Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilijua utaelezea technical and tactical kwa nn simba atapoteza huo mchezo kumbe ni ushabiki tu labda tu nikuambie simba hta iwe mbovu vipi haiwezi kufungwa na asec hta kule ulaya Chelsea alichukua UEFA champions league akiwa na migogoro baada ya kumfukuza kocha mkuu ila walimaliza out of top 4 kwenye msimamo hata Madrid mbovu ilichukua UEFA champions league.Tusichoshane Wana lunyasi wenzangu hio gemu hatutoboi, mbaya zaidi
walituahidi kuelekea hii gemu kocha mkuu mpya atakuwepo kwenye technical bench yetu.
Mpaka sasa matola na cadena bado wapo na tetesi ni kwamba Mgunda amesaini tayari mkataba wa kuitumikia TANZANIA PRISONS
Nawauliza viongozi wa club, hizi danadana mtatupiga hadi lini?
Umelowa kinyama...🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtanii tukutane mwakani, huu mwaka ushakua mbaya tayari.
Mfyuuuh!! Komwe hilo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umelowa kinyama...[emoji1787]
Napita hivi[emoji1787]
Ipate matokeo isipate inakuongezea au inakupunguzia mboga ya ugali wako wa kila siku?Tusichoshane Wana lunyasi wenzangu hio gemu hatutoboi, mbaya zaidi
walituahidi kuelekea hii gemu kocha mkuu mpya atakuwepo kwenye technical bench yetu.
Mpaka sasa matola na cadena bado wapo na tetesi ni kwamba Mgunda amesaini tayari mkataba wa kuitumikia TANZANIA PRISONS
Nawauliza viongozi wa club, hizi danadana mtatupiga hadi lini?
Sasa mbona na wewe pamoja na kumkosoa lakini umeshindwa kuelezea kimbinu na kiufundi kwanini Simba hawezi fungwa na Asec. Wewe na yeye hamna tofautiNilijua utaelezea technical and tactical kwa nn simba atapoteza huo mchezo kumbe ni ushabiki tu labda tu nikuambie simba hta iwe mbovu vipi haiwezi kufungwa na asec hta kule ulaya Chelsea alichukua UEFA champions league akiwa na migogoro baada ya kumfukuza kocha mkuu ila walimaliza out of top 4 kwenye msimamo hata Madrid mbovu ilichukua UEFA champions league.
Wewe ni miongoni mwa wajinga wengi nchi hii, mkiongozwa na wachambuzi wengi wa mpira wa miguu.Tusichoshane Wana lunyasi wenzangu hio gemu hatutoboi, mbaya zaidi
walituahidi kuelekea hii gemu kocha mkuu mpya atakuwepo kwenye technical bench yetu.
Mpaka sasa matola na cadena bado wapo na tetesi ni kwamba Mgunda amesaini tayari mkataba wa kuitumikia TANZANIA PRISONS
Nawauliza viongozi wa club, hizi danadana mtatupiga hadi lini?
Huyo jamaa muongo tu Mgunda yupo na Simba kila siku mazoezini Humu watu wanapenda kuandika uongo mwingi Sana kuliko uhalisia.Kwani kocha Mgunda na yeye hayupo simba? Hii timu takataka kabisa yani hadi Mgunda mmemuonea wivu kama mlivyoona wivu Manara anakubalika pimbi nyie
Wawekee picha au video akiwa huko mkuuHuyo jamaa muongo tu Mgunda yupo na Simba kila siku mazoezini Humu watu wanapenda kuandika uongo mwingi Sana kuliko uhalisia.
Simba na Yanga timu Zina aleji na makocha wazawa , wanaamini makocha wazungu tu ndio wanaweza fanikisha timu kupata matokeo mazuri ........ empty set kbs.Kwani kocha Mgunda na yeye hayupo simba? Hii timu takataka kabisa yani hadi Mgunda mmemuonea wivu kama mlivyoona wivu Manara anakubalika pimbi nyie
Sina picha Ila kwa macho yangu nimemuona Mgunda na Mgosi wakipanga koni Kule bunju timu ya wanawake wakifanya mazoezi sijui uongo huwa unasaidia nini mtu akiongopa hasa huu uongo ambao haupati faida yoyote IleWawekee picha au video akiwa huko mkuu
Kwa akili ya kawaida Simba unailinganisha na Chelsea na Madrid? kweli kazi ipoNilijua utaelezea technical and tactical kwa nn simba atapoteza huo mchezo kumbe ni ushabiki tu labda tu nikuambie simba hta iwe mbovu vipi haiwezi kufungwa na asec hta kule ulaya Chelsea alichukua UEFA champions league akiwa na migogoro baada ya kumfukuza kocha mkuu ila walimaliza out of top 4 kwenye msimamo hata Madrid mbovu ilichukua UEFA champions league.
Mgunda sasa hivi ni coach timu ya Simba QueensSina picha Ila kwa macho yangu nimemuona Mgunda na Mgosi wakipanga koni Kule bunju timu ya wanawake wakifanya mazoezi sijui uongo huwa unasaidia nini mtu akiongopa hasa huu uongo ambao haupati faida yoyote Ile
Unakurupuka the main point ni simba na asec hizo nyingine ni point of reference kwani marumo gallant iko wapi sasa hivi na mwaka jana alichecheza caf confederation cup na kufika mbali mpaka siku ujue kutofautisha kati ya title race competition and trophy and how they have different plans in title race you need performance in trophy and competition you need objective and technical strategy sio lazima unielewe maana unaleta ushabiki maandazi.Kwa akili ya kawaida Simba unailinganisha na Chelsea na Madrid? kweli kazi ipo
ahsante mkuu wa wajinga, tusilaumiane after mechiWewe ni miongoni mwa