🤣🤣🤣🤣🤣🤣ile mido na winga ni hatari,mechi kama ya Yanga striker hata akiwekwa Zuchu inatosha kuichapa Utopolo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣ile mido na winga ni hatari,mechi kama ya Yanga striker hata akiwekwa Zuchu inatosha kuichapa Utopolo
mwaka gani huo bi dada?Simba ilichapa UTOPOLO 4-0
Hapo hakuna timu, labda Kama unajifarijiKikosi changu cha kwanza.
1. Manula
2. Kapombe
3. Hussein
4. Ibra Ame
5. Babu Onyango
6. Fraga
7. Luiz Miaquissone
8. Chama Chota
9....
10. Rarry Bwalya
11. Morrison
Aliyeniudhi ni Ndemla, anapiga shuti bila kuangalia Goli, nimemshauri sana na hasikii.
Kama angejirekebisha kwa hili ndio angekuwa namba 9 wetu.
Ona video ya goli la Morrison, kabla ya kupiga ali litazama goli na golikipa. Yaani ni lazima uangalie goli kabla ya kupiga shuti.
Jirekebishe Ndemla.
Ajibu ame jiongeza sana, sasa hivi anacheza mpira mkubwa. Hongera Ajibu.
Ilafya yuko vizuri, Gabriel Maiko sasa yuko vizuri sana. Duchu pia.
Namba 9 lazima Boko, Kagere na Magalu waipiganie.
Magalu ni mzuri, ila anahitaji ale chakula kingi bora. Aongeze stamina, amekonda na ni mwepesi.
(Magalu eat enough food)
Kwa ujumla wachezaji karibu wote sasa hivi wanacheza kwa kujituma na ni wazuri
Asante sana MO Dewji, na Raisi wetu John Pombe Magufuli.
Kama si muamala kufanya kinacho stahili huna uwezo wa kunifunga 4na ndio mana zile Tigo pesa nimetimua zote yangaKama tulivyoipata Timu dhaifu kwenye FA tukapata matokeo tuliyoyatarajia ya Goli 4
Mikia fc.
Kama si muamala kufanya kinacho stahili huna uwezo wa kunifunga 4na ndio mana zile Tigo pesa nimetimua zote yanga
Hapo hakuna timu, labda Kama unajifariji
Unataka kucheza na Bayern Munich wakati waliokufunga goli tano tano kujilinganisha na Munich ni sawasawa na mtoto wa darasa la kwanza kujilinganisha na mwanafunzi wa chuo kikuu hao wachezaji wako wangekuwa wazuri wangeenda nje kama akina Muleka wa As Vita
Unabisha Utopolo haijapigwa 4mwaka gani huo bi dada?
Mikia fc tako moko fc.Na vile Utopolo munavyopenda kupigwa Mkia mpaka Mupigwe Mikia Minne ndiyo muridhike.
Mikia fc tako moko fc.
Rais ni kocha mbumbumbu hapo au ni bosi?Kikosi changu cha kwanza.
1. Manula
2. Kapombe
3. Hussein
4. Ibra Ame
5. Babu Onyango
6. Fraga
7. Luiz Miaquissone
8. Chama Chota
9....
10. Rarry Bwalya
11. Morrison
Aliyeniudhi ni Ndemla, anapiga shuti bila kuangalia Goli, nimemshauri sana na hasikii.
Kama angejirekebisha kwa hili ndio angekuwa namba 9 wetu.
Ona video ya goli la Morrison, kabla ya kupiga ali litazama goli na golikipa. Yaani ni lazima uangalie goli kabla ya kupiga shuti.
Jirekebishe Ndemla.
Ajibu ame jiongeza sana, sasa hivi anacheza mpira mkubwa. Hongera Ajibu.
Ilafya yuko vizuri, Gabriel Maiko sasa yuko vizuri sana. Duchu pia.
Namba 9 lazima Boko, Kagere na Magalu waipiganie.
Magalu ni mzuri, ila anahitaji ale chakula kingi bora. Aongeze stamina, amekonda na ni mwepesi.
(Magalu eat enough food)
Kwa ujumla wachezaji karibu wote sasa hivi wanacheza kwa kujituma na ni wazuri
Asante sana MO Dewji, na Raisi wetu John Pombe Magufuli.