mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hyo ilitumika enzi za mawe za kale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii imetokea wapi mkuu?Wakuu,
Nianze kwa kudeclare interest kwamba mimi sio mjuvi na sina utaalam wowote kuhusu masuala ya silaha.
Kilichonisukuma kupandisha huu uzi ni baada ya kutazama video hapa chini ikimuonyesha mlinzi wa Lissu akiwa na silaha ya ajabu ambayo nimeshindwa kuelewa ni silaha ya aina gani.
Kombora sio kombora, mkuki sio mkuki, upinde sio upinde, Rpg sio rpg
View attachment 1600189
. Hakika imenitoa ushamba sana.
Naomba mwenye kuijua anipe taarifa zake ili siku nikipata ukwasi wa kutosha na mimi nikainunue kwaajili ya ulinzi binafsi.
Asante.
Mkuuu..mkuuu..kwanini unakua muongo hivyo..? 🤣🤣🤣Hiyo ikipigwa haitoi sauti, ni vibration tu kama simu lakini inauwa watu 1000 kwa nusu dakika
Halafu ikiwaua hawatoki damu, damu inaganda ndani kwa ndani
Afrika nzima ni viongozi wawili tu wanalindwa na silaha hiyo
Chato-geita mkuuHii imetokea wapi mkuu?
Siku nyingine usirudie kuongea uongo hadharani utaumbukaIle ni silaha hatari kuliko hata Ak 47
Hiyo ndiyo inaitwa Bombadieee, ni hatari sana adi kampuni ya kutengeneza ndege ikaomba kutumia jina lakeWakuu,
Nianze kwa kudeclare interest kwamba mimi sio mjuvi na sina utaalam wowote kuhusu masuala ya silaha.
Kilichonisukuma kupandisha huu uzi ni baada ya kutazama video hapa chini ikimuonyesha mlinzi wa Lissu akiwa na silaha ya ajabu ambayo nimeshindwa kuelewa ni silaha ya aina gani.
Kombora sio kombora, mkuki sio mkuki, upinde sio upinde, Rpg sio rpg
View attachment 1600189
. Hakika imenitoa ushamba sana.
Naomba mwenye kuijua anipe taarifa zake ili siku nikipata ukwasi wa kutosha na mimi nikainunue kwaajili ya ulinzi binafsi.
Asante.
Inaitwa FyekaCCMUzi hadi umefikia huku bila majibu. Au ni jambia. ?
Nashangaa hadi ma-GT wamepoteana. Hiyo silaha kibokoUzi hadi umefikia huku bila majibu. Au ni jambia. ?
Silaha ni kujua kuitumia haijalishi ukubwa au udogo wake. Hio inaitwa msolopoganzi.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
kwa kiswahili ni Chusa ni silaha hatari sana nimeigoogleHiyo ni Harpoon. Sijui kiswahili chake
Wakuu,
Nianze kwa kudeclare interest kwamba mimi sio mjuvi na sina utaalam wowote kuhusu masuala ya silaha.
Kilichonisukuma kupandisha huu uzi ni baada ya kutazama video hapa chini ikimuonyesha mlinzi wa Lissu akiwa na silaha ya ajabu ambayo nimeshindwa kuelewa ni silaha ya aina gani.
Kombora sio kombora, mkuki sio mkuki, upinde sio upinde, Rpg sio rpg
View attachment 1600189
. Hakika imenitoa ushamba sana.
Naomba mwenye kuijua anipe taarifa zake ili siku nikipata ukwasi wa kutosha na mimi nikainunue kwaajili ya ulinzi binafsi.
Asante.
wengi hawaijui kwa kiswahili ni ChusaInaitwa Harpoon gun..View attachment 1602604