Simba hakuna usajili ni kurundika wachezaji tu.

Simba hakuna usajili ni kurundika wachezaji tu.

Tabia ya Simba fans, currently.......
1.Saizi anapewa sifa MO kwa kusajili hadi wanaita machine
2.Ligi ikianza na matokeo yakiwa mabaya wataanza kumsema Matola anahujumu abaki na timu
3.Zigo la lawama atapewa Ngungo boy,mara ni Yanga,mara tukifungwa, Ngungo anashangilia chooni.

Please,chagueni mapema msimamo wenu πŸ˜€
 
Jibu hoja acha vioja.
Mleta mada ana hoja, nami nimemwelewa vyema.
Je, unapinga ukweli wa mleta mada? Ksma una ukweli tofauti na huo leta hapa.
Kuna watu w an Dini Fulani wakikusanywa pamoja ,Kwa kigezo Cha Dini ..wote Kwa halaiki Yao wanakuwa wajinga! Ndiyo ilivyo Kwa mashabiki wa Utopolo!
Nje ya Utopolo.,wewe ni mtu tofauti Kabisa! Ila ukiwa na wenzako unacheua haya!
 
Ushauri kuhusu Simba unapotolewa na Utopolo ni sawa na kinyesi tu
 
Jibu hoja acha vioja.
Mleta mada ana hoja, nami nimemwelewa vyema.
Je, unapinga ukweli wa mleta mada? Ksma una ukweli tofauti na huo leta hapa.
Hana hoja .

Kwakua timu inaweza isifanye vizuri ila mchezaji mmoja akawa na ubora wa kusajiliwa na timu nyingine yoyote ile.

Imekua ikifanyika hivyo miaka yote.

Hivyo hiyo sio hoja ya kimichezo.
 
1. MUKWALA- ametoka Asante Kontoko Imeshika namba 6 ligi ya Ghana.

2. AHOUA Ametoka Stella Adjame Imeshika namba 6 ligi ya Ivory coast

3. AUGUSTINE. Ametoka Rivers united ya Nigeria Imeshika Namba 8

4. JOSHUA MUTALE. Ametoka powe Dynamo ya Zambia nafasi ya 6

5. VALENTINO MASHAKA katika Geita Gold, umeshuka daraja Tanzania

6 . DEBORA FERNANDEZ . Ametoka MUTONDO STAR ⭐ ya Zambia Imeshika namba 13

Mbumbumbu Kwa Sasa mnashangilia hilo rundo la wachezaji wadogo.
League ikianza hatutaki lawama.

Hao wachezaji wenu ni sawa mmesajili kutoka Mashujaa, Dodoma jiji, au Namungo
Sisi Yanga tunamsajili Galactica tu yaani wachezaji wakubwa.

Hatutaki lawama kutoka Kwa mbumbumbu league ikianza
kwa hali uliyonayo unahitaji maombi na nyimbo za pambio maana si kwa wivu unaouonyesha dhidi ya Simba au kiufupi hujui mpira na ushabiki hujui kiujumla
 
1. MUKWALA- ametoka Asante Kontoko Imeshika namba 6 ligi ya Ghana.

2. AHOUA Ametoka Stella Adjame Imeshika namba 6 ligi ya Ivory coast

3. AUGUSTINE. Ametoka Rivers united ya Nigeria Imeshika Namba 8

4. JOSHUA MUTALE. Ametoka powe Dynamo ya Zambia nafasi ya 6

5. VALENTINO MASHAKA katika Geita Gold, umeshuka daraja Tanzania

6 . DEBORA FERNANDEZ . Ametoka MUTONDO STAR ⭐ ya Zambia Imeshika namba 13

Mbumbumbu Kwa Sasa mnashangilia hilo rundo la wachezaji wadogo.
League ikianza hatutaki lawama.

Hao wachezaji wenu ni sawa mmesajili kutoka Mashujaa, Dodoma jiji, au Namungo
Sisi Yanga tunamsajili Galactica tu yaani wachezaji wakubwa.

Hatutaki lawama kutoka Kwa mbumbumbu league ikianza
Samata alisajiliwa Simba akitoka African Lyon iliyoshuka daraja
 
1. MUKWALA- ametoka Asante Kontoko Imeshika namba 6 ligi ya Ghana.

2. AHOUA Ametoka Stella Adjame Imeshika namba 6 ligi ya Ivory coast

3. AUGUSTINE. Ametoka Rivers united ya Nigeria Imeshika Namba 8

4. JOSHUA MUTALE. Ametoka powe Dynamo ya Zambia nafasi ya 6

5. VALENTINO MASHAKA katika Geita Gold, umeshuka daraja Tanzania

6 . DEBORA FERNANDEZ . Ametoka MUTONDO STAR ⭐ ya Zambia Imeshika namba 13

Mbumbumbu Kwa Sasa mnashangilia hilo rundo la wachezaji wadogo.
League ikianza hatutaki lawama.

Hao wachezaji wenu ni sawa mmesajili kutoka Mashujaa, Dodoma jiji, au Namungo
Sisi Yanga tunamsajili Galactica tu yaani wachezaji wakubwa.

Hatutaki lawama kutoka Kwa mbumbumbu league ikianza
Walilisema sana jina la Lomalisa..!! Haya, KAJA DEBORA..!! Hivi Debora anacheza namba ngapi?
 
Aagh wapii..!!! Eti Debora anacheza namba ngapi?
Baleke na Jobe wamesaini Yanga, hata kama hupendi ndo hivyo tena viongozi wako wameamua, ukihoji watakuita mla mihogo 😁😁😁
Debora anazungusha pale katikati

1720418106015.png
 
Mkuu unachosema ni sawa kabisa.
Mimi ni Simba ila naona usajili huu wa kurundika madogo kikosini hautatufikisha popote labda baada ya miaka 3 hivi.
Timu ili iwe na ushindani hasa katika michuano ya CAF vipaji tu havitoshi. Lazima uwe na wachezaji wazoefu, matured ambao wanaweza kuamua mechi ngumu kwa maarifa na uzoefu waliokuwa nao, Mfano ni Chama, Saido, Ngoma, Aziz Ki, n.k.
Simba imejaza vijana ambao waishia kukimbia kimbia uwanjani na kufanya manjonjo yasiyo na maana na kucheza na majukwaa.
Angalia Azam, tangia miaka 3 iliyopita imekuwa ikisajili vijana wenye vipaji akina Silla, Msindo, Sopu, Kipre Jr, Mwaikenda, n.k. lakini hawajaweza kuwafikisha popote hadi msimu ulioisha ndio angalau wameshika nafasi ya 2 FA na NBC league!! Hii ni baada ya kuanza kukomaa.
Mfano mwingine angalia Yanga, miaka 4 iliyopita ilivyoamua kurudi upya haikurundika vijana wadogo ila ilisajiri wazoefu watu wa kazi akina Shaban Juma, Bangala, Aucho, Moloko, Mayele, n.k na ndio wakaivusha Yanga hadi leo hii.

Conclusion: Simba inafanya makosa kusajiri vijana tu. Wanapaswa kuwa na wazoefu wazuri walau 6 au 7 hivi ili kuongoza hao madogo. Ndio maana ilikuwa muhimu sana kumbakisha Chama asaidie kutuliza timu uwanjani na kuongeza maarifa na uzoefu tutakapocheza na timu kubwa Afrika.
Pamoja na kwamba una point ila Simba inao hao wachezaji wazoefu wa kuituliza timu:
Ayoub
Zimbwe (captain ingawa siyo muongeaji)
Kapombe
Che Malone
Ngoma
Kibu
Kanoute (ila siyo muongeaji)

Hata wanaokuja hawajatokea vijiwe vya bodaboda, tayari ni mapro hao.
 
Back
Top Bottom