Simba fanyeni mazoezi ya mikwaju ya penati

Simba fanyeni mazoezi ya mikwaju ya penati

Kuna kila dalili magoli ya jumla kuwa date kati ya Simba na Wydad Casablanca hivyo kusababisha njia nyingine ya kuamua matokeo katika mchezo huo, ni muhimu sana Simba kujipanga kwa jambo hili.

Katika mchezo huo Simba inatarajiwa kuingia kwa nidhamu kubwa ya ulinzi hivyo kuwa vigumu kwa Wydad kupata magoli mengi. Kampuni mbali mbali za kubeti zinaipa nafasi kubwa Wydad kuibuka ushindi katika mchezo huo ambapo Wydad kushinda, amepewa alama 1.45, kusare 3.90, Simba 8.0.

Utabiri wangu FT, Wydad 1-0 Simba.
Nimekubali utabiri wako we noma aise
 
Kuna kila dalili magoli ya jumla kuwa date kati ya Simba na Wydad Casablanca hivyo kusababisha njia nyingine ya kuamua matokeo katika mchezo huo, ni muhimu sana Simba kujipanga kwa jambo hili.

Katika mchezo huo Simba inatarajiwa kuingia kwa nidhamu kubwa ya ulinzi hivyo kuwa vigumu kwa Wydad kupata magoli mengi. Kampuni mbali mbali za kubeti zinaipa nafasi kubwa Wydad kuibuka ushindi katika mchezo huo ambapo Wydad kushinda, amepewa alama 1.45, kusare 3.90, Simba 8.0.

Utabiri wangu FT, Wydad 1-0 Simba.
Heshima kwako mkuu....mule mule
 
Kuna kila dalili magoli ya jumla kuwa date kati ya Simba na Wydad Casablanca hivyo kusababisha njia nyingine ya kuamua matokeo katika mchezo huo, ni muhimu sana Simba kujipanga kwa jambo hili.

Katika mchezo huo Simba inatarajiwa kuingia kwa nidhamu kubwa ya ulinzi hivyo kuwa vigumu kwa Wydad kupata magoli mengi. Kampuni mbali mbali za kubeti zinaipa nafasi kubwa Wydad kuibuka ushindi katika mchezo huo ambapo Wydad kushinda, amepewa alama 1.45, kusare 3.90, Simba 8.0.

Utabiri wangu FT, Wydad 1-0 Simba.
umebahatisha tu , mechi ya kwanza ulitabiri moja moja , mwarabu akafa

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Wewe mla unga una matokeo gani sasa?
Sasa wewe Dunduka kwani Nusu fainali mnacheza na timu gani labda utukumbushe? Mmefungwa ndani ya dakika 90 kama ilivyotarajiwa, una maoni gani ewe ndugu kolowizard
 
Kipyempe aibu inewajaa
Ila ndugu zetu nyinyi Kuna sehemu hampo sawa, Sisi swala letu ni kutoka tu hayo mengine ilikuwa mikwara tu, Sisi swali letu ni moja, hamjafungwa goli nyingi sawa, je nusu fainali mnacheza na timu gani? Mkitujibu ndio tutajua aibu yetu au yenu?
 
Ila ndugu zetu nyinyi Kuna sehemu hampo sawa, Sisi swala letu ni kutoka tu hayo mengine ilikuwa mikwara tu, Sisi swali letu ni moja, hamjafungwa goli nyingi sawa, je nusu fainali mnacheza na timu gani? Mkitujibu ndio tutajua aibu yetu au yenu?
Kwa hiyo sisi kutofuzu hatua inayofuata nyie mnafaidikaje pengine?
 
Penati inahitaji utulivu wa Hali ya juu , kuondoa woga na ustadi wa kupiga .
Tofauti na hapo matokeo yatakuwa hafifu
 
Back
Top Bottom