Na wakumbushe pesa hizo b20 hazitakiwi kuwa allocated kwenye mishahara Bali kwenye investments ili faida za hizo investments ndio ziendeshe timu.Naona watu wengi wanapata shida kati ya udhamini na umiliki. Sioni shida ya uwekezaji wa MO wa 20B kwa 49% tukumbuke kuna 51% za wanachama na wawekezaji wengine so definately thamani itakua way higher.
Engagement ya MO kwa Simba sasa hivi ndio imewezesha timu kuwa pale kuwa na quality players, mafanikio uwanjani na kuwa katika ranking za timu bora Africa, so whoever comes kufanya udhamini Simba offer lazima iwe imechangamka, do you think kutokana na fan base, mafanikio na brand ya Simba Azam hawawataki? Simba kwa sasa ana competitive advantage in every sponsorship or investment negotiations.
I believe kama hakuna mikwaruzano ya personal Azam atawafata Simba with best offer or somehow similar to ya Yanga. Uwekezaji wa MO ni muhimu na unafaida sana, asibezwe kisa tu huo udhamini wa Yanga.
Better is yet to come1
Watabaki vinywa wazi Azam akitia 100B simba kutumia content rights kwa miaka 10Naona watu wengi wanapata shida kati ya udhamini na umiliki. Sioni shida ya uwekezaji wa MO wa 20B kwa 49% tukumbuke kuna 51% za wanachama na wawekezaji wengine so definately thamani itakua way higher.
Engagement ya MO kwa Simba sasa hivi ndio imewezesha timu kuwa pale kuwa na quality players, mafanikio uwanjani na kuwa katika ranking za timu bora Africa, so whoever comes kufanya udhamini Simba offer lazima iwe imechangamka, do you think kutokana na fan base, mafanikio na brand ya Simba Azam hawawataki? Simba kwa sasa ana competitive advantage in every sponsorship or investment negotiations.
I believe kama hakuna mikwaruzano ya personal Azam atawafata Simba with best offer or somehow similar to ya Yanga. Uwekezaji wa MO ni muhimu na unafaida sana, asibezwe kisa tu huo udhamini wa Yanga.
Better is yet to come1
Bado hainiingii akilini kuuza umiliki wa timu kwa 49% kwa thamani ya 20bl ilhali Uto wamedhaminiwa,, just udhamini kwa miaka 10 thamani ya 41bl
Simba ni brand kubwa sana nchini, kuiuza kwa just 20bl ni hujuma kubwa sana,,, tumelainishwa na tumafanikio kwa kufanya vizuri champions league lakn hii haitoshi kuifanya klabu tuuze 49% ya umiliki kwa eti 20bl
Kina Mzee Kilomoni wamepiga sana kelele juu ya hii saga, FCC nao wamejaribu kutaka kuliweka sawa
Ujio wa udhamini wa Azam media kwa Yanga, utufungue akili wana Simba wenzangu, tulitafakari kwa kina hili swala
Yupo tena sana na tunamkubali, hata sasa kigoma nakuhakikishia Yanga 41B itapanda ADVENTUREMkuu kwanza nikuweke sawa sijaongea kwa kejeli,,
Then huyo mwamedi unayemzungumzia ndio katufikisha hapa tulipo kila mtu anaizungumzia simba africa.
Caf wenyewe walideclair simba ilivyotolewa mashndano yalipoa sana..
Hiyo ndo brand ya simba now..
Mashabiki wa soka tunachokitaka ni furaha tu hizo pesa za mwamedi sjui azam wewe hazikuhusu,
Hata kama atazichkua zote na team ikaendelea kufanya vizuri kit gani kingne unataka wewe ..
Unasema pesa ztaenda kwa mwmedi na sio simba ,simba ipi na mwamedi yupi..
Kitu gani kingne unanufaika nacho kwenye soka zaidi ya furaha.
Ambayo moo anatupatia kwa sasa hiki ndo kinawafanya mnamchukia huyu mtu.
But nakuhakikushia moo yupo sana simba.
Mosi, sijasema pesa zitaenda kwa Mwamedi na sio Simba bali nimesema mkataba atakaoingia Simba, ndani yake kuna share za Mwamedi!!! Na ndo maana nikasema, ili Simba SC wapate sawa na Yanga, basi mkataba wao unatakiwa kuwa at least 80 Billion, kwa sababu kati ya hizo, kuna zingine zitaenda kwa mmiliki wa 49% za klabu!
Pili, hakuna anayekataa kwamba Simba imefika hapo kwa ajili ya Mwamedi lakini hoja yangu ni kwamba, ni kama mnawaona Yanga waliomilikisha contents kwa miaka 10 for 41 Billion ni kama mazwazwa fulani hivi huku mkisahau nyi wenyewe MMEKOPESHA 49% za klabu kwa ONLY 20 Billion, tena forever!!
