Simba alikataa ofa na kuwakebehi Azam. Je, Azam kalipa kisasi kwa kuipa yanga dau nono?

Simba alikataa ofa na kuwakebehi Azam. Je, Azam kalipa kisasi kwa kuipa yanga dau nono?

Mkuu umeelezea vyema sana

Nasisitiza tena ujio wa Azam umetufungua macho kuwa kumbe hivi Vilabu vyetu vina thamani kubwa sana kuliko tunavyofikiria

Sasa ni muda muafaka kwa timu ya Simba kufanya tathimini upya kuangazia hii 20bl anayotaka kutoa Mo kama ina real value kwa 49% share ya umiliki,,, maana tunauza hizo asilimia za umiliki milele ilhali Yanga kapewa udhamini wa 41bl kwa miaka 10 tu

FCC na Serikali kwa ujumla tunaomba muingilie kati hili sakata maana tuna bahati mbaya Mo keshajipenyeza ndani ya mfumo wa Simba hvyo Baraza la wadhamini la Simba haliwezi kuhoji tena juu ya kufanya uthamini kujua real value ya hii klabu kabla mchakato wa uwekezaji haujakamilika, vinginevyo tutakuwa tumepigwa mchana kweupeee,,, Mo atakuwa kaokota dodo mchangani

Ikiwa Mo atainunua hii klabu ya Simba kwa 20bl,
Na kama Azam Media ataingia mkataba na Simba assume wa thamani ya 60bl kwa miaka 10 maana yake ni kwamba 51% ya hio pesa ( 30.6bl) itaingia klabuni na 49% ya hio pesa ( 29.4bl) itaingia mfukoni mwa Mo,,, hvyo Mo ndani ya miaka 10 tu atakuwa kesharudisha pesa yake ya kununua hisa plus faida juu kupitia tu kwa Azam media.
Hapo bado hatujacount udhamini wa makampuni mengne kama SportPesa na wengneo

Wakati mnaandika Haya ni vyema mkajua Mkataba wa Mo Na Simba terms zake zimeelemea wapi ?
Kama kuna Mtu ana copy ya zile terms za MKATABA , ziwekeni hapa tujadili kwa maslahi mapana ya TIMU
 
Mosi, sijasema pesa zitaenda kwa Mwamedi na sio Simba bali nimesema mkataba atakaoingia Simba, ndani yake kuna share za Mwamedi!!! Na ndo maana nikasema, ili Simba SC wapate sawa na Yanga, basi mkataba wao unatakiwa kuwa at least 80 Billion, kwa sababu kati ya hizo, kuna zingine zitaenda kwa mmiliki wa 49% za klabu!

Pili, hakuna anayekataa kwamba Simba imefika hapo kwa ajili ya Mwamedi lakini hoja yangu ni kwamba, ni kama mnawaona Yanga waliomilikisha contents kwa miaka 10 for 41 Billion ni kama mazwazwa fulani hivi huku mkisahau nyi wenyewe MMEKOPESHA 49% za klabu kwa ONLY 20 Billion, tena forever!!

Na kama mliweza kukopesha klabu forever kwa 20 Billion, wala sitashangaa mkataba wenu ukiwa 60 Billion au pungufu, na hapo mtashangilia na kuona Yanga kapigwa huku mkisahau 41 Billion (less tax) zote zitaingia kwenye akaunti ya Yanga, wakati "60 Billion zenu" zitakuwa shared na wamiliki!!

Na ukweli ni kwamba,mkataba huu wa Yanga na Azam nadhani itakuwa umewavuruga sana akina GSM!!

Kama Yanga hawataendekeza njaa, watakuwa na grounds za kuuza 49% ya hisa za klabu kwa angalau 50 Billion kwa sababu haita-make sense hata kidogo haki za maudhui tu, tena kwa miaka 10 wakodishe kwa 41 Billion halafu 49% ya Klabu wauze kwa 20 Billion kama walivyofanya Simba!!



unaposema mkataba wa Yanga na Azam unewavuruga GSM .. wakat GSM ndo yanga sasa hivi.. kwa kifupi tofaut ya GSM na MO ni kuwa awalau MO sasa hivi yupo kwenye makaratasi kama mwana hisa ila kwa yanga GSM ndo anamiliki yanga na wala bado hajawa kwenye makaratasi.. Niamin nakwambia Yanga itathaminishwa kwa pesa anayotaka GSM..

