cleoalchemy
Senior Member
- Nov 30, 2019
- 126
- 118
Aisee Lissu kajizatiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
la nyukliaInategemea na aina ya bom
la nyuklia
Mwenye stillWakuu,
Nianze kwa kudeclare interest kwamba mimi sio mjuvi na sina utaalam wowote kuhusu masuala ya silaha.
Kilichonisukuma kupandisha huu uzi ni baada ya kutazama video hapa chini ikimuonyesha mlinzi wa Lissu akiwa na silaha ya ajabu ambayo nimeshindwa kuelewa ni silaha ya aina gani.
Kombora sio kombora, mkuki sio mkuki, upinde sio upinde, Rpg sio rpg
View attachment 1600189
. Hakika imenitoa ushamba sana.
Naomba mwenye kuijua anipe taarifa zake ili siku nikipata ukwasi wa kutosha na mimi nikainunue kwaajili ya ulinzi binafsi.
Asante.
CCM WANAKUTESA MOYO EEEEHiyo silaha ukimtwanga nayo mtu mwingine anaumia kidogo tu ila ukiyatungua maccm hayaombi hata maji yanapasuka kama papai lililoiva sana linapodondoka ardhini
Hiyo silaha ina itwa 19ND 2l ni silaha ambayo watu wanao husika na mapenzi ya njisia moya hutumia kumuenzi mwanajeshi wa marekan lews brown alieye igundua 1972Wakuu,
Nianze kwa kudeclare interest kwamba mimi sio mjuvi na sina utaalam wowote kuhusu masuala ya silaha.
Kilichonisukuma kupandisha huu uzi ni baada ya kutazama video hapa chini ikimuonyesha mlinzi wa Lissu akiwa na silaha ya ajabu ambayo nimeshindwa kuelewa ni silaha ya aina gani.
Kombora sio kombora, mkuki sio mkuki, upinde sio upinde, Rpg sio rpg
View attachment 1600189
. Hakika imenitoa ushamba sana.
Naomba mwenye kuijua anipe taarifa zake ili siku nikipata ukwasi wa kutosha na mimi nikainunue kwaajili ya ulinzi binafsi.
Asante.
Jibu nzuri na sahihiHiyo ni Harpoon. Sijui kiswahili chake
M m. MSPMG
Evil spirit[emoji28][emoji28]Hiyo silaha ukimtwanga nayo mtu mwingine anaumia kidogo tu ila ukiyatungua maccm hayaombi hata maji yanapasuka kama papai lililoiva sana linapodondoka ardhini
SanaaaRaha Sana Magufuli kutuvusha awamu nyingine
Mwanvuli ule, maana jua la Afrika Mashariki ni kali mno kuliko kule aliko kuwa kwa muda wa miaka takribni mitatu.Naomba mwenye kuijua anipe taarifa zake ili siku nikipata ukwasi wa kutosha na mimi nikainunue kwaajili ya ulinzi binafsi.
Asante.
Hv ilkuwa ni nini?!Wakuu,
Nianze kwa kudeclare interest kwamba mimi sio mjuvi na sina utaalam wowote kuhusu masuala ya silaha.
Kilichonisukuma kupandisha huu uzi ni baada ya kutazama video hapa chini ikimuonyesha mlinzi wa Lissu akiwa na silaha ya ajabu ambayo nimeshindwa kuelewa ni silaha ya aina gani.
Kombora sio kombora, mkuki sio mkuki, upinde sio upinde, Rpg sio rpg
View attachment 1600189
. Hakika imenitoa ushamba sana.
Naomba mwenye kuijua anipe taarifa zake ili siku nikipata ukwasi wa kutosha na mimi nikainunue kwaajili ya ulinzi binafsi.
Asante.
Mfahamu mlinzi wa Tundu Lissu, Renatus Hangaya. Asema alimfahamu 2006 kumfundisha 'Martial Arts'
Renatus Charles Hangaya ndio jina lake mzaliwa wa Kahama mkoani Shinyanga mwaka 1980. Alifukuzwa shuleni kwa hujuma za kifamilia sababu kuu ikiwa mali za mzee wake. Kwenye historia amesema alikuwa kamanda wa scout wa kikosi cha Simba, walipelekwa camp Uganda 1994 na kuweza kuwika Afrika kiasi...www.jamiiforums.com