Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Aisee wanyama watafunwao watafurahia sana habari hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣😆Bob alifanikiwa kufanya mapinduzi hayo tukufu
,🤣😆😆Bob alikutwa na umauti baada ya kundi la Simba Watatu kumvamia na kutimiza Lengo lao la muda mrefu la kuuangusha utawala wa Bob na kusimika ufalme wao porini hapo.
🤣😆😆😆😆alikwepa mapinduzi ya aina mbalimbali kwa vipindi tofauti huko Mashariki ya Serengeti.
Very true mkuuSimba wanamalizana sana wenyewe kwa wenyewe kuliko wanavyomalizwa na wanadamu.
Hapo umeutaja mto Ngarenanyuki kuwa upo Magharibi mwa Serengeti, nadhani utakuwa umechanganya kidogo, kumbukumbu zangu zinaniambia mto Ngarenanyuki upo ndani ya ya Arusha National Park
Mbwa, paka hawajui wrong and right? Fuga halafu uwachunguze tabia zao utagundua.
Halafu kwa hadithi za biblia ufahamu wa mema na mabaya ulikuja baada ya kula tunda, sasa kwa ulichosema inamaana Kabla ya kula tunda binadamu alikuwa kama mnyama sababu hakujua wrong and right? Kuna kitu hakiko sawa.
Nahoji uhalali wa tafsiri na uhalisia wa tafsiri na iwapo kinachotafsiriwa ndicho halisi. Kama ulivyosema ni mada pana, na umeshakiri kufikiri kukosea. Tuachane nayo, hapa sio sehemu yake.Kila la heri, nafikiri nimekosea kuandika few lines, huu ni mjadala mrefu. Upo sahihi, ukisema kuna kitu hakipo sawa ina maama una hoji uhalali wa Biblia au?
Mkuu,Mara mwisho hyu jamaa niliwahi kumuona kitambaa cheupe pale tabata...ni mtu poa sana sema alipenda totoz ...r.i.p.bob juniur...huzin kwa tasnia nzima kwa kwl..😥
Dah...kwa hiyo ulimuona kitambaa cheupe😃😃.Mara mwisho hyu jamaa niliwahi kumuona kitambaa cheupe pale tabata...ni mtu poa sana sema alipenda totoz ...r.i.p.bob juniur...huzin kwa tasnia nzima kwa kwl..😥