Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada unasahau msemo usemao ...Mswahili akipata .......Na nyie mmetuchosha na hizo tano..mbona mnakua washamba sana? Hizo 5 ndo wakwanza kufunga?
Halafu azam na simba zinakua za ngapi?Bingwa 🏆 wa ligi kuu kwa mara nyingine tena msimu ni Young Africans Sports Club. 💚💛
Wako slow sana..Kwa Simba hii, Tff kubalini ata kwa kupindisha kanuni ili mjiondoe kwenye Lawama wapate nafasi ya kucheza New Aman stadium.
Baada ya mechi Tano watarudi Tena na kuwaomba Tff mechi zao zi ahmishiwe Comoro[emoji1][emoji1][emoji1]
2. Azam FcHalafu azam na simba zinakua za ngapi?
Humu patakua hapatoshi ujue2. Azam Fc
3. Simba Sc
Mkuu tuwe serious mechi ipi kipindi cha Kocha Papaa Zahera Yanga alipigwa goli 5? Tukubali waliosajili wachezaji hao wapya wanacheza na akili za mashabiki maana hata Waziri Junio Chentemba ana afadhali kuliko wachezaji hao.Kitu kinachowatesa Utopolo, Simba bado Wapo gado...
Walitegemea uto Wakiwa juu ,Simba iwe imetepeta kama Wao enzi za Papaa Zahera..! Lkn wapiiii , Mnyama bado ni Bora, Bora Bora sana Kiasi Cha kuwa 7 bora Afrika.. hiki kinawaumiza Sana... Imebaki propaganda za mpira mbovu..!
Uto Vumilieni tu, ndio Soka lilivyo..
Kwa uongozi wa Try again mtapigwq sana hapoMkuu tuwe serious mechi ipi kipindi cha Kocha Papaa Zahera Yanga alipigwa goli 5? Tukubali waliosajili wachezaji hao wapya wanacheza na akili za mashabiki maana hata Waziri Junio Chentemba ana afadhali kuliko wachezaji hao.
Mkuu sio wote wanatoa maoni yenye mtazamo hasi ni Utopolo. Wengine ni Mashabiki wa Simba wenye mahaba na uchungu na timu.Simba ni yetu UTOPOLO mnateseka na nn
Tuondolee ushubwadu wako...5G mnaisema mpk leo ulimbukeni wa hali ya juu..yani hyo tano bado hamuamini macho yenu...Walishindwa Phiri na Baleke kwa pamoja mkala 5G ndio ataweza huyo mgaigai mmoja.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Mbona wewe unaisemaTuondolee ushubwadu wako...5G mnaisema mpk leo ulimbukeni wa hali ya juu..yani hyo tano bado hamuamini macho yenu...
.............Mbona wewe unaisema
Yanga tulivyoyumba tulikuwa nafasi ya pili always.Ninyi mlipoyumba mlishika nafasi ya 4.hata Sasa msimu huu ntakuwa. Nafasi ya 3 nyuma ya Yanga na AzamKitu kinachowatesa Utopolo, Simba bado Wapo gado...
Walitegemea uto Wakiwa juu ,Simba iwe imetepeta kama Wao enzi za Papaa Zahera..! Lkn wapiiii , Mnyama bado ni Bora, Bora Bora sana Kiasi Cha kuwa 7 bora Afrika.. hiki kinawaumiza Sana... Imebaki propaganda za mpira mbovu..!
Uto Vumilieni tu, ndio Soka lilivyo..