Simba 3-1 ASEC Mimosas | CAF Confederation Cup | Uwanja wa Mkapa

Simba 3-1 ASEC Mimosas | CAF Confederation Cup | Uwanja wa Mkapa

Game muhimu sana hii kwenye safari ya Mnyama kubeba makombe kuanzia kitaifa hadi kimataifa

#Nguvumoja
 
Mpira huu ili simba ajiweke kwenye nafasi ya kutoka na ushindi ni kucheza kwa kukaa na mpira pamoja na kuepuka pasi ndefu ambazo mara nyingi nimeona zikipotea

Though tunaongoza ila hawa majamaa wako serious sana, wana press kwa kasi yani wao kufika golini kwa pasi imekuwa simple ila sisi ni mpaka tupige counter attack

Tukiweza ku hold mpira tunaibuka na ushindi, ila pia wachezaji wakiwa na spirit ya kiumoja kama mwanzo itaturahisishia sana kuliko u selfish wa kutaka kuonekana na mashabiki
 
Mpira huu ili simba ajiweke kwenye nafasi ya kutoka na ushindi ni kucheza kwa kukaa na mpira pamoja na kuepuka pasi ndefu ambazo mara nyingi nimeona zikipotea

Though tunaongoza ila hawa majamaa wako serious sana, wana press kwa kasi yani wao kufika golini kwa pasi imekuwa simple ila sisi ni mpaka tupige counter attack

Tukiweza ku hold mpira tunaibuka na ushindi, ila pia wachezaji wakiwa na spirit ya kiumoja kama mwanzo itaturahisishia sana kuliko u selfish wa kutaka kuonekana na mashabiki
Narudia tena, matatizo ya Simba Sc ni ya kisaikolojia zaidi.
 
Back
Top Bottom