Silent Hero Huyu ni Mzalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Ndie Aliyefanya Katiba Ifuatwe Mama Akawa!. Apewe Maua Yake!... Stahiki ni kuwa DGIS in Future!

Kile chetu is the one and only, hivyo watu ni wale wale nchi ile ile na mambo yale yale, tukiwaambia watu ukweli mchungu,kuwa kitatawala milele, hawaamini!。
P
 
Kile chetu is the one and only, hivyo watu ni wale wale nchi ile ile na mambo yale yale, tukiwaambia watu ukweli mchungu,kuwa kitatawala milele, hawaamini!。
P
Nakiri hili kwa sababu nimekuja kujua late kuwa TZ hakuna UPINZANI at all .

Ila Paskali you have to trust , dunia inavyokwenda … kitaibuka chama cha Upinzani chenye Tija and along the way Katiba itabadilishwq hata kwa kumwaga damu and that will be the end of CCM

KUKITOA chama kilichotawala 60 years not so easy , with disaster…. Some days kitatoka

Kuna kizazi fulan lazima KIFE ndio changes zitokee…. Vijana wanazidi kuchanganyikiwa siku baada ya siku and CCM are not smart kukabiliana na hali huko mbeleni…. They still have old version of doing things

It is matter of time
 
Zamani scouting inafanyika shuleni picking the best brains。
P
Ujasusi wa leo ni UMBEA. Paskali kafanya nini nani kafanya nini. Etc kazi za TISS wa sasa hata layperson can do ….. ni kuchunguza maisha ya watu na kuwa mmbea na kubeba uhusika wa ukichaa that is as Fucq

Huku majuu intelligence ya nchi ina focus kwenye :
Technologies and digital transformation, Liquidity na Insolvency issues, economy na inflation, cybersecurity, AI, industrialisation, Monetary, investment and employment, language transformation etc

Like , with technologies Advancement, AI and Digital transformation , data science inayokuwa kwa kasi…. Kuna job nyingi sana zitapotea along the way …..je gvt ina take in place contigency plan gan kukabiliana na hilo wimbi la ukosefu wa ajira in the near vijana…. Vijana waliosoma watakosa ajira wataingia kwenye uhalifu na watachanganyikiwa …. Hatar sana kuwa na msomi kisha hana mishe za maana

; je What strategies serikali ifanye raia wapende investment kuliko kupenda kuajiriwq….. Those are analysis TISS should be able to put in place but hawa wa kwetu hata kutumia PC hawawezi kazi yao kuvaa kaunda suti na ear buds na simu za mkonge na black glasses kama vile tupo miaka ya ujima…..but leverage ya technology hawana…. Shame

Vita ya sasa ipo kwenye technology, infrastructures , industrialisation na Monetary
Vita ya TISS ipo kwenye kuhakikisha fulan anabaki madarakani, ´nani anaongea ukweli akamatwe But Capacity ya kuona unknown risk hamna….
Nchi nzima imejaa matangazo ya Samia, wakati izo ni business places ni sehemu za matangazo zinapaswa kulipiwa na ku collect kodi

Umasikini wa Tanzania unaanzia kwenye brain za viongozi
 

Kusema hakuna majawabu kwenye changamoto zetu sio sahihi. Kusema hakuna watu wenye uwezo wa kuleta mapinduzi chanya nayo sio sahihi.
Kitu ambacho nakishangaa ni kuzungusha wale wale kila siku halafu kutegemea matokeo tofauti. Na ni wajanja sana. Wanajua kupigiana debe na kutuaminisha huyu mtu anafaa maana tunamjua. 😂 😂
 

Duuuh,ila dhana inaweza ikawa sio halisi lakini kwa uhakika kwa asilimia kubwa kwa yanayoendelea wakati mwingine na yanayosemwa na Kabendera kama ni ya kweli basi mchongo wote yule Makamu wa Rais Mabuto alikua anajua mchongo wote .

Mengine yote yalikua ni zuga tu sijui ameenda ziara Kabanga ,sijui wanataka kukiuka katiba ,ni usanii tu . Mchongo ulichezwa na waliocheza mchezo walitaka mtu wanayemtaka amerithi mabutu asiwe kama Mabuto na cheche zake .
Dili lilikua linajua kwa wazi nani atachukua nafasi . Waliojaribu kuhujumu mipango ya uapishwaji ni kwa sababu tu hawakujua dili lilipoanza na hawakushirikishwa hujuma nzima ya kuama ugomvi.
Kifo cha Mabuto kilineemesha wengi kwa namna mbalimbali .Wengi waligawana viroba vya fedha ,wengine dhahabu ,wengine madaraka na kupata fursa ya kuuza rasilimali za Kongo kiholela kuonyesha kuwa walikua wamejipanga kumpoteza Mabutu kwa umoja wao.
 
