Simba 1-0 Prisons | Ligi kuu bara | Benjamin Mkapa

Simba 1-0 Prisons | Ligi kuu bara | Benjamin Mkapa

Yani bocco kautoa mpira mbali lakini kagere kaja kufakisha kizembe yani
 
Huyu try again team imemshinda kabisa. Tumechangia uwanja hatoi mrejesho na walituambia mwezi wa kwanza. Dirisha la usajili wameshindwa kusajili. Mabadiriko yamestuck. Team inafanya vibaya. Kweli pesa Simba haina thamani. Mo dewj kwa nn ulimteua ty again, teua mwingine bana
 
Boko fara, Kagere yuko left wing Sakho yuko right wing then anatoa pasi kwa Kagere badala ya Sakho. Daah
 
Huyu try again team imemshinda kabisa. Tumechangia uwanja hatoi mrejesho na walituambia mwezi wa kwanza. Dirisha la usajili wameshindwa kusajili. Mabadiriko yamestuck. Team inafanya vibaya. Kweli pesa Simba haina thamani. Mo dewj kwa nn ulimteua ty again, teua mwingine bana
Ndio maana mliitwa Bumbumbu unachangiaje uwanja wakati una B.20 kwenye akaunti si ujinga huo
 
Mtanipa matokea, siangalii tena game imeshapoteza Mvuto, refa tayari ana matokeo yake nani ashinde.. ila hatufiki popote wanasimba wenzangu, penati ya 9 hii kwenye mechi 14 za ligi
endelea kuzihesabu, mechi zikiisha huwa hazina maana, yanaangaliwa matokeo
 
Back
Top Bottom