Na kama mliweza kukopesha klabu forever kwa 20 Billion, wala sitashangaa mkataba wenu ukiwa 60 Billion au pungufu, na hapo mtashangilia na kuona Yanga kapigwa huku mkisahau 41 Billion (less tax) zote zitaingia kwenye akaunti ya Yanga, wakati "60 Billion zenu" zitakuwa shared na wamiliki!!
Na ukweli ni kwamba,mkataba huu wa Yanga na Azam nadhani itakuwa umewavuruga sana akina GSM!!
Kama Yanga hawataendekeza njaa, watakuwa na grounds za kuuza 49% ya hisa za klabu kwa angalau 50 Billion kwa sababu haita-make sense hata kidogo haki za maudhui tu, tena kwa miaka 10 wakodishe kwa 41 Billion halafu 49% ya Klabu wauze kwa 20 Billion kama walivyofanya Simba!!
Utopoloni shule hamna unategemea nnNadhani wewe ndiye unapaswa kufunguliwa akili kwa kuangalia Makubaliano ya 2014 v/s Simba ya 2021.
Simba ya 2021 ni kweli Brand kubwa lakini je MO aliingia Makubaliano na Simba hii inavyotaka kushiriki Super League?
Hebu rudi miaka 6 nyuma Simba iliyokuwa ikiitwa Wa Matopeni ambayo ndiyo MO aliyoingia nayo makubaliano halafu utambie kama ilikuwa na thamani hata ya 10B.
Liverpool FC iliuzwa kwa FSG kwa £300M kwa wakati huo lakini sasa thamani yake ni £2.5B je washabiki waanze kulalamika kuwa FSG warudishiwe £300M zao ili wauziwe kwa 2.5B?
Jifunzeni biashara vijana ili mujue kuwa bidhaa kupanda thamani haibadilishi makubaliano ya awali hata kama yalikuwa na thamani ndogo.
Musijadili mambo kwa Mihemko bali jengeni hoja.
Mkuu umeelezea vyema sana
Nasisitiza tena ujio wa Azam umetufungua macho kuwa kumbe hivi Vilabu vyetu vina thamani kubwa sana kuliko tunavyofikiria
Sasa ni muda muafaka kwa timu ya Simba kufanya tathimini upya kuangazia hii 20bl anayotaka kutoa Mo kama ina real value kwa 49% share ya umiliki,,, maana tunauza hizo asilimia za umiliki milele ilhali Yanga kapewa udhamini wa 41bl kwa miaka 10 tu
FCC na Serikali kwa ujumla tunaomba muingilie kati hili sakata maana tuna bahati mbaya Mo keshajipenyeza ndani ya mfumo wa Simba hvyo Baraza la wadhamini la Simba haliwezi kuhoji tena juu ya kufanya uthamini kujua real value ya hii klabu kabla mchakato wa uwekezaji haujakamilika, vinginevyo tutakuwa tumepigwa mchana kweupeee,,, Mo atakuwa kaokota dodo mchangani
Ikiwa Mo atainunua hii klabu ya Simba kwa 20bl,
Na kama Azam Media ataingia mkataba na Simba assume wa thamani ya 60bl kwa miaka 10 maana yake ni kwamba 51% ya hio pesa ( 30.6bl) itaingia klabuni na 49% ya hio pesa ( 29.4bl) itaingia mfukoni mwa Mo,,, hvyo Mo ndani ya miaka 10 tu atakuwa kesharudisha pesa yake ya kununua hisa plus faida juu kupitia tu kwa Azam media.
Hapo bado hatujacount udhamini wa makampuni mengne kama SportPesa na wengneo
Kwa kwenye hyo b 20 ya mo we umepata sh ngapi?Bado hainiingii akilini kuuza umiliki wa timu kwa 49% kwa thamani ya 20bl ilhali Uto wamedhaminiwa,, just udhamini kwa miaka 10 thamani ya 41bl
Simba ni brand kubwa sana nchini, kuiuza kwa just 20bl ni hujuma kubwa sana,,, tumelainishwa na tumafanikio kwa kufanya vizuri champions league lakn hii haitoshi kuifanya klabu tuuze 49% ya umiliki kwa eti 20bl
Kina Mzee Kilomoni wamepiga sana kelele juu ya hii saga, FCC nao wamejaribu kutaka kuliweka sawa
Ujio wa udhamini wa Azam media kwa Yanga, utufungue akili wana Simba wenzangu, tulitafakari kwa kina hili swala
Ama kweli umbumbumbu ni kilema!Kuuza maudhui kwa 41 billion kwa miaka 10 ni njaa, lakini kuuza karibu nusu ya klabu kwa 20 billion forever ndo akili sio?!