na Uzur sio kwamba GSM analazimisha apewe yanga Ila yanga wanalazimisha wachukulie na GSM...

ungekuwa ni mwanamichezo usingekebeh uwekezaj wa Mo hata ingekuwa kwa bilioni 10.. sababu club zenu thaman yake ilikuw mdomon tu kiuhalisia hakukuwa na tangible evidence zozote kuonyesha thaman ya club ni zaid ya 20b ukiondoa ya majengo ambayo hati zimetapakaa mara hii iko huku mara ile iko huku..

kwa hiyo ulichokion Simba ndo yanga kilivyo hivyo hivyo hakukuwa na utaratibu..

tatizo mashabiki wa sasa hv sio wanamichezo mmebaki na mihemuko.. ndo maana mmewekewa picha ya Scania IRiZAR .. mkaambiwa ndo Yanga wamenunua mkawananga Simba kwa kuwa na TATA. kumbe na yanga nao ni TATA

cha ajabu mashabiki wanamind kwa nn yanga kanunua TATA kama simba utadhan wangeambiwa awachange hiyo 1b ya kununu Scabia IRiZAR wangetoa
 
Bado hainiingii akilini kuuza umiliki wa timu kwa 49% kwa thamani ya 20bl ilhali Uto wamedhaminiwa,, just udhamini kwa miaka 10 thamani ya 41bl
Kuiuza kwa 20B halafu ukaja ukapata wadhamini wa 40B NA kutoiuza kabisa halafu ukaja ukapata wadhamini wa 40B, nani atakuwa ameingiza mapato zaidi? Au unadhani ukiuza hisa ndio kizuizi cha kupata wadhamini? Ingekuwa hivyo, sportpesa na vodacom wasingekuwapo Simba kwa kuwa Mo yupo!
 
Huyu Yanga mnayemsifu mkataba sijui nn mtambue njia imelimwa na mudi. Hata huyo senzo wenu aliletwa na mudi vilevile.
Baniani mbaya kiatu chake dawa. Na huyo azam anakimbizana na mudi vilevile
Hujui unachoongea wewe!! Taifa hili timu ya kwanza kufikiria mabadiliko walikuwa Yanga, na ndo hapo pakazuka kile kilichokuwa kinafahamika kama Yanga Kampuni na Yanga Asili!! Hayo yalianza wakati Mwamedi bado akiwa shule!!!

Ni bahati mbaya sana mbaya lengo hilo la Yanga lilianza wakati watu bado wana uelewa mdogo kuhusu mpira wa kisasa, na kwahiyo wakashindwa kufanikiwa... enzi za mpira wa ridhaa!!!
 
unaposema mkataba wa Yanga na Azam unewavuruga GSM .. wakat GSM ndo yanga sasa hivi.. kwa kifupi tofaut ya GSM na MO ni kuwa awalau MO sasa hivi yupo kwenye makaratasi kama mwana hisa ila kwa yanga GSM ndo anamiliki yanga na wala bado hajawa kwenye makaratasi.. Niamin nakwambia Yanga itathaminishwa kwa pesa anayotaka GSM..
Endelea tu kujitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe!!

GSM kwa sasa hana tofauti kubwa na Yusuf Manji wa back in the days, au Gulamali na ndo maana hata pale Manji alipowahi kusema anawadai Yanga 11 Billion, kila mmoja akaishia kucheka tu!!

All in all, thanks to you kwamba unafahamu kwamba HAYUPO kwenye makaratasi kwa sababu hadi kesho role yake ni ya Udhamini na Ufadhili, roles ambazo zipo Simba na Yanga kwa miaka nenda rudi, unless kama umeanza kufuatilia soka juzi!
na Uzur sio kwamba GSM analazimisha apewe yanga Ila yanga wanalazimisha wachukulie na GSM...
NI wapi hao Yanga wamelazimisha wachakuliwe na GSM?! Hivi kwa mawazo yako unaamini kabisa GSM hawezi kuumia akipoteza fursa ya kufanya biashara na Yanga pamoja na gharama zote alizoingia?!

Of course, kwa sasa, hususani kabla ya mkataba wa Azam, Yanga alimhitaji zaidi GSM kwa sababu bado hawajakaa sawa! Hata hivyo, hilo sio ajabu kwa sababu halina tofauti yoyote na wakati Yanga ilipokuwa inamhitaji zaidi Manji!

