Hapana kwa mujibu wa vitabu vya wanyama wote hawatowajibika kwa Lolote kwa kuwa hawana hakili atakaewajibika kwenda peponi na motoni ni Binadam kwa sababu ana akiliHivi simba nao wanaenda peponi na motoni ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana kwa mujibu wa vitabu vya wanyama wote hawatowajibika kwa Lolote kwa kuwa hawana hakili atakaewajibika kwenda peponi na motoni ni Binadam kwa sababu ana akiliHivi simba nao wanaenda peponi na motoni ?
Wapo wengine huwa wanakaa pamoja bila shida wanaform coalition yaani ile ya wafalme wawili, watatu au wanne. Inategema na wamekua vipi.Wao kwa wao itabidi wapigane na kuuana ili abaki mmoja tu
Aisee kumbe nilidhani pekee yangu namuona yule mnyama sexy, pundamilia ana tako na hips za ukweli balaa.Mie sipendi kuona wakimuua pundamilia, yule mnyama namuonaga ndio pisi ya porini....ananiuma akiliwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee kumbe nilidhani pekee yangu namuona yule mnyama sexy, pundamilia ana tako na hips za ukweli balaa.
Hao ni simba brothers, hao siku zote huishi pamoja, lakini lijapo swala la baba na vijana wake wa kiume kamwe huwa hawaishi pamoja.Wapo wengine huwa wanakaa pamoja bila shida wanaform coalition yaani ile ya wafalme wawili, watatu au wanne. Inategema na wamekua vipi.
Kuna Documentary: Lion brothers : Cubs to Kings (National Geographic Wild) itafute hii utazame story ya simba wawili mtu na kaka yake ambao wamekua pamoja na hawakutengana na wakaanzisha kingdom yao na kuitawala pamoja.
Kweli yani ukiwa soft umeisha.Nawaza tu yani mashoga wangekuwa jamii ya Simba wangekuwa washaisha.Nature.... hayo ndio maisha halisi ya Simba, mwanaume ukikua unafukuzwa kwenye ukoo, na ili kuanza familia na kupata eneo lako unaenda kuvamia ukoo mwingine, unapigana na ukiweza kuwakimbiza au kuua wanaume wote unachukua majike, kama yana watoto unaua wote then unaanzisha ukoo wako, na simba wengine vijana waliofukuzwa watakuwa wanakuvamia kila wakati ili kuchukua majike yako na eneo lako, ukishindwa ndio umepoteza familia nzima na watoto wako wote wanauliwa na majike kuplewa na ndume iliyoshinda, wana maisha magumu sana na ukiwa soft kama wanaume wa JF umekwisha
Sijui na nyama itakua tamu kama muonekano! Sijawahi kumlaAisee kumbe nilidhani pekee yangu namuona yule mnyama sexy, pundamilia ana tako na hips za ukweli balaa.
Mi napenda sana kuangalia animals....nat geo wild my fav
Yeah Saimon....jamaa anapenda nyoka ukiangalia unaona kumbe nyoka ni wakawaida hawana ishuMi napenda Ile documentary ya yule mzungu mwenye tattoo ya snake in the city (PROFESSIONAL SNAKE CATCHER)jamaa ni hatari yule ANAJUA tabia za Kila aina ya nyoka na jinsi yakumkamata
Wanyama hawana akili kivp, una uhakika hawana akil , au ni story za kusikia tu.Hapana kwa mujibu wa vitabu vya wanyama wote hawatowajibika kwa Lolote kwa kuwa hawana hakili atakaewajibika kwenda peponi na motoni ni Binadam kwa sababu ana akili
Mto huo inaishia hapo tu? Kwani mto Nile unaopita Uganda ukifika Egypty sio mto Nile? Kama geographically hauflow kwenda huko happy sawa.Simba wanamalizana sana wenyewe kwa wenyewe kuliko wanavyomalizwa na wanadamu.
Hapo umeutaja mto Ngarenanyuki kuwa upo Magharibi mwa Serengeti, nadhani utakuwa umechanganya kidogo, kumbukumbu zangu zinaniambia mto Ngarenanyuki upo ndani ya ya Arusha National Park
Wanashtakiwa TANAPA au wapi?SAD NEWS…
Taarifa ya kifo cha Simba maarufu huko Serengeti ajulikanae kama Bob imezistua Nyoyo za Watu wengi Duniani ambao walifanikiwa kumuona Simba huyo ambae alikuwa kipenzi cha Watu kwa kuwa hakuwa na tabia za kujificha wala kukwepa Camera.
Bob alikutwa na umauti baada ya kundi la Simba Watatu kumvamia na kutimiza Lengo lao la muda mrefu la kuuangusha utawala wa Bob na kusimika ufalme wao porini hapo.
Simba hao Watatu ambao Bob aliwalea tangu wakiwa wachanga inasemekana walishafanya mapinduzi mara kadhaa ya kutaka kuuangusha utawala wa Bob lakini mara zote walikutana na upinzani mkali na hata kukimbizwa maeneo hayo.
Bob ambae alikuwa mtemi na mtawala wa eneo la Namiri aliongoza Simba wa eneo hilo kwa kipindi kirefu sana na alikwepa mapinduzi ya aina mbalimbali kwa vipindi tofauti huko Mashariki ya Serengeti.
Utawala wa Bob ulikuja baada ya kumpindua na kumuua Baba yake ambae alikuwa maarufu pia kwa Watalii Duniani ambae alifahamika kama C-Boy.
Umauti ulimkuta C-Boy mwendo wa Jioni pembezoni mwa Mto Ngare Nanyuki ambapo wakiwa wawili tu Bob alifanikiwa kufanya mapinduzi hayo tukufu na kuumaliza utawala wa Baba yake.
Pumzika kwa amani Bob.
Vita ulivipigana na mwendo umeumaliza.
View attachment 2549829
View attachment 2549828
View attachment 2549827
Sijawahi kuuona uelekeo wake ukielekea serengeti.Mto huo inaishia hapo tu? Kwani mto Nile unaopita Uganda ukifika Egypty sio mto Nile? Kama geographically hauflow kwenda huko happy sawa.
Simba anapaka MkongoKule wanyama wetu nasikia wanakula hadi maandazi na michembe