Unadhani wakati ule MO anaitaka Simba Kwa 20 B ilikua na Thamani hiyo?!!....Sasa hivi Simba ina Thamani kubwa zaidi kutokana na mafanikio yake!!...Yanga wameeza maudhui yake,Simba wanajiendesha wenyewe mnataka Simba nao wauze?!!!...Kuuza maudhui kwa 41 billion kwa miaka 10 ni njaa, lakini kuuza karibu nusu ya klabu kwa 20 billion forever ndo akili sio?!
maswali machache mkuu Chige ,Mosi, sijasema pesa zitaenda kwa Mwamedi na sio Simba bali nimesema mkataba atakaoingia Simba, ndani yake kuna share za Mwamedi!!! Na ndo maana nikasema, ili Simba SC wapate sawa na Yanga, basi mkataba wao unatakiwa kuwa at least 80 Billion, kwa sababu kati ya hizo, kuna zingine zitaenda kwa mmiliki wa 49% za klabu!
Pili, hakuna anayekataa kwamba Simba imefika hapo kwa ajili ya Mwamedi lakini hoja yangu ni kwamba, ni kama mnawaona Yanga waliomilikisha contents kwa miaka 10 for 41 Billion ni kama mazwazwa fulani hivi huku mkisahau nyi wenyewe MMEKOPESHA 49% za klabu kwa ONLY 20 Billion, tena forever!!
Na kama mliweza kukopesha klabu forever kwa 20 Billion, wala sitashangaa mkataba wenu ukiwa 60 Billion au pungufu, na hapo mtashangilia na kuona Yanga kapigwa huku mkisahau 41 Billion (less tax) zote zitaingia kwenye akaunti ya Yanga, wakati "60 Billion zenu" zitakuwa shared na wamiliki!!
Na ukweli ni kwamba,mkataba huu wa Yanga na Azam nadhani itakuwa umewavuruga sana akina GSM!!
Kama Yanga hawataendekeza njaa, watakuwa na grounds za kuuza 49% ya hisa za klabu kwa angalau 50 Billion kwa sababu haita-make sense hata kidogo haki za maudhui tu, tena kwa miaka 10 wakodishe kwa 41 Billion halafu 49% ya Klabu wauze kwa 20 Billion kama walivyofanya Simba!!
Mkuu umeelezea vyema sana
Nasisitiza tena ujio wa Azam umetufungua macho kuwa kumbe hivi Vilabu vyetu vina thamani kubwa sana kuliko tunavyofikiria
Sasa ni muda muafaka kwa timu ya Simba kufanya tathimini upya kuangazia hii 20bl anayotaka kutoa Mo kama ina real value kwa 49% share ya umiliki,,, maana tunauza hizo asilimia za umiliki milele ilhali Yanga kapewa udhamini wa 41bl kwa miaka 10 tu
FCC na Serikali kwa ujumla tunaomba muingilie kati hili sakata maana tuna bahati mbaya Mo keshajipenyeza ndani ya mfumo wa Simba hvyo Baraza la wadhamini la Simba haliwezi kuhoji tena juu ya kufanya uthamini kujua real value ya hii klabu kabla mchakato wa uwekezaji haujakamilika, vinginevyo tutakuwa tumepigwa mchana kweupeee,,, Mo atakuwa kaokota dodo mchangani
Ikiwa Mo atainunua hii klabu ya Simba kwa 20bl,
Na kama Azam Media ataingia mkataba na Simba assume wa thamani ya 60bl kwa miaka 10 maana yake ni kwamba 51% ya hio pesa ( 30.6bl) itaingia klabuni na 49% ya hio pesa ( 29.4bl) itaingia mfukoni mwa Mo,,, hvyo Mo ndani ya miaka 10 tu atakuwa kesharudisha pesa yake ya kununua hisa plus faida juu kupitia tu kwa Azam media.
Hapo bado hatujacount udhamini wa makampuni mengne kama SportPesa na wengneo
Usilazimishe kutoelewa.Acha kudanganya Wenzako Kijana unaonesha hujawahi kufanya biashara hata ya kuuza nyanya 🍅.
Umeona wapi biashara au Kampuni kugawana Mtaji?
Ndugu Kampuni au Biashara wanachogawana ni Faida (Net Profit) hivyo unaposema Simba wakipewa Bilioni 60 zinakuwa shared hapo unadanganya kwa kuto kujua uendeshaji wa biashara.
Labda nikueleweshe tu! Hizo 60B zinaingia kwenye Akaunti ya Timu, baada ya gharama za uendeshaji wa Timu pamoja na Manunuzi ya Wachezaji, Mishahara ya Wachezaji, Viongozi na Watumishi wote wa Simba, kitakachobakia kama Faida ndiyo kinagaiwa kati ya wenye 49% na 51%.