Pasco unaweka hadi mabandiko ya kuji brand mtu unashindwa kujua unapigia chapuo nini! Sasa mabandiko ya 2015 yanahusika vipi? Unaji brand sana
Nasikitika kuona kuwa umechelewa sana Kuling'amua hili, ila analo Kiasili na ndiyo linamgharimu Kutwa tu kiasi kwamba yupo yupo tu wakati Wenzake 'wanaukata' tu kila Kukicha.
 
Chahali nadhani yuko huko na bado yuko kazini, ni namna tu aishi vipi huko ughaibuni ila bado anaitumikia serikali ya JMT kwa uaminifu mkubwa.
 
Mkuu Ozon, ni kweli ila ni baadhi tuu,hii thread sio ya watoto!。
P
Mkuu Mayalla vipi nikimwangalia maza ni kama anajiandalia mazungira mazuri kwa kampeni zake hasa kwa hizi tetesi za kumdhamini Mbowe nadhani lengo lake akipita Mbowe kwenye uenyekiti na kwa kuwa atakuwa amewezeshwa na mama atamuwekea mgombea ambaye atakuwa soft au atakayepangiwa yapi ayaseme kwenye kampeni.

Unadhani kwa mazingira hayo anaweza akamwachia mwanaume agombee kama sauti yako ya ndani inavyokutuma, huoni kama mazingira ya fomu moja yanamtengenezea njia ya kupeperusha bendera ya wanakijani bila kikwazo. Unadhani nini kitatokea ili mgombea awe mwanaume maana ni kweli mara nyingi unayoyaandika yamekuwa yakitokea. Na mimi pamoja na kujikataa kuwa wewe ni kipepeo ila kuongea kwako kutembea kwako na mwonekano wako unaonyesha kabisa wewe ni kipepeo ambaye hutaki watu wajue hilo japo si lazima kila mtu ataamini maana hamjitangazi hadharani.
 
Nakiri hili kwa sababu nimekuja kujua late kuwa TZ hakuna UPINZANI at all .
Mkuu Megalo, Megalodon , kwanza nimefarijika sana kwa kauli yako hii, you are a genuine person, watu genuine ni wachache na most times ni wanachukiwa na society, wanachukiwa na wengi kwasababu ni wakweli kupitiliza, Mwalimu Nyerere was one of them, JPM was another, hata TAL akipunguza u ropo ropo!. Thanks for genuity!.
Samia alipoingia, she was very genuine, ni mkweli, mpenda haki na mtenda haki, she was very genuine kutaka kuwatendea haki Watanzania, tatizo lake ni moja tuu, naomba kwa heshima ya kiongozi wetu mkuu, nisilitaje. Kutokana na tatizo hilo, wahafidhina wa CCM, reached her, wamefanikiwa kim brain wash, sasa anawasikiliza, na kiukweli wanamdanganya sana!. Mtandao huu tumeendelea kumsaidia kwa kumweleza ukweli kama huu
Ila Paskali you have to trust , dunia inavyokwenda … kitaibuka chama cha Upinzani chenye Tija and along the way Katiba itabadilishwq hata kwa kumwaga damu and that will be the end of CCM
True
KUKITOA chama kilichotawala 60 years not so easy , with disaster…. Some days kitatoka
True
Kuna kizazi fulan lazima KIFE ndio changes zitokee…. Vijana wanazidi kuchanganyikiwa siku baada ya siku and CCM are not smart kukabiliana na hali huko mbeleni…. They still have old version of doing things
This is very true, na hili la kizazi kife kiibuke kingine, hata mimi nimelisema Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
It is matter of time
Nakubaliana na wewe, my initial calculatins was 2030, but kumetokea fursa 2025 kupitia TAL!. Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?
P
 
Chahali alitimkia Scotland kabla ya utawala wa Magufuli, huko unakosema sijui alitaka kupandishwa cheo na JPM ni uongo uliokubuhu
 
Chahali nadhani yuko huko na bado yuko kazini, ni namna tu aishi vipi huko ughaibuni ila bado anaitumikia serikali ya JMT kwa uaminifu mkubwa.
No, huyu ni mtu wa intelligence ambaye pia ni intelligent,wengi wa huko siku hizi ni majinga tuu, ndio maana yalishindwa kumprotect yule mtu wetu。

Kuna namna ambayo hawa jamaa huwa wanafanya to do away na watu wao ambao they are done with,the ejecting mechanism differ,hivyo alipotonywa he is about to be ejected,akaamua kuwawahi kwa ku deffect kabla! 。Jamaa ukiwawahi, wanakasirika sana,angekuwa within their reach,wange mu imrankombe!。
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…