machafuko jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 565
- 1,158
Penalty ya mchongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaIla tuweni wakweli bila huruma za marefa sisi ni sawa na empty set.
Punguza hasira shabiki wa Prison.Huyu refa **** la mamake mechi nyingine zinakata stimu. timu inajinasua kushuka daraja unatoa penalty ya kikuma
Kweli na marefa penati mbili za wazi kakataaSimba inahujumiwa
Halafu ukitulia nisaidie kujua game ngapi tumecheza bila kupata penalti na timu pinzani kukamilika wiziauti red card kisha tukaibuka na ushindi. 🤣🤣🤣Sawa
Ndio maana mliitwa Bumbumbu unachangiaje uwanja wakati una B.20 kwenye akaunti si ujinga huoHuyu try again team imemshinda kabisa. Tumechangia uwanja hatoi mrejesho na walituambia mwezi wa kwanza. Dirisha la usajili wameshindwa kusajili. Mabadiriko yamestuck. Team inafanya vibaya. Kweli pesa Simba haina thamani. Mo dewj kwa nn ulimteua ty again, teua mwingine bana
endelea kuzihesabu, mechi zikiisha huwa hazina maana, yanaangaliwa matokeoMtanipa matokea, siangalii tena game imeshapoteza Mvuto, refa tayari ana matokeo yake nani ashinde.. ila hatufiki popote wanasimba wenzangu, penati ya 9 hii kwenye mechi 14 za ligi
Boko kesha jichokoeaBoko fara, Kagere yuko left wing Sakho yuko right wing then anatoa pasi kwa Kagere badala ya Sakho. Daah