Hivyo upo uwezekano mkubwa wakaishia kugawana hasara na si Mihela kama unavyotaka kudanganya Watu kwani gharama za uendeshaji wa hizi Timu ni kubwa zaidi.
Mkuu, samahani kama hautojali naomba muundo wa hiyo Super league. Itahisisha team ngapi, kwa vigezo vipi, mshindi atapata nini, itendeshwa kwa mfumo wa ligi au makundi na vinginevyo.kwenye biashars hakuna kukomoana
huwa tunaangalia maslahi zaidi
huwezi kuuza haki zako zote za matangazo wakati kuna super league inakuja
utatazamwa afrika nzima kila wiki
Pamoja na kutanguliza kejeli, I doubt ikiwa hata wewe unaelewa unachosema!!
Kuna vitu 3 katika hili ambavyo hutakiwi kuchanganya madesa!
1. Broadcasting Rights... hii ndiyo unayoisema wewe hapo juu!! Azam tayari wanayo Broadcasting Rights waliyosaini na TFF, na kuiwezesha Azam kurusha matangazo ya VPL. In most cases, Broadcasting Rights zinamilikiwa na vyama vya michezo kwa sababu ndio waendeshaji wa ligi husika!
2. Advertizing Rights... Hizi umilikiwa na Klabu! Hapa ni pale unapoona timu kama Arsenal inapiga uzi wa Emirates kwa sababu wameingia mkataba wa kuwatangazia bidhaa zao.
3. Contents Rights... Hii ndiyo wameingia Yanga na Azam, yaani Haki za Maudhui. Mfano mzuri chukulia msanii kama Diamond ambae kila anakoenda anaambatana na wapiga picha wake, na yake matukio anayarusha YouTube!!
Sasa leo hii ukiingia mkataba wa Haki za Maudhui na Diamond, yale matukio yake (sio ngoma anazo-release) badala ya kuya-post kwenye YouTube Channel yake, utayachukua wewe na kuyapeleka unakokujua! Kama nawe utayarusha YouTube, sawa! Kama una TV stations ambako unataka ndo uyarushe; utajua mwenyewe!!
Kwa maana nyingine, yale matukio (sio mechi wala matangazo) ya Yanga, hivi sasa yatakuwa yanarushwa na Azam! Kwa mfano, yale matukio ya wendawazimu wa Yanga kwenda kuwabeba akina Hersi, Azam atakuwa ndo mmiliki wake! Zile interview, mazoezi, na mambo mengine kama hayo; yatakuwa yanarushwa na Azam!!
That's one, and two, hebu weka ushabiki maandazi pembeni unless kama nawe ni mweupe kwenye haya mambo! Unasema:-
Hivi Klabu "iliyouza" 49% ya hisa zake FOREVER kwa TZS 20 Billion, na Klabu iliyokodisha haki zake za maudhui kwa TZS 41 Billion kwa miaka 10, ni nani hapo anayefikiri sawa sawa?!
And guess what?! Hata kama Simba ataingia mkataba wa TZS 60 Billion (compared na 41 Billion za Yanga) bado Yanga atakuwa ndie kafaidikika zaidi! WHY?
Kwa sababu hizo TZS 60 Billion ndani yake kutakuwa na share ya Mwamedi kwa sababu anamiliki 49% ya hisa za Simba!! Na mimi nakuambia hivi! Simba SPORTS CLUB kuwa na faida ile ile sawa na ya Yanga SPORTS CLUB au kuzidi, basi wanatakiwa kuingia mkataba wa angalau Sh. 80 Billion, ili Mwamedi akipata share yake, inayobaki ndo izidi hiyo 41 Billion za Yanga!!
Mkuu kwanza nikuweke sawa sijaongea kwa kejeli,,
Then huyo mwamedi unayemzungumzia ndio katufikisha hapa tulipo kila mtu anaizungumzia simba africa.
Caf wenyewe walideclair simba ilivyotolewa mashndano yalipoa sana..
Hiyo ndo brand ya simba now..
Mashabiki wa soka tunachokitaka ni furaha tu hizo pesa za mwamedi sjui azam wewe hazikuhusu,
Hata kama atazichkua zote na team ikaendelea kufanya vizuri kit gani kingne unataka wewe ..
Unasema pesa ztaenda kwa mwmedi na sio simba ,simba ipi na mwamedi yupi..
Kitu gani kingne unanufaika nacho kwenye soka zaidi ya furaha.
Ambayo moo anatupatia kwa sasa hiki ndo kinawafanya mnamchukia huyu mtu.
But nakuhakikushia moo yupo sana simba.