Simba 3-1 ASEC Mimosas | CAF Confederation Cup | Uwanja wa Mkapa

Bocco na Mhilu wameibadilisha sana hii game, wameingia na matumaini maana wale wa ndani walikuwa walikuwa wamekata tamaa.


Nimefurahi sana leo maingizo yote mapya ya usajili yamefanya kitu, Banda na Sakho[emoji91][emoji91]
Inadhihirisha umaana wa mchezaji kusajiliwa..' Majibu ni Haya' ...Mabadilikoooo......

- Simba Nguvu Moja-
 
Nguvu za soda hizi ndizo zikupotezee muda kwa mihemuko yote hiyo ilihali hata hatua ya robo fainali tu hujafika?

MAKOLO MAKOLO MAKOLO nimekuita mara 3 ustuke usiendelee kuwa MBUMBUMBU....[emoji1]
 
Nguvu za soda hizi ndizo zikupotezee muda kwa mihemuko yote hiyo ilihali hata hatua ya robo fainali tu hujafika?

MAKOLO MAKOLO MAKOLO nimekuita mara 3 ustuke usiendelee kuwa MBUMBUMBU....[emoji1]
Tulia Wewr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…