Simba alikataa ofa na kuwakebehi Azam. Je, Azam kalipa kisasi kwa kuipa yanga dau nono?

Simba alikataa ofa na kuwakebehi Azam. Je, Azam kalipa kisasi kwa kuipa yanga dau nono?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Kama unafatilia haya mambo utakumbuka miezi michache iloyopita Mo ali weka post huko Twitter ya Manchester united kupewa mamia ya mabilioni kwajili ya haki miliki za matangazo, ni kwamba hii ishu ilitotoke baada ya azam kwenda simba kuomba haki ya matangazo kama alivyofanya kwa yanga ila sasa kina Mo na yule ndugu yake walikataa.

Sasa, je hii move waliyofanya Azam kwa kuweka mpunga wa bilioni 41 ambayo ni sawa na umiliki wa hisa zote asilimia 100 za simba; je ilikuwa ni kama kisasi ama?
 
kwenye biashars hakuna kukomoana
huwa tunaangalia maslahi zaidi
huwezi kuuza haki zako zote za matangazo wakati kuna super league inakuja
utatazamwa afrika nzima kila wiki
 
Sasa, je hii move waliyofanya Azam kwa kuweka mpunga wa bilioni 41 ambayo ni sawa na umiliki wa hisa zote asilimia 100 za simba; je ilikuwa ni kama kisasi ama?
Nadhani umechanganya madawa. Tofautisha umiliki na udhamini. Kama unasema hivyo kwa Simba, maana yake ni kwamba kwa sasa Azam (media) inaimiliki Yanga, hivyo GSM, Manji, Rostam na Taifa Gas yake na wanachama wakae pembeni wasubiri kushangilia tu. Na bahati mbaya zaidi, Bakhresa & Family ni myama lia lia
 
Kama unafatilia haya mambo utakumbuka miezi michache iloyopita Mo ali weka post huko Twitter ya Manchester united kupewa mamia ya mabilioni kwajili ya haki miliki za matangazo, ni kwamba hii ishu ilitotoke baada ya azam kwenda simba kuomba haki ya matangazo kama alivyofanya kwa yanga ila sasa kina Mo na yule ndugu yake walikataa.

Sasa, je hii move waliyofanya Azam kwa kuweka mpunga wa bilioni 41 ambayo ni sawa na umiliki wa hisa zote asilimia 100 za simba; je ilikuwa ni kama kisasi ama?
Umeianzisha topic afu ujui hata unachoandika, lete post ya MO kama inaendana na ulichoandika. Usilete hisia kwenye jukwaa kubwa kama hili. Afu kama ungekua na kumbukumbu Yanga ndio iliyowahi kukataa hela za Azam
 
Bado hainiingii akilini kuuza umiliki wa timu kwa 49% kwa thamani ya 20bl ilhali Uto wamedhaminiwa,, just udhamini kwa miaka 10 thamani ya 41bl

Simba ni brand kubwa sana nchini, kuiuza kwa just 20bl ni hujuma kubwa sana,,, tumelainishwa na tumafanikio kwa kufanya vizuri champions league lakn hii haitoshi kuifanya klabu tuuze 49% ya umiliki kwa eti 20bl

Kina Mzee Kilomoni wamepiga sana kelele juu ya hii saga, FCC nao wamejaribu kutaka kuliweka sawa

Ujio wa udhamini wa Azam media kwa Yanga, utufungue akili wana Simba wenzangu, tulitafakari kwa kina hili swala
 
Bado hainiingii akilini kuuza umiliki wa timu kwa 49% kwa thamani ya 20bl ilhali Uto wamedhaminiwa,, just udhamini kwa miaka 10 thamani ya 41bl

Simba ni brand kubwa sana nchini, kuiuza kwa just 20bl ni hujuma kubwa sana,,, tumelainishwa na tumafanikio kwa kufanya vizuri champions league lakn hii haitoshi kuifanya klabu tuuze 49% ya umiliki kwa eti 20bl

Kina Mzee Kilomoni wamepiga sana kelele juu ya hii saga, FCC nao wamejaribu kutaka kuliweka sawa

