Simba aibu hii hadi ada ya kumsaini Kelvin Nashon imewashinda

Simba aibu hii hadi ada ya kumsaini Kelvin Nashon imewashinda

Habari za muda buu wana michezo,

Kwakweli simba haina pesa hata kulinganisha na Singida big Stars, maana kiungo aliyekuwa anatakiwa na Simba kwa udi na uvumba Kelvin Nashon matari ameamua kutimukia Singida Big Stars baada ya simbakukosa hela ya kumpa.

Hakuna ulazima wa kwenda Duba, huna quality prayers. Simba aibu mnayoitafuta mtaipata soon.
Sawa ila haikuhusu
 
Mbumbumbu/Makolokolo/Makelele/Malalamiko/Mikia/Kolowizards/Ngada FC mna shida gani vichwani?

Kwani tangu Simba ianzishwe haijawahi kwenda nnje ya nchi kujifua kisoka?

Kipindi kile Yanga anacheza na Vipers si mlikuwa mmetoka huko Misri na Tunisia, je mliporudi hapa kipi hasa kilichojiri?

Akili ni mali.
Huoni kwamba simba ilimsaidia kutinga hatua ya makundi klabu bingwa huku Yanga akiangukia kombe la shirikisho?

Ko hizi timu kila mmoja ana malengo yake. Yupo mwingine lengo ni kumfunga mtani tu na ubingwa wa nbc pl halafu anaridhika. Mwingine ni mashindano makubwa ya CAF . Hivyo tusipangiane cha kufanya au wachezaji wa kusajili.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Mbumbumbu/Makolokolo/Makelele/Malalamiko/Mikia/Kolowizards/Ngada FC mna shida gani vichwani?

Kwani tangu Simba ianzishwe haijawahi kwenda nnje ya nchi kujifua kisoka?

Kipindi kile Yanga anacheza na Vipers si mlikuwa mmetoka huko Misri na Tunisia, je mliporudi hapa kipi hasa kilichojiri?

Akili ni mali.
Unapenda kuandika majinaa mengiiii wakati nyie mna majina mpk kuandika unachoka...mkuu acha makasiriko 😆 😆 😆
 
We jamaa bhn[emoji23][emoji23]lini wanamtaka,bas tuseme na nyie mmeshindwa hela ya kumsajili bobosi na kazadi???..

Sio kila tetesi ni ukweli mkuu,nyingine ni uongo uongo tu
 
Ubongo uko sawa kweli?
Shida yako umejaza mavi kwenye chupi unashindwa kung’amua vitu vidogo

Mwambie akutajie box to box bora kwa sasa hapa bongo mbali na mzamiru kante,aje na takwimu pia..
 
Huna hoja wewe, lete takwimu zinaonyesha simba inaubovu wa kiungo... Otherwise ni marekebisho tu kulingana matakwa ya bench sio vinginevyo.
Simba kiungo ndio ina assist nyingi ajabu mtu anasema kiungo kibovu ilibid aje nashon khaaa Yan nashon aje Simba kusaidia kiungo hakika uto uto uto
 
Kwaiyo kocha anaamini mzamiru na kanote watapiga samba
Mbona unabadilisha mada? Umeridhika na jibu kuhusu Ntiba kwanza? Kuhusu Kanoute na wengine wote ndio maana ameanza kuangalia kwenye mapungufu. Akikuta hawakidhi vigezo annavyovitaka atashauri
 
Back
Top Bottom