Btw, weka ushabiki maandazi pembeni! Leo hii Mwamedi akasema ajiondoe Simba kwa 100% na pesa yake ambae hajawaingizia hata senti 5, nakwa upande mwingine GSM nae ajitoe Yanga kwa 100%!

Unadhani ni nani atakayeamua hasa kwa kuzingatia tayari Yanga ana mkataba na Azam? Hivi mtakuwa na chanzo kipi kingine cha maana cha pesa ukitoa udhamini wa SportsPesa ambao hata Yanga wanao?
ungekuwa ni mwanamichezo usingekebeh uwekezaj wa Mo hata ingekuwa kwa bilioni 10.. sababu club zenu thaman yake ilikuw mdomon tu kiuhalisia hakukuwa na tangible evidence zozote kuonyesha thaman ya club ni zaid ya 20b ukiondoa ya majengo ambayo hati zimetapakaa mara hii iko huku mara ile iko huku..
Wapi nimekebehi uwekezaji wa Mwamedi?! Hivi nakebei uwekezaji wa Mwamedi au nawakebehi nyie mnaoponda udhamini wa Yanga na Azam kwa TZS 41 billion huku mkisahau nyie wenyewe mmekopesha timu MZIMA kwa TZS 20 Billion kwa MAISHA YOTE?!
kwa hiyo ulichokion Simba ndo yanga kilivyo hivyo hivyo hakukuwa na utaratibu..
Yanga ipi?! Last time I checked, Yanga hajakopesha timu hadi hapa ninapoandika! Hata tulipokuwa na hali ngumu kweli kweli, wakawa wanapitisha bakuli huku mkicheka kwa kejeli mkijiona wajanja kuuza klabu kwa mkopo!!
tatizo mashabiki wa sasa hv sio wanamichezo mmebaki na mihemuko.. ndo maana mmewekewa picha ya Scania IRiZAR .. mkaambiwa ndo Yanga wamenunua mkawananga Simba kwa kuwa na TATA. kumbe na yanga nao ni TATA
Hapa tunaongelea mikataba... hatuongelei petty issues!!!
cha ajabu mashabiki wanamind kwa nn yanga kanunua TATA kama simba utadhan wangeambiwa awachange hiyo 1b ya kununu Scabia IRiZAR wangetoa
Rudi kwenye hoja zenye afya kwenye mpira kwa sababu iwe TATA, Scannia, Benz or any brand, hakuna chenye afya kwenye soka hapo, kwahiyo achana na simulizi za Instagramu..

KARIBU...
 
Kwani simba ni ipi na mo ni ipi?yani unajarib kusema 49% ya mo sio simba au?bro mbona kama unakua hujui kampuni zinavyoendeshwa?kwa mfano azam fc akisain mkataba azam itakua haijapata kitu wamepata wamiliki kwa kua wana 100% au?Simba kumilikiwa na Mo hakuifanyi kuyokua Simba mzee bado ni simba kwa 100%
Hivi bado hujaona kabisa ni wewe ndie unaongea kwa namna ya kutofahamu uendeshaji wa makampuni, na bishara ya soka kwa ujumla?!

Soka ni biashara, na hakuna kinachotafutwa kwenye biashara zaidi ya FAIDA... hatuongelei soka ya ridhaa hapa!!

Simba inamilikiwa na Wanahisa wawili... Mo anayemiliki 49%, na 51% zilizobaki kwenye klabu!! Mo hajaja kutangaza dini wala kufanya charity work bali amekuja Simba kufanya biashara ya soka!!!

Inapotokea Simba imefanya biashara mzuri, na wanahisa wake kuamua kugawana dividends; mgao utazingatia percentage shares!!

Sasa basi, assume Azam anaingia mkataba wa TZS 100 Billion! Wanahisa wanaweza kuamua zote wafanye re-investment, au kiasi kiende kwa wanahisa!! Kiasi kitakachoenda kwa wanahisa, 49% kitaenda kwa Mwamedi!!

Wakiamua zote wafanye re-investment, bado ni faida kwa Mwamedi kwa sababu tunatarajia the said re-investment itasaidia kupandisha thamani ya klabu!! Kadri thamani ya klabu inavyopanda, ndivyo thamani hisa za Mwamedi zitakavyopanda... hapa nazungumzia hisa alizopata kwa njia ya mkopo huku mkishangilia!!

MMEPIGWA JOMBAA, kubalini tu!!!
 
