wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Zawadi ya valentine kwa watanzania wote.
Simba nguvu moja.
Simba nguvu moja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nyinyi mletewe marefa kutoka wapi?? Mmekaririshwa misemo na zeruzeru wenu eti "mchongo"
SureMchezaji mzuri japo body yake kidogo inamkataa ila apewe nafasi ili tuachane na yule chizi
Msamehe Bure TuSasa nyinyi mletewe marefa kutoka wapi?? Mmekaririshwa misemo na zeruzeru wenu eti "mchongo"
Kuna muda mchezaji wa ASEC kashika mpira kimakusudi mbona hamkusema ilitakiwa uliwe penalty??
Tatizo mnasahau kuwa Simba ya kombe la Mbuzi sio hii ya kimataifa[emoji28][emoji28]., Nyie subirini FA tu.
Hapa tunahesabu point tu. Huko hata washinde mia wana pata point tatu. Tatizo utopolo mmezoea mechi za mtoano tuHapa mpira bado kabisaaaa...hawa jamaa wazuri sana wakiwa nyumbani Simba atachezea kichapo cha si chini ya goli nne ugenini ... Comment hii ipewe ulinzi.. Nakazia...
Huko kimataifa mmebeba kombe gani braza?Sasa nyinyi mletewe marefa kutoka wapi?? Mmekaririshwa misemo na zeruzeru wenu eti "mchongo"
Kuna muda mchezaji wa ASEC kashika mpira kimakusudi mbona hamkusema ilitakiwa uliwe penalty??
Tatizo mnasahau kuwa Simba ya kombe la Mbuzi sio hii ya kimataifa[emoji28][emoji28]., Nyie subirini FA tu.
[emoji28][emoji28][emoji28]refa maliza gemu ninaumwa rahaaaa miye [emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]
Kabisaa hii zawadi murua kabisa .Zawadi ya valentine kwa watanzania wote.
Simba nguvu moja.
Utopolo mnateseka sanaaaa na haya matokeo..Hapa mpira bado kabisaaaa...hawa jamaa wazuri sana wakiwa nyumbani Simba atachezea kichapo cha si chini ya goli nne ugenini ... Comment hii ipewe ulinzi.. Nakazia...