little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 1,870
- 3,589
Na kilichotokea?Simba ameshatoka so wala hakuna haja ya kutrain kupiga matuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kilichotokea?Simba ameshatoka so wala hakuna haja ya kutrain kupiga matuta
Mganga ktk ubora wakoKuna kila dalili magoli ya jumla kuwa date kati ya Simba na Wydad Casablanca hivyo kusababisha njia nyingine ya kuamua matokeo katika mchezo huo, ni muhimu sana Simba kujipanga kwa jambo hili.
Katika mchezo huo Simba inatarajiwa kuingia kwa nidhamu kubwa ya ulinzi hivyo kuwa vigumu kwa Wydad kupata magoli mengi. Kampuni mbali mbali za kubeti zinaipa nafasi kubwa Wydad kuibuka ushindi katika mchezo huo ambapo Wydad kushinda, amepewa alama 1.45, kusare 3.90, Simba 8.0.
Utabiri wangu FT, Wydad 1-0 Simba.
Haha kawaida yangu mkuu Ila sili pesa ya mtuWewe ni noma. Hongera kwa utabiri. Kesho PM yako itajaaa. Piga pesa hii ndio fursa yako kutoka usilaze damu wala kuvunga.
Hakuna uganga ni ufundi tu wakuchambua mchezoMganga ktk ubora wako
Nataka na mm unitabirieHaha kawaida yangu mkuu Ila sili pesa ya mtu
🤣🤣 Tafuta jogoo jekundu kwanzaMataka na mm unitabirie
Mmmh[emoji1787][emoji1787] Tafuta jogoo jekundu kwanza
😂😂Mmmh
🤭Punguza KUPENDA UTABIRI, LAMLI, Unajimu, hizi ni kazi za ibilisi.
Muda ni hakimu mwema, UTATOA MAJIBU WENYEWE.
Muda haudanganyi.
KIZAZi Cha kamali
we pweza nimekubali!Kuna kila dalili magoli ya jumla kuwa date kati ya Simba na Wydad Casablanca hivyo kusababisha njia nyingine ya kuamua matokeo katika mchezo huo, ni muhimu sana Simba kujipanga kwa jambo hili.
Katika mchezo huo Simba inatarajiwa kuingia kwa nidhamu kubwa ya ulinzi hivyo kuwa vigumu kwa Wydad kupata magoli mengi. Kampuni mbali mbali za kubeti zinaipa nafasi kubwa Wydad kuibuka ushindi katika mchezo huo ambapo Wydad kushinda, amepewa alama 1.45, kusare 3.90, Simba 8.0.
Utabiri wangu FT, Wydad 1-0 Simba.
Naam mkuuwe pweza nimekubali!
Kwahiyo Nusu fainali mnacheza na timu gani?Mpira hauko hvyo shehe wangu.
Imeisha hiyoKwahiyo Nusu fainali mnacheza na timu gani?
uliweka sh ngap betting?😄Naam mkuu
Mvuta Bangi mwingine, Sasa kumbe nusu fainali mnacheza na timu gani?
wewe utaolewa na Manara 😄Mataka na mm unitabirie
😂😂wewe utaolewa na Manara 😄
SureUliwaambia wakakudharau...