Silaha ya mlinzi wa Lissu imenitoa ushamba

Mwenye still
 
Huo ni kama upinde tu..hakuna cha ajabu hapo.
 
Hapo umeandika nini bwa shee?

We ukiangalia ulichoandika hujishangai?
 
Hiyo silaha ina itwa 19ND 2l ni silaha ambayo watu wanao husika na mapenzi ya njisia moya hutumia kumuenzi mwanajeshi wa marekan lews brown alieye igundua 1972
Uwezo wake ni wakawaida inapiga 600mta na inatumia 4magazine
 
Naomba mwenye kuijua anipe taarifa zake ili siku nikipata ukwasi wa kutosha na mimi nikainunue kwaajili ya ulinzi binafsi.
Asante.
Mwanvuli ule, maana jua la Afrika Mashariki ni kali mno kuliko kule aliko kuwa kwa muda wa miaka takribni mitatu.
 
Hivi i
Hv ilkuwa ni nini?!
 
Hiyo ni harpoon kama mtu mmoja alivyosema hapo juu hutumika hasa kuvulia samaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…