Mkuu umeelezea vyema sana

Nasisitiza tena ujio wa Azam umetufungua macho kuwa kumbe hivi Vilabu vyetu vina thamani kubwa sana kuliko tunavyofikiria

Sasa ni muda muafaka kwa timu ya Simba kufanya tathimini upya kuangazia hii 20bl anayotaka kutoa Mo kama ina real value kwa 49% share ya umiliki,,, maana tunauza hizo asilimia za umiliki milele ilhali Yanga kapewa udhamini wa 41bl kwa miaka 10 tu

FCC na Serikali kwa ujumla tunaomba muingilie kati hili sakata maana tuna bahati mbaya Mo keshajipenyeza ndani ya mfumo wa Simba hvyo Baraza la wadhamini la Simba haliwezi kuhoji tena juu ya kufanya uthamini kujua real value ya hii klabu kabla mchakato wa uwekezaji haujakamilika, vinginevyo tutakuwa tumepigwa mchana kweupeee,,, Mo atakuwa kaokota dodo mchangani

Ikiwa Mo atainunua hii klabu ya Simba kwa 20bl,
Na kama Azam Media ataingia mkataba na Simba assume wa thamani ya 60bl kwa miaka 10 maana yake ni kwamba 51% ya hio pesa ( 30.6bl) itaingia klabuni na 49% ya hio pesa ( 29.4bl) itaingia mfukoni mwa Mo,,, hvyo Mo ndani ya miaka 10 tu atakuwa kesharudisha pesa yake ya kununua hisa plus faida juu kupitia tu kwa Azam media.
Hapo bado hatujacount udhamini wa makampuni mengne kama SportPesa na wengneo
Yaani Azam kafungua macho watu!

Lakini unajua haya mambo mengine ni basi tu Wabongo tuna matatizo!! Watu wengi sana walishangazwa sana kusikia eti Simba wanauza 49% kwa Sh 20 Billion kwa sababu ukweli ni kwamba, hata Simba ile iliyokuwa na njaa, ilikuwa ni dharau sana kusema thamani yake haifiki Sh 50 Billion!!
 
Acha kudanganya Wenzako Kijana unaonesha hujawahi kufanya biashara hata ya kuuza nyanya 🍅.
Kama unadhani the trading of public company by share unaweza kuifananisha na biashara ay nyanya, basi Mikia mna safari ndefu sana!!
Umeona wapi biashara au Kampuni kugawana Mtaji?
Wapi nimesema kampuni zinagawana mtaji?! Au nani kakuambia Azam imetoa mtaji?
Ndugu Kampuni au Biashara wanachogawana ni Faida (Net Profit) hivyo unaposema Simba wakipewa Bilioni 60 zinakuwa shared hapo unadanganya kwa kuto kujua uendeshaji wa biashara.
Kumbe unadhani faida inatokana na nini?! Yaani hadi sasa hufahamu kwamba faida inatokana na mapato ambayo kampuni inaingiza?!

Yaani hadi sasa hufahamu kwa biashara kama klabu za soka, haki za matangazo ni sehemu ya mapato ya kampuni?
Labda nikueleweshe tu! Hizo 60B zinaingia kwenye Akaunti ya Timu, baada ya gharama za uendeshaji wa Timu pamoja na Manunuzi ya Wachezaji, Mishahara ya Wachezaji, Viongozi na Watumishi wote wa Simba, kitakachobakia kama Faida ndiyo kinagaiwa kati ya wenye 49% na 51%.
Hivyo upo uwezekano mkubwa wakaishia kugawana hasara na si Mihela kama unavyotaka kudanganya Watu kwani gharama za uendeshaji wa hizi Timu ni kubwa zaidi.
Tulia wewe uelimishwe...

Hadi ninapoandika kuna kampuni kibao za ujanja ujanja zinazohusishwa na Simba, na ukitaka kuamini ujanja ujanja niliosema, soma hapa chini:-
FCC.jpg


In short, jamaa hapo walikuwa chini ya uchunguzi mzito, yaani hawakuwa na tofauti na Ole Sabaya!!! Na kwa kuzingatia busara ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Simba, ndugu Aden Rage kwamba mashabiki wa Simba ni Mbumbumbu, basi nichukue nafasi hii kuwaelimisha mbumbumbu wote wa Simba kwa apo juu ni tamko kutoka taasisi ya serikali!

Turudi kwenye mada!!

