Asiye na mwana aeleke kichwa,kufa kufaana,riziki ya mbwa ipo miguuni,aso hili ana lile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asiye na mwana aeleke kichwa,kufa kufaana,riziki ya mbwa ipo miguuni,aso hili ana lile
Mitume na manabii watajibuHivi simba nao wanaenda peponi na motoni ?
Wewe huwa hauli kuku?Mi niliacha kuangalia kipindicha wanyama sababu ya simba kumla twigana pundamilia ,na nyati
Roho ikawa inaniuma sana nikaona niachane nayo ,kweli Twiga wapole hawana shida walitakiwa watengwe na simba kabisa ,viswala vikikamatwa sasa hadi watoto nikaona nitachizika huyu bwana bob afe tu makatili wakubwa
Hivi simba nao wanaenda peponi na motoni ?
Hahahaaaa huyu jamaa kanichekesha sana...Mkuu unajua kusimulia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora Simba huyu kuliko yule wa msimbaziSAD NEWS…
Taarifa ya kifo cha Simba maarufu huko Serengeti ajulikanae kama Bob imezistua Nyoyo za Watu wengi Duniani ambao walifanikiwa kumuona Simba huyo ambae alikuwa kipenzi cha Watu kwa kuwa hakuwa na tabia za kujificha wala kukwepa Camera.
Bob alikutwa na umauti baada ya kundi la Simba Watatu kumvamia na kutimiza Lengo lao la muda mrefu la kuuangusha utawala wa Bob na kusimika ufalme wao porini hapo.
Simba hao Watatu ambao Bob aliwalea tangu wakiwa wachanga inasemekana walishafanya mapinduzi mara kadhaa ya kutaka kuuangusha utawala wa Bob lakini mara zote walikutana na upinzani mkali na hata kukimbizwa maeneo hayo.
Bob ambae alikuwa mtemi na mtawala wa eneo la Namiri aliongoza Simba wa eneo hilo kwa kipindi kirefu sana na alikwepa mapinduzi ya aina mbalimbali kwa vipindi tofauti huko Mashariki ya Serengeti.
Utawala wa Bob ulikuja baada ya kumpindua na kumuua Baba yake ambae alikuwa maarufu pia kwa Watalii Duniani ambae alifahamika kama C-Boy.
Umauti ulimkuta C-Boy mwendo wa Jioni pembezoni mwa Mto Ngare Nanyuki ambapo wakiwa wawili tu Bob alifanikiwa kufanya mapinduzi hayo tukufu na kuumaliza utawala wa Baba yake.
Pumzika kwa amani Bob.
Vita ulivipigana na mwendo umeumaliza.
View attachment 2549829
View attachment 2549828
View attachment 2549827
Me tooMi napenda sana kuangalia animals....nat geo wild my fav
Relax,hata hapa mjini mademu pisi wanaliwa na uzuri wao and nobody gives a damnMi niliacha kuangalia kipindicha wanyama sababu ya simba kumla twigana pundamilia ,na nyati
Roho ikawa inaniuma sana nikaona niachane nayo ,kweli Twiga wapole hawana shida walitakiwa watengwe na simba kabisa ,viswala vikikamatwa sasa hadi watoto nikaona nitachizika huyu bwana bob afe tu makatili wakubwa
Mbwa, paka hawajui wrong and right? Fuga halafu uwachunguze tabia zao utagundua.Wana nafsi, hawana roho, roho ndo inaishi milele, anayeenda Motono/mbinguni anajua wrong anf right
pole mkuu, lakini pisi kali hajima yake ni kuliwa, hata huku mtaani si unajionea jinsi pisi kali zinaliwa mchana na usiku ?Mie sipendi kuona wakimuua pundamilia, yule mnyama namuonaga ndio pisi ya porini....ananiuma akiliwa
Wanawake mna huruma sanaMi niliacha kuangalia kipindicha wanyama sababu ya simba kumla twigana pundamilia ,na nyati
Roho ikawa inaniuma sana nikaona niachane nayo ,kweli Twiga wapole hawana shida walitakiwa watengwe na simba kabisa ,viswala vikikamatwa sasa hadi watoto nikaona nitachizika huyu bwana bob afe tu makatili wakubwa
Wanashida sana, kula papuchi mpaka waipiganie. Kwa mwendo huo nadhani kuna simba ambao wanazaliwa hadi wanakufa bila kuonja papuchiNature.... hayo ndio maisha halisi ya Simba, mwanaume ukikua unafukuzwa kwenye ukoo, na ili kuanza familia na kupata eneo lako unaenda kuvamia ukoo mwingine, unapigana na ukiweza kuwakimbiza au kuua wanaume wote unachukua majike, kama yana watoto unaua wote then unaanzisha ukoo wako, na simba wengine vijana waliofukuzwa watakuwa wanakuvamia kila wakati ili kuchukua majike yako na eneo lako, ukishindwa ndio umepoteza familia nzima na watoto wako wote wanauliwa na majike kuplewa na ndume iliyoshinda, wana maisha magumu sana na ukiwa soft kama wanaume wa JF umekwisha
Survival for the fittest...Wao kwa wao itabidi wapigane na kuuana ili abaki mmoja tu
Hao watawala wapya hawatapigania ufalme kweli ?Mapinduzi hayo yalikuwa yafanywe na Simba Wanne lakini mmoja wao aliuwawa katikati ya Wiki iliopita baada ya kumvamia Mbogo bila kujipanga…