Simba apewa point zake 3 dhidi ya Kagera sugar

Status
Not open for further replies.
Kwa maamuzi haya! Soka la Tanzania ni ngumu sana kuendelea.
Mkuu unakosea pia kwamba, ili soka liendelee basi sheria na kanuni zilizowekwa ni lazima zifuatwe, usitake kutuaminisha kwamba Simba ndio timu ya kwanza kufanyiwa utaratibu huu! Ifike wakati nidhamu ya soka ndani na nje ya uwanja iheshimiwe..period!
 
Hii ndio habari mbaya niliyoipata kuliko zote wiki hii... Real sisikilizi kipindi cha michezo tena mpaka baada ya pasaka iyo j4.
Wasituletee ukinga li.ligi gani hili mitimu inabebwa bebwa tu
Hahahahaaaaaa
 

Attachments

  • IMG-20170412-WA0015.jpg
    9.7 KB · Views: 27
Haaaa,mikia, wazee wa SAA 72. Hivi kipa wa mbao walimpa ngapi?
 
Kwa mujibu wa efm saa1 michezo kikao bado kinaendelea na maamuzi bado.
 
Tumeanza kuzizoea hizi habari

[HASHTAG]#FakeNews[/HASHTAG]
 
safi sana maana ingepingwa hiyo yangekuwa mengine. Ushauri ni kwamba tuwe tunarejea kanuni na sheria zilizowekww.
 
BREAKING NEWS:
Simba apewa point zake 3 na magoli mawili baada ya kushinda rufaa yao dhidi ya Kagera Sugar...

Chanzo: Efm radio
Acha ubashite....kipindi cha michezo jion hii wanasema bado matokeo ya kikao cha masaa 72 bado hayajatoka....
 
Safi sana ila TFF iandae utaratibu kama wa ulaya. Yaani kabla ya mechi kila timu inaeleza wachezaji wasiocheza na sababu za kutocheza ikiwemo waliopewa kadi za njano au nyekundu.
Hakuna kushituana maana hata yanga aliwahi beba ubingwa baada ya azam kupokwa pointi tatu. Simba naye aliwahi nyanganywa point tatu. Hizo ni mbinu za mchezo mnajua ila mnakausha ili mkipigwa mnateleza kiulaini.
 
Huu uzi si wa kweli kikao bado kinaendelea maamuzi bado
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…