Kibiashara, Simba Sports Club Company Limited (namba iii hapo juu) ndo kampuni yenyewe, na bidhaa yake kubwa zaidi ni Simba Sports Club!!!

Simba Sports Club Company Limited ni kampuni inayomilikiwa na Mwamedi kwa 49% kupitia Mo Simba Company Limited, na 51% "zinamilikiwa" na Wanachama kupitia Simba Sports Club Holding Company Limited.

Simba Sports Club Company Limited ambayo 49% ya hisa zake zinamilikiwa na Mwamedi, hawa hawatangazi dini wala kufanya charity work bali wanafanya biashara!!! Moja ya biashara zake ni HAKI ZA MATANGAZO ambazo thamani yake itatokana na better performance ya bidhaa kuu ya Simba Sports Club Company Limited ambayo ni Simba Sports Club!

Haki ya Matangazo kama ile iliyosainiwa kati ya Yanga na Azam, pesa yake ni MAPATO ya kampuni ambayo ni Simba Sports Club Company Limited inayomilikiwa na Mwamedi kwa 49%! Sasa wanahisa wa kampuni ndio wanaweza kukubaliana mapatio yatumike vipi!!

Hawa wanaweza kuamua sehemu au yote aitumike kuboresha brand kuu ya kampuni, na brand yenyewe ni Simba Sports Club!! Kama watafanya hivyo, maintaining other factors constant, basi tunatarajia brand kuu itapanda thamani, na hivyo kuifanya kampuni nayo ipande thamani, and eventually, hisa za wanahisa kama Mwamedi nazo zinapanda thamani (assuming wangekuwa tayari washaanza kuuza hisa DSE)

Sasa kama ni sehemu tu ndizo zingeenda kukuza brand, sehemu nyingine inaweza kuwa treated kama mapato ya kampuni, ambayo, kama huu ujanja ujanja ingekuwa umeshatoweka, hayo mapato yangekuwa ndo determinant ya profit! Lakini kwavile bado kuna ujanja ujanja mwingi, usishangae mapato husika yakatumika kutoa gawio kwa wanahisa!!!

Lakini mapato husika ndiyo yawe determinant ya profit, ambayo ndiyo inaweza kutoa gawio, au mapato hayo yatolewe kama gawio, vyovyote itakavyokuwa, Mwamedi ana 49% ambayo ameipata kwa mkopo kutokana na sababu zile zile ambazo alizisema Aden!
 
Hivi bado hujaona kabisa ni wewe ndie unaongea kwa namna ya kutofahamu uendeshaji wa makampuni, na bishara ya soka kwa ujumla?!

Soka ni biashara, na hakuna kinachotafutwa kwenye biashara zaidi ya FAIDA... hatuongelei soka ya ridhaa hapa!!

Simba inamilikiwa na Wanahisa wawili... Mo anayemiliki 49%, na 51% zilizobaki kwenye klabu!! Mo hajaja kutangaza dini wala kufanya charity work bali amekuja Simba kufanya biashara ya soka!!!

Inapotokea Simba imefanya biashara mzuri, na wanahisa wake kuamua kugawana dividends; mgao utazingatia percentage shares!!

Sasa basi, assume Azam anaingia mkataba wa TZS 100 Billion! Wanahisa wanaweza kuamua zote wafanye re-investment, au kiasi kiende kwa wanahisa!! Kiasi kitakachoenda kwa wanahisa, 49% kitaenda kwa Mwamedi!!

Wakiamua zote wafanye re-investment, bado ni faida kwa Mwamedi kwa sababu tunatarajia the said re-investment itasaidia kupandisha thamani ya klabu!! Kadri thamani ya klabu inavyopanda, ndivyo thamani hisa za Mwamedi zitakavyopanda... hapa nazungumzia hisa alizopata kwa njia ya mkopo huku mkishangilia!!

MMEPIGWA JOMBAA, kubalini tu!!!
And what's wrong with it yeye kupata faida?
 
Hakuna unachoelewa kuhus soka,,
Hamna kitu kina thamani kama haki za matangazo ya televison hata huko ulaya,,
Yanaingiza mabilion ya mapesa kwa sasa..
Brand ya simba ni kubwa mnoo sasa kwa miaka hii minne 4,,
Kafanya mambo makubwa na kila mmoja anataka kuiona simba,,
Azam sio wajinga nakuhakikishia kama simba anaingia mkatba kama huo itakua maradufu ya huo wa yanga..
Barbara yeye anasemaje?
 
Back
Top Bottom