zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Hapa sijakuelewa sasa huyo Mganda amesaidiaje kufunguka?Kiukweli Erick Kabendera ametusaidia sana watu kufunguka!. Aliyefunguka hapa ni TISS kwenye barua hiyo ni TISS!.
Ujeuri tu...na arrogance juu yake. Hata katika maandishi yake hilo huwa halifichi. Hana sifa za kuwa mtu wa juu wa idara yenye interest nyingi tofauti tofauti, kama TISS.Basi huna haja ya kusema kwa watu Fulani ni jeuri na kiburi bila kusema ujeuri wake. Acha watu wamuimbe Kwa jinsi wanavyojua wao maana wewe umefanya unafiki mkubwa.
Quandary eeh!...hahhObtuse reaction
Bila shaka...Huyu nae sio siku hizi sio kabisa.
Kwangu Mimi namuona ni mtu shujaa sana, may be Kwa kuwa ninaona upande wake mwingine.Ujeuri tu...na arrogance juu yake. Hata katika maandishi yake hilo huwa halifichi. Hana sifa za kuwa mtu wa juu wa idara yenye interest nyingi tofauti tofauti, kama TISS.
"If you only have a hammer, you tend to see every problem as a nail. Abraham Maslow" TISS haihitaji mtu ambaye kila tatizo analiona ni msumali wa kupigwa nyundo upotelee huko ndani...hata kama ndani unaharibu
Mkuu hata Kitila Mkumbo alisema hataki kazi za kuteuliwa na alilaani Rais kuteua wahadhiri lakini alipoteuliwa alishukuru vibaya sn mpk sahivi anatamanni angekuwa na miaka 24 atafune keki ya nchi. But hongera mkuuMkuu Benja, Benjamini Netanyahu , nakwenda 60, nimefanya zaidi ya 30 years, mimi ni mwandishi wa habari, naandikia magazeti 6, mimi ni mtangazaji wa redio, natangazia redio 5, mimi ni mtangazaji wa TV, natangazia vituo 5, mimi ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea nikitoa elimu ya katiba, sheria na haki, na msaada wa kisheria, niwe DAS ili nikafanye nini?.
Please!. Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
P
Kwanza EK sio Mganda ni Mtanzania!,kabla ya kitabu cha EK uliwahi kumuona any known TISS akifunguka mambo ya TISS?。Hapa sijakuelewa sasa huyo Mganda amesaidiaje kufunguka?
Sijasema sio Mtanzania ila nimesema asili yake ni UG, kabla sijawahi kuona niambie sababu ya kua hivyo?Kwanza EK sio Mganda ni Mtanzania!,kabla ya kitabu cha EK uliwahi kumuona known TISS akifunguka mambo ya TISS?。
P
Wahaya wote walikuwa chini ya dola kuu ya Bunyoro,hivyo ni wakoloni ndio waliweka mipaka wakakata makabila,Wahaya ni Baganda, Wanyasa ni Wamalawi, Wajauluo ni Kenya, etc。Sijasema sio Mtanzania ila nimesema asili yake ni UG, kabla sijawahi kuona niambie sababu ya kua hivyo?
Mwisho naona umekubari kwamba EK asili yake kabisa kabisa ni wa kule kwa Kabaka MutesaWahaya wote walikuwa chini ya dola kuu ya Bunyoro,hivyo ni wakoloni ndio waliweka mipaka wakakata makabila,Wahaya ni Baganda, Wanyasa ni Wamalawi, Wajauluo ni Kenya, etc。
P
Guuku, hutaki vijana wakutanie, umeshakuwa Babu yao.Mkuu Benja, Benjamini Netanyahu , nakwenda 60, nimefanya zaidi ya 30 years, mimi ni mwandishi wa habari, naandikia magazeti 6, mimi ni mtangazaji wa redio, natangazia redio 5, mimi ni mtangazaji wa TV, natangazia vituo 5, mimi ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea nikitoa elimu ya katiba, sheria na haki, na msaada wa kisheria, niwe DAS ili nikafanye nini?.
Please!. Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
P
Yaani wewe muda wote unaandikaga ujinga ujinga tuHastahili ametusababishia balaa tupu, nchi imejaa wazanzibar tupu kwenye mifumo badala ya wabara,wabara wakienda Zanzibar wanakuwa kama wakimbizi lakini wazanzibar wana haki zote wakiwa bara au viziwani
Kaombe kazi Zanzibar wewe shetani tuone kama utapewaYaani wewe muda wote unaandikaga ujinga ujinga tu
Yeye alitoa uhai wangapi?Chahali hafai.
Yule ndiye aliyefichua siri za Magufuli na kuwawezesha adui zake wamtoe uhai.
Nipo ZanzibarKaombe kazi Zanzibar wewe shetani tuone kama utapewa
Labda Chunya kuna bar inaitwa ZanzibarNipo Zanzibar
Shikamoo Mshua 🙏🙌60 so mchezoMkuu Benja, Benjamini Netanyahu , nakwenda 60, nimefanya zaidi ya 30 years, mimi ni mwandishi wa habari, naandikia magazeti 6, mimi ni mtangazaji wa redio, natangazia redio 5, mimi ni mtangazaji wa TV, natangazia vituo 5, mimi ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea nikitoa elimu ya katiba, sheria na haki, na msaada wa kisheria, niwe DAS ili nikafanye nini?.
Please!. Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
P