Ujio wa udhamini wa Azam media kwa Yanga, utufungue akili wana Simba wenzangu, tulitafakari kwa kina hili swala
Simba ni brand kubwa mno, hizi bilioni 20 ndogo sana,

Maana ya kumiliki asilimia 49 ni kwamba mtu anakuwa na haki ya mapato asilimia 49

Sasa hebu vuta picha simba ikipewa dili kama la yanga ina maana Mo anaweza kawa anakwapua asilimia 49 zake ataamua mwenyewe jinis ya kutumia
 
Bado hainiingii akilini kuuza umiliki wa timu kwa 49% kwa thamani ya 20bl ilhali Uto wamedhaminiwa,, just udhamini kwa miaka 10 thamani ya 41bl

Simba ni brand kubwa sana nchini, kuiuza kwa just 20bl ni hujuma kubwa sana,,, tumelainishwa na tumafanikio kwa kufanya vizuri champions league lakn hii haitoshi kuifanya klabu tuuze 49% ya umiliki kwa eti 20bl

Kina Mzee Kilomoni wamepiga sana kelele juu ya hii saga, FCC nao wamejaribu kutaka kuliweka sawa

Ujio wa udhamini wa Azam media kwa Yanga, utufungue akili wana Simba wenzangu, tulitafakari kwa kina hili swala
Una point, ila ungekuwa umefuatilia mjadara wa huo mchakato ungeelewa, ni kwamba hizo club zilikuwa zinaendeshwa kienyeji mno kiasi kwamba kukawa hakuna hata mahesabu ya club kujua mapato yake na dhamani ya club,

sasa ikawa ngumu sana kujua thamani halisi ya club kwa kutumia njia ambazo zinakubalika katika kufanya tathimini za club.

kama sikosei kutokana na kumbukumbu zilizokuwepo simba ilionekana ina thamani ya bilion saba by that time wakati mchakato unaanza, kwa hiyo kwa Mo Dewji kuweka 20bilion bado ilionekana ni nyingi.
 
Una point, ila ungekuwa umefuatilia mjadara wa huo mchakato ungeelewa, ni kwamba hizo club zilikuwa zinaendeshwa kienyeji mno kiasi kwamba kukawa hakuna hata mahesabu ya club kujua mapato yake na dhamani ya club,

sasa ikawa ngumu sana kujua thamani halisi ya club kwa kutumia njia ambazo zinakubalika katika kufanya tathimini za club.

kama sikosei kutokana na kumbukumbu zilizokuwepo simba ilionekana ina thamani ya bilion saba by that time wakati mchakato unaanza, kwa hiyo kwa Mo Dewji kuweka 20bilion bado ilionekana ni nyingi.
Kwa ufupi, Mo kalamba Dume, saizi soka litakuwa mno hapa Tanzania.

Azam alipoanza kumwaga hii mipesa thamani ya timu nyingi zimepanda, mfano saizi kila timu itakuwa ikipokea milioni 50 kila mwezi,

Ukiongezea na hizi media rights mtu akimiliki simba au yanga kwa bilioni 20 kalamba dume aisee.

Ila hapa nachojua Mo atalipa hio bilioni 20 fasta sana, mpira saizi tz unaingiza pesa asikwambie mtu
 
Una point, ila ungekuwa umefuatilia mjadara wa huo mchakato ungeelewa, ni kwamba hizo club zilikuwa zinaendeshwa kienyeji mno kiasi kwamba kukawa hakuna hata mahesabu ya club kujua mapato yake na dhamani ya club,

sasa ikawa ngumu sana kujua thamani halisi ya club kwa kutumia njia ambazo zinakubalika katika kufanya tathimini za club.

kama sikosei kutokana na kumbukumbu zilizokuwepo simba ilionekana ina thamani ya bilion saba by that time wakati mchakato unaanza, kwa hiyo kwa Mo Dewji kuweka 20bilion bado ilionekana ni nyingi.
Upo sahihi valuations ya Simba (A+L) kwa ujumla wake ndio ilikoleta hiyo 20b... Kama kungekuwa na very firm and structural organization thaman ingekuwa even thrice ya hiyo 20b

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom