa kudeclare interest kwamba mimi sio mjuvi na sina utaalam wowote kuhusu masuala ya silaha.

Kilichonisukuma kupandisha huu uzi ni baada ya kutazama video hapa chini ikimuonyesha mlinzi wa Lissu akiwa na silaha ya ajabu ambayo nimeshindwa kuelewa ni silaha ya aina gani.

Kombora sio kombora, mkuki sio mkuki, upinde sio upinde, Rpg sio rpg

View attachment 1600189
. Hakika imenitoa ushamba sana.

Naomba mwenye kuijua anipe taarifa zake ili siku nikipata ukwasi wa kutosha na mimi nikainunue kwaajili ya ulinzi binafsi.
Asante.
Hiyo ndiyo inaitwa Bombadieee, ni hatari sana adi kampuni ya kutengeneza ndege ikaomba kutumia jina lake
 
Hakuna ubishi SILAHA KUBWA KWA LISSU NI MUNGU WA MBINGUNI
 
Hata mm nilicheki iyo video ja a ikibidi niwe mpole haieleweki ni nn
Wakuu,

Nianze kwa kudeclare interest kwamba mimi sio mjuvi na sina utaalam wowote kuhusu masuala ya silaha.

Kilichonisukuma kupandisha huu uzi ni baada ya kutazama video hapa chini ikimuonyesha mlinzi wa Lissu akiwa na silaha ya ajabu ambayo nimeshindwa kuelewa ni silaha ya aina gani.

Kombora sio kombora, mkuki sio mkuki, upinde sio upinde, Rpg sio rpg

View attachment 1600189
. Hakika imenitoa ushamba sana.

Naomba mwenye kuijua anipe taarifa zake ili siku nikipata ukwasi wa kutosha na mimi nikainunue kwaajili ya ulinzi binafsi.
Asante.
 
Inaitwa Harpoon gun..
uewor71jidpm.jpg
 
Back
Top Bottom