Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ni kaka yake na Joycce Lomalisa.Uyo hapo namba 6 ni mchezaji wa timu ya wanaume au simba queens?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kaka yake na Joycce Lomalisa.Uyo hapo namba 6 ni mchezaji wa timu ya wanaume au simba queens?
Kabisa.Na cha ajabu mtataka kuwasajili na kufanya maandamano.Mo hawezi kutoa pesa ya maana kusajili wachezaji wenye Quality.
Ndo hao mmeletewa wa jero jero
Kwa sehemu kubwa uko sahihi, japokuwa hapo kwenye Power Dynamo hauko sahihi.1. MUKWALA- ametoka Asante Kontoko Imeshika namba 6 ligi ya Ghana.
2. AHOUA Ametoka Stella Adjame Imeshika namba 6 ligi ya Ivory coast
3. AUGUSTINE. Ametoka Rivers united ya Nigeria Imeshika Namba 8
4. JOSHUA MUTALE. Ametoka powe Dynamo ya Zambia nafasi ya 6
5. VALENTINO MASHAKA katika Geita Gold, umeshuka daraja Tanzania
6 . DEBORA FERNANDEZ . Ametoka MUTONDO STAR ⭐ ya Zambia Imeshika namba 13
Mbumbumbu Kwa Sasa mnashangilia hilo rundo la wachezaji wadogo.
League ikianza hatutaki lawama.
Hao wachezaji wenu ni sawa mmesajili kutoka Mashujaa, Dodoma jiji, au Namungo
Sisi Yanga tunamsajili Galactica tu yaani wachezaji wakubwa.
Hatutaki lawama kutoka Kwa mbumbumbu league ikianza
Sahihi.Hata Mkude na Chama wametokea UEFA Euro.Hao ni wachezaji wa shirikisho, hawana Quality ya kucheza CAFCL
Debora vipi ameshafikaTuliza tako dawa iingie vizuri
Asante Kwa masahihishoKwa sehemu kubwa uko sahihi, japokuwa hapo kwenye Power Dynamo hauko sahihi.
Msimu uliokwisha wa 2023/24 msimamo ulikuwa hivi:
Power dynamo 3
Asante kotoko 6
River united 8
Stella Abidjan 5
Power Dynamo 3
Geita gold 15 (imeshuka daraja)
Angalia na ushindani wa ligi zao walipotoka ulinganishe na ligi yetu, mchezaji anaweza kuwa Bora kwenye wabovu uwezi shangaa, na ligi mbovu lazima zipate pia ma MVP wake Kama hao ambao unaambiwa na MVP wa Ivory coast lakini timu yake imeshika namba 6 kwenye msimamo, uyo mwingine unaambiwa kawa MVP wa Nigeria lakini timu yake imeshika namba 8 kwenye msimamo, Sasa unawaleta Tanzania kwenye ligi ngumu na Bora yetu ni macho ngoja tusimalize manenoLakini hawasajili timu nzima, bali wanachukua wachezaji waliofanya vizuri huko walipotoka.
Hull city ilimuuza Andy Robertson kwenda Liverpool mpaka leo Andy Robertson ni moja ya Maleft back bora pale EPL, Na timu ya Taifa na Captain. Mleta mada bado hawezi na haelewi namna timu zinavyosajili.Kama hiyo ndio sababu yako, basi haupo sahihi mkuu.
Kuna wachezaji wanasajiliwa baada ya timu zao kushuka daraja. Kwahiyo usikariri.
Itakuwa ameteleza tu kwenye uandishiHull city ilimuuza Andy Robertson kwenda Liverpool mpaka leo Andy Robertson ni moja ya Maleft back bora pale EPL, Na timu ya Taifa na Captain. Mleta mada bado hawezi na haelewi namna timu zinavyosajili.
😂 😂 😂Itakuwa ameteleza tu kwenye uandishi
Angalia na ligi alotoka.Hull city ilimuuza Andy Robertson kwenda Liverpool mpaka leo Andy Robertson ni moja ya Maleft back bora pale EPL, Na timu ya Taifa na Captain. Mleta mada bado hawezi na haelewi namna timu zinavyosajili.
Jamaa hakupondi, anawapa alarm msijiamini kihivyo. Mtakuja lia msimu ukianza.Ukiaona adui yako anakuponda sana, jua umempiga kwenye mshono. Mo dewji shikilia hapo hapo
Jamaa kawapa onyo. Msijiamini sana, mtajinyonga ligi ikianza.Hull city ilimuuza Andy Robertson kwenda Liverpool mpaka leo Andy Robertson ni moja ya Maleft back bora pale EPL, Na timu ya Taifa na Captain. Mleta mada bado hawezi na haelewi namna timu zinavyosajili.
Hoja yako bado dhaifu na unatoka kwenye kauli uliyoiandika hapo juuAngalia na ligi alotoka.
Kama Simba wangekuwa wanatoa wachezaji wa nafasi ligi za South Africa, Tunisia au Morocco tungesema angalau kidogo.
Yaani utoe mchezaji team namba 16 Zambia umlinganishe Na Robertson au Xhaqir aliyetoka Stock city za EPL
Hivi ushawahi kuona team ya EPL inasajili mchezaji wa Djibouti, Somalia, Tanzania, Moja Kwa Moja.ngara23 kiwango cha mtu ni kiwango tu hakilinganishwi na ubora wa ligi, kama mchezaji anajua anajua tu. Yule Hamad Bacca wa Yanga alikotoka kule Zanzibar timu yake ni ya ngapi Kwenye rank za CAF.