Silent Hero Huyu ni Mzalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Ndie Aliyefanya Katiba Ifuatwe Mama Akawa!. Apewe Maua Yake!... Stahiki ni kuwa DGIS in Future!

Mama anatakiwa kumuona huyu Kwa jicho la pekee.
 
Kumekucha

Anafaa kuwa nani sasa? Rais au Mwenyekiti wa Chama cha habari au CEO wa kampuni yako?

Huwa siwaamini kabisa spies. Mtu aliye nje ya system sababu ya kukizanzana na maboss wake kwenye kazi anayoipenda sana, unamuaamije anamaanisha anachosema?

Just for your information, the guy is one of those rare local species with the art of disguising the public. He is good at deception
 
the guy is good kwenye kazi yake, TIss needs transformation, exposure ya huyu jamaa inaweza kusaidia sana。
P
 
Hon Learned Counsel of the high court and prominent senior journalist, I applaud your renowned interactive with the stings of your caliber like a fugitive spy EVACHA.

Are you suggesting that this guy fits to be coronated into the top sitting of the spymaster of the banana republic?

To win my accolade and others you are hereby challenged to convince him to expose what happened to JPM's demise root cause as what was announced by the government was alleged to be manipulated to neutralize the political tension and the citizens' potential backlash.

Two coverts Eric Kabendera and Evarist Chahali should come out to tell the public as to who was involved in accelerating the extermination of the late 'Jiwe Kweli Kweli' alias bulldozer contrary to which these are mere rhetorical commendations to one of the mercenaries.
Anomancy (Behavioral Code Numbers)
  • Strengths and weaknesses: This can help to identify a person's strengths and weaknesses.
  • Compatibility: This can help to assess the compatibility between two people.
  • Personal growth: This can help people make better decisions and grow as individuals.
EK=7-introverts and thinkers
EC=8-power, strength, ambition, efficiency, discipline, reality, money, finances, truth, integrity, abundance and prosperity
JPM=3-creative, expressive, and social
1. Code 7+8= 6 (reliable, hard-working, responsible, and trustworthy)
2. Code 7+3= 1 (independent, ambitious, and strong-willed)
3. Code 8+3= 2 (diplomatic, sensitive, and cooperative)
4. Code 6+1+2=9 (punctual, disciplined, and inspiring)

The combination of the stings reveals personality traits and destinies........
 

The guys is also so arrogant. Arrogance yake ndio imekuwa limitation pia. TISS inahitaji watu wenye balanced minds. Sio wanaofikiria wao ndio wanajua kila kitu, hata kama hawajui lolote
 
Mtu aliyefanya kazi za intelijensia kama huyo tena Kwa miaka mingi halafu si Kwa miaka mingi mitupu bali senior mwenye kuheshimika huko idarani, mtu aliyejitolea maisha Yake kutulinda sisi kwanini Mimi nisimuite shujaa wa kweli na si keyboard warriors kama sisi hapa JF. Wakati mwingine nadhani mtu anaweza kutofautiana mtazamo au mitazamo Fulani kuhusu jambo Fulani hivyo ikapelekea kuonekana kama unapingana na watu au watu wakubwa hivyo ikapelekea balaa hata kukimbia nchi. Nchi hii ina watu wengi wazalendo, lakini nao pia ni binadamu wanataka kuishi, kulala vizuri na kunywa vizuri na si kukimbizana na kuwindana na watu wanaowafahamu.

Hivyo ni vizuri viongozi wetu wa kisiasa wawe wazalendo maana wakumbuke tu koo, familia zao tunaishi nazo hapa nchini maana muda unaponya au kuumiza, wapo baadhi ya viongozi wakubwa waliostaafu Hadi Leo wanajuta kwenye mioyo na nafasi zao na kulia Kwa Siri Kwa uharibifu walioufanyia nchi hii, watalipa palipo pakubwa kama waliokwisha lipa kabla Yao.
 
Kamwa kweli ni mzalendo mwambie aje hadharani kutoboa siri ya kilichomkuta JPM mara tu baada ya kutoka kufungua majengo ya polisi kule Kurasini hapo ndipo urejee kumsifia mtu mwenye kiburi, jeuri , ujuaji nk. TISS safi hajiweki hadharani kama huyu alivyo, huyu anatafuta maslahi tu, ndio maana kipindi cha mwanzo cha utawala wa JPM walikuwa marafiki sana lakini JPM alipombaini ni ndumila kuwili akaghairi kumpandisha cheo kwenye kitengo na wenzie waliokuwa wananyemelea walipogundua uchonganishi ukachochewa hadi huyu mtu wa milimani akatimkia Uskochi huko hadi leo.
 
Kwa kuwa yeye hawezi kudhubutu kusema, naomba useme na utuambie wewe Nini kilitokea. Kiburi, na jeuri zake ziko wapi, tuambie na hili. Nitashukuru ukisema.
 
Basi huna haja ya kusema kwa watu Fulani ni jeuri na kiburi bila kusema ujeuri wake. Acha watu wamuimbe Kwa jinsi wanavyojua wao maana wewe umefanya unafiki mkubwa.
Basi huna haja ya kusema kwa watu Fulani ni jeuri na kiburi bila kusema ujeuri wake. Acha watu wamuimbe Kwa jinsi wanavyojua wao maana wewe umefanya unafiki mkubwa.
Obtuse reaction
 

Hilo hawawezi kuongea...maana wanaona hatuna sababu ya kulijua. Ila kupewa UDG ndio tunatakiwa kujua.
Yes ni mbobezi. Ila ni arrogant sana. Sioni kama mtu arrogant anaweza kutusaidia kufika popote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…