Simba Bob Junior wa Serengeti apinduliwa na kuuawa

Simba Bob Junior wa Serengeti apinduliwa na kuuawa

Mi niliacha kuangalia kipindicha wanyama sababu ya simba kumla twigana pundamilia ,na nyati
Roho ikawa inaniuma sana nikaona niachane nayo ,kweli Twiga wapole hawana shida walitakiwa watengwe na simba kabisa ,viswala vikikamatwa sasa hadi watoto nikaona nitachizika huyu bwana bob afe tu makatili wakubwa
Wewe huwa hauli kuku?
 
Nature.... hayo ndio maisha halisi ya Simba, mwanaume ukikua unafukuzwa kwenye ukoo, na ili kuanza familia na kupata eneo lako unaenda kuvamia ukoo mwingine, unapigana na ukiweza kuwakimbiza au kuua wanaume wote unachukua majike, kama yana watoto unaua wote then unaanzisha ukoo wako, na simba wengine vijana waliofukuzwa watakuwa wanakuvamia kila wakati ili kuchukua majike yako na eneo lako, ukishindwa ndio umepoteza familia nzima na watoto wako wote wanauliwa na majike kuplewa na ndume iliyoshinda, wana maisha magumu sana na ukiwa soft kama wanaume wa JF umekwisha
 
SAD NEWS…

Taarifa ya kifo cha Simba maarufu huko Serengeti ajulikanae kama Bob imezistua Nyoyo za Watu wengi Duniani ambao walifanikiwa kumuona Simba huyo ambae alikuwa kipenzi cha Watu kwa kuwa hakuwa na tabia za kujificha wala kukwepa Camera.

Bob alikutwa na umauti baada ya kundi la Simba Watatu kumvamia na kutimiza Lengo lao la muda mrefu la kuuangusha utawala wa Bob na kusimika ufalme wao porini hapo.

Simba hao Watatu ambao Bob aliwalea tangu wakiwa wachanga inasemekana walishafanya mapinduzi mara kadhaa ya kutaka kuuangusha utawala wa Bob lakini mara zote walikutana na upinzani mkali na hata kukimbizwa maeneo hayo.

Bob ambae alikuwa mtemi na mtawala wa eneo la Namiri aliongoza Simba wa eneo hilo kwa kipindi kirefu sana na alikwepa mapinduzi ya aina mbalimbali kwa vipindi tofauti huko Mashariki ya Serengeti.

Utawala wa Bob ulikuja baada ya kumpindua na kumuua Baba yake ambae alikuwa maarufu pia kwa Watalii Duniani ambae alifahamika kama C-Boy.

Umauti ulimkuta C-Boy mwendo wa Jioni pembezoni mwa Mto Ngare Nanyuki ambapo wakiwa wawili tu Bob alifanikiwa kufanya mapinduzi hayo tukufu na kuumaliza utawala wa Baba yake.

Pumzika kwa amani Bob.
Vita ulivipigana na mwendo umeumaliza.

View attachment 2549829
View attachment 2549828
View attachment 2549827
Bora Simba huyu kuliko yule wa msimbazi
 
Mi niliacha kuangalia kipindicha wanyama sababu ya simba kumla twigana pundamilia ,na nyati
Roho ikawa inaniuma sana nikaona niachane nayo ,kweli Twiga wapole hawana shida walitakiwa watengwe na simba kabisa ,viswala vikikamatwa sasa hadi watoto nikaona nitachizika huyu bwana bob afe tu makatili wakubwa
Relax,hata hapa mjini mademu pisi wanaliwa na uzuri wao and nobody gives a damn
 
Wana nafsi, hawana roho, roho ndo inaishi milele, anayeenda Motono/mbinguni anajua wrong anf right
Mbwa, paka hawajui wrong and right? Fuga halafu uwachunguze tabia zao utagundua.

Halafu kwa hadithi za biblia ufahamu wa mema na mabaya ulikuja baada ya kula tunda, sasa kwa ulichosema inamaana Kabla ya kula tunda binadamu alikuwa kama mnyama sababu hakujua wrong and right? Kuna kitu hakiko sawa.
 
Mi niliacha kuangalia kipindicha wanyama sababu ya simba kumla twigana pundamilia ,na nyati
Roho ikawa inaniuma sana nikaona niachane nayo ,kweli Twiga wapole hawana shida walitakiwa watengwe na simba kabisa ,viswala vikikamatwa sasa hadi watoto nikaona nitachizika huyu bwana bob afe tu makatili wakubwa
Wanawake mna huruma sana
 
Nature.... hayo ndio maisha halisi ya Simba, mwanaume ukikua unafukuzwa kwenye ukoo, na ili kuanza familia na kupata eneo lako unaenda kuvamia ukoo mwingine, unapigana na ukiweza kuwakimbiza au kuua wanaume wote unachukua majike, kama yana watoto unaua wote then unaanzisha ukoo wako, na simba wengine vijana waliofukuzwa watakuwa wanakuvamia kila wakati ili kuchukua majike yako na eneo lako, ukishindwa ndio umepoteza familia nzima na watoto wako wote wanauliwa na majike kuplewa na ndume iliyoshinda, wana maisha magumu sana na ukiwa soft kama wanaume wa JF umekwisha
Wanashida sana, kula papuchi mpaka waipiganie. Kwa mwendo huo nadhani kuna simba ambao wanazaliwa hadi wanakufa bila kuonja papuchi
 
Back
Top Bottom