Simba hatarini kupokonywa kombe; TFF kufungiwa na FIFA kwa sababu ya Yanga

Maana ya mechi kuchezwa hii, kuwepo na timu moja ya ushindani, kamisaa na refedii wa mchezo. Ikitokea timu moja ikaingia mitini, taratibu zote za kimpira zitafuatwa na refa atanzisha na kumaliza mpira na kumpa ushindi timu iliyopo. Hivyo hii mechi nayo itakuwa imechezwa na iko kikanuni kabisa. Kwa utaratibu huu hakuna mechi ambayo itapita bila kuchezwa kwa kigezo cha timu moja kutokuja uwanjani.
 
Hadithi za kahawani.
 
Bodi ya Ligi walitangaza Mechi imefutwa na Itapangiwa tarehe Nyingine..

Nani angepewa hizo point za mchezo Uliosemekana Umefutwa..??
Kwenye katiba ya TFF kuna kipengele cha kufutwa mechi au ni umbumbu tu umetumika kufuta ile mechi? Mpira wa Tanzania bado unaendeshwa kijima sana.
 
1.Simba atapigwa na Yanga tarehe 3/7 bila wasiwasi kwa makubaliano ya kikao.
2. Au tff watoe point 3 na goli kwa Yanga simba iendelee kutafuta ubingwa wake Kwengine.
Nb: Tunzeni comment hii [emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
 
Huwa nawaambia Yanga ni kubwa kuliko taasisi yoyote ya Michezo hapa nchini watu hawataki! na niliwahi sema ili kudhihirisha hilo Mwakalebela ataachiwa muda si mrefu

Sent using Jamii Forums mobile app

Asingelialia kuomba Samahani akatizama angefutiwa adhabu.

Hata Ndolanga na Rage walilialia wakatolewa Jela, Je na wao ni Wakubwa kuliko Taasisi za Michezo?
 
Kuna uwezekano mkubwa waYanga kujifungisha kwa biashara leo kli kuondoa kabisa uwezekano wa kujikuta katika meno ya Simba!! Hiyo tarehe tatu piga ua yanga hataingiza timu uwanjani!! Wenyewe wanasema heri lawama kuliko fedheha ya kupigwa mkono au wiki!!
 
Kwenye katiba ya TFF kuna kipengele cha kufutwa mechi au ni umbumbu tu umetumika ile mechi? Mpira wa Tanzania bado unaendeshwa kijima sana.
Hapo ndio sijui.. mi najua TFF walibugi kusogeza Mechi kinyume na Sheria
 
Kwenye katiba ya TFF kuna kipengele cha kufutwa mechi au ni umbumbu tu umetumika ile mechi? Mpira wa Tanzania bado unaendeshwa kijima sana.
Mechi ilisogezwa mbele mkakataa, basi ikafutwa kabisa Bado mnakataa mnataka mpewe points za mechi ambayo hata Refa hakuwepo.

Hivi mkiambiwa hata kulikua na tishio la kiusalama mpaka ikasogezezwa mbele mtasemaje? Timu ya Wananchi lakini mmeamua kuwaumiza Wananchi waliolipa kuingilio.
 
Yanga utaenda mahakama I kwa Lili wakati wanajua FIFA hairusu kwenda mahakamani.kanuni zipo wazi itafungiwa
 
Katika historia yangu ya kufuatilia mpira wa Tanzania sijawahi kuona Rais wa TFF ng'ombe na mbumbumbu kama Karia. Nashangaa kwanini amechukua fomu kugombea tena wakati uongozi wake umeharibu sana mpira wa nchi hii. Ikiwa suala dogo tu la kurudisha viingilio vya mashabiki linamshinda, uongozi gani anataka tena? Mpuuzi kabisa.
 
Lazima simba wasage meno, subiri mtaona..πŸ˜‡πŸ€£πŸ˜‚πŸ™‚
 
Uongozi wa Yanga wameishakataa kata kata ( kupitia kwa msemaji wao) kupeleka timu kiwanjani. Wewe unaishi duniani gani mkuu?
Mtu anaokoa roho yake,nyinyi mnamlazimisha akutane uso kwa uso na Simba,si wauwaji nyinyi!!! Ebooo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…