Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
- Thread starter
- #21
Sawathubutu jiandae kuoga magoli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawathubutu jiandae kuoga magoli
Kabisa babu 😆 😆 😆Punguza KUPENDA UTABIRI, LAMLI, Unajimu, hizi ni kazi za ibilisi.
Muda ni hakimu mwema, UTATOA MAJIBU WENYEWE.
Muda haudanganyi.
KIZAZi Cha kamali
SawaSi tulishakubaliana wanakufa 7-0!!
Sasa penalt zinatoka wapi tena🤷🤷
Simba wanashindaSimba ameshatoka so wala hakuna haja ya kutrain kupiga matuta
SawaSimba wanashinda
Mpira hauko hvyo shehe wangu.Yaani niumbuke kwa lipi? Hilo jambo haliwezekani katika hali yoyote ile na ikitokea labda Wydad wasije uwanjani ila wakifika tu kbla ya mechi kuanza matokea yatasoma 2-0,baada ya mechi ndio mjichagulie ziongezwe goli ngapi
Aiseee, ngoja tuoneKuna kila dalili magoli ya jumla kuwa date kati ya Simba na Wydad Casablanca hivyo kusababisha njia nyingine ya kuamua matokeo katika mchezo huo, ni muhimu sana Simba kujipanga kwa jambo hili.
Katika mchezo huo Simba inatarajiwa kuingia kwa nidhamu kubwa ya ulinzi hivyo kuwa vigumu kwa Wydad kupata magoli mengi. Kampuni mbali mbali za kubeti zinaipa nafasi kubwa Wydad kuibuka ushindi katika mchezo huo ambapo Wydad kushinda, amepewa alama 1.45, kusare 3.90, Simba 8.0.
Utabiri wangu FT, Wydad 1-0 Simba.
... Uko sawa?thubutu jiandae kuoga magoli
Tumetoka lakini tumepambanaAiseee, ngoja tuone
🤭thubutu jiandae kuoga magoli
Wewe ni noma. Hongera kwa utabiri. Kesho PM yako itajaaa. Piga pesa hii ndio fursa yako kutoka usilaze damu wala kuvunga.Tumetoka lakini tumepambana
Ujuaji mwingiNi wavuta bangi tu ndio wanaweza kuamini matokeo ya aina hiyo, Simba hata aruhusiwe kuchezesha magolikipa watatu bado atakula chuma kuanzia 3.
ulisemaPunguza KUPENDA UTABIRI, LAMLI, Unajimu, hizi ni kazi za ibilisi.
Muda ni hakimu mwema, UTATOA MAJIBU WENYEWE.
Muda haudanganyi.
KIZAZi Cha kamali