Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Vilio ni sehemu ya mchezo. Hata vyura kuna nyakati mlilia mkiwa na mabakuli.Sawa mbumbumbu Jobe ndo star ⭐ wenu.
NB: ligi ikianza hatutaki vilio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vilio ni sehemu ya mchezo. Hata vyura kuna nyakati mlilia mkiwa na mabakuli.Sawa mbumbumbu Jobe ndo star ⭐ wenu.
NB: ligi ikianza hatutaki vilio
tunakutazama tu unavyoruka ruka.Mbumbumbu hebu chagua bango la goli 10 tuweke wapi
😅😅Sawa mtanitunakutazama tu unavyoruka ruka.View attachment 3035945
Hivi kwanini utopolo mna akili kama za kuku? Mwaka jana mlipokuwa mkitaka kimsajli Tanga Chivaviro haujui kama timu yake imeshuka daraja?1. MUKWALA- ametoka Asante Kontoko Imeshika namba 6 ligi ya Ghana.
2. AHOUA Ametoka Stella Adjame Imeshika namba 6 ligi ya Ivory coast
3. AUGUSTINE. Ametoka Rivers united ya Nigeria Imeshika Namba 8
4. JOSHUA MUTALE. Ametoka powe Dynamo ya Zambia nafasi ya 6
5. VALENTINO MASHAKA katika Geita Gold, umeshuka daraja Tanzania
6 . DEBORA FERNANDEZ . Ametoka MUTONDO STAR ⭐ ya Zambia Imeshika namba 13
Mbumbumbu Kwa Sasa mnashangilia hilo rundo la wachezaji wadogo.
League ikianza hatutaki lawama.
Hao wachezaji wenu ni sawa mmesajili kutoka Mashujaa, Dodoma jiji, au Namungo
Sisi Yanga tunamsajili Galactica tu yaani wachezaji wakubwa.
Hatutaki lawama kutoka Kwa mbumbumbu league ikianza
Mbumbumbu jiongezeHivi kwanini utopolo mna akili kama za kuku? Mwaka jana mlipokuwa mkitaka kimsajli Tanga Chivaviro haujui kama timu yake imeshuka daraja?
Timu ya HOVYO inatapatapa.Bado hujasema, na baado
Ukivaa pensi halafu juu una Rasta wewe utakua kepteni.Na ukiwa na rasta
Kwaiyo wameona sisi tunafaidi tulivyomsajili Joyce lomalisa na wao wameenda kumsajili Debora 😂😂😂1. MUKWALA- ametoka Asante Kontoko Imeshika namba 6 ligi ya Ghana.
2. AHOUA Ametoka Stella Adjame Imeshika namba 6 ligi ya Ivory coast
3. AUGUSTINE. Ametoka Rivers united ya Nigeria Imeshika Namba 8
4. JOSHUA MUTALE. Ametoka powe Dynamo ya Zambia nafasi ya 6
5. VALENTINO MASHAKA katika Geita Gold, umeshuka daraja Tanzania
6 . DEBORA FERNANDEZ . Ametoka MUTONDO STAR ⭐ ya Zambia Imeshika namba 13
Mbumbumbu Kwa Sasa mnashangilia hilo rundo la wachezaji wadogo.
League ikianza hatutaki lawama.
Hao wachezaji wenu ni sawa mmesajili kutoka Mashujaa, Dodoma jiji, au Namungo
Sisi Yanga tunamsajili Galactica tu yaani wachezaji wakubwa.
Hatutaki lawama kutoka Kwa mbumbumbu league ikianza
Nadhani unahitaji elimu ya zoezi la usajili wa wachezaji wa soka, maana kuna kitu huelewi. Simba haisajili hizo timu ila inasajili wachezaji wa hizo timu.1. MUKWALA- ametoka Asante Kontoko Imeshika namba 6 ligi ya Ghana.
2. AHOUA Ametoka Stella Adjame Imeshika namba 6 ligi ya Ivory coast
3. AUGUSTINE. Ametoka Rivers united ya Nigeria Imeshika Namba 8
4. JOSHUA MUTALE. Ametoka powe Dynamo ya Zambia nafasi ya 6
5. VALENTINO MASHAKA katika Geita Gold, umeshuka daraja Tanzania
6 . DEBORA FERNANDEZ . Ametoka MUTONDO STAR ⭐ ya Zambia Imeshika namba 13
Mbumbumbu Kwa Sasa mnashangilia hilo rundo la wachezaji wadogo.
League ikianza hatutaki lawama.
Hao wachezaji wenu ni sawa mmesajili kutoka Mashujaa, Dodoma jiji, au Namungo
Sisi Yanga tunamsajili Galactica tu yaani wachezaji wakubwa.
Hatutaki lawama kutoka Kwa mbumbumbu league ikianza
Hoja gani kaandika huyo? Simba inasajili wachezaji bora kwenye timu walizotoka nyie mnasema inarundika wachezaji? mnajua hata maana ya kurundika kwanza?!Jibu hoja acha vioja.
Mleta mada ana hoja, nami nimemwelewa vyema.
Je, unapinga ukweli wa mleta mada? Ksma una ukweli tofauti na huo leta hapa.
Hizi ngonjera mmekariri miaka mingi, hata hamjui wachezaji wanaosajiliwa Simba awamu hii wanatoka wapi na viwango vyao, mnaimba tu mapambio msiyoyajua.Mo hawezi kutoa pesa ya maana kusajili wachezaji wenye Quality.
Ndo hao mmeletewa wa jero jero