Simba fanyeni mazoezi ya mikwaju ya penati

Si tulishakubaliana wanakufa 7-0!!

Sasa penalt zinatoka wapi tena🤷🤷
 
Yaani niumbuke kwa lipi? Hilo jambo haliwezekani katika hali yoyote ile na ikitokea labda Wydad wasije uwanjani ila wakifika tu kbla ya mechi kuanza matokea yatasoma 2-0,baada ya mechi ndio mjichagulie ziongezwe goli ngapi
Mpira hauko hvyo shehe wangu.
 
Aiseee, ngoja tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…