Simba 1-0 Azam FC | Simba yatwaa ubingwa kombe la Mapinduzi

Simba 1-0 Azam FC | Simba yatwaa ubingwa kombe la Mapinduzi

Michuano ya Mapinduzi Cup 2022 inafikia tamati leo kwa mechi ya fainali kupigwa, AzamFC dhidi ya Simba SC. Katika fainali za mwaka 2017 na 2019 timu hizi zilikutana na zote AzamFC kaibuka bingwa. Je, AzamFC kutwaa taji hili kwa mara ya tatu mbele ya Simba SC ama Simba SC kulipa kisasi?

Tunakuletea LIVE mech hi kuanzia
saa 2:15 usiku.

Leo pia

Kutakuwa na VITA YA UFUNGAJI BORA: Hawa ndiyo vinara wa mabao kwenye Mapinduzi Cup 2022 , kila mmoja akiwa ametupia mabao mawili. Sasa leo kutakuwa na vita kati ya Iris Ilunga Mbombo wa Azam dhidi ya Pape Ousmane Sakho, wote wana mabao mawili kila mmoja...Je, unampa nani nafasi ya kuibuka mfungaji bora mwaka huu? Wengine walioaga mashindano wakiwa wamefunga magoli mawili kila mmoja ni:

Hussein Mwinyi - Meli 4 City.
Heritier Makambo - Yanga.
Abrahman Othman - KMKM SC

Tukutane saa 2:15 kwenye fainali LIVE
Naona umemuwahi FORTALEZA
 
Simba na Azam ni sawa na kusema wanakutana Mkubwa na Mwanae.
Wala hampatagi shida ya kuchukua point tatu, Hata Ajib mmewapa bure tu.

Nawajuza mapema kuwa Kombe linaenda kwa Mkubwa
Hongereni Simba kwa ubingwa wa Mapinduzi Cup.

Pia mwambieni Sakko awe anashangilia magoli yake kwa burudani kama za Mayele, Hiyo staili yake ya kuchambua mchele haina mvuto.
 
Simba na Azam ni sawa na kusema wanakutana Mkubwa na Mwanae.
Wala hampatagi shida ya kuchukua point tatu toka kwa Azam, Hata Ajib mmewapa bure tu.

Nawajuza mapema kuwa Kombe linaenda kwa Mkubwa
Hongereni Simba kwa ubingwa wa Mapinduzi Cup.

Pia mwambieni Sakko awe anashangilia magoli yake kwa burudani kama za Mayele, Hiyo staili yake ya kuchambua mchele haina mvuto.
kumbe mnajua mkubwa ni nani,Sasa imekuwaje mkapigwa na mtoto , Leo mechi ni saa 2:15 angalia kwa kurelax uone baba na mtoto wanavyoipiga na mtoto anavyopokea kichapo
 
kumbe mnajua mkubwa ni nani,Sasa imekuwaje mkapigwa na mtoto , Leo mechi ni saa 2:15 angalia kwa kurelax uone baba na mtoto wanavyoipiga na mtoto anavyopokea kichapo
Sisi tulichungulia mziki wa Simba kisha tukaangalia kikosi chetu kilijaa watoto kina Nkane. Machale yakatucheza, tukaamua kuwaachia msala Azam.

Wala hatuna haja ya kuangalia game, maana Bingwa tayari ameshajulikana mapema. Sisi tumeamua kwenda kuwafungia kazi Coastal union, maana tunautaka ubingwa wa ligi kuu msimu huu.
 
Back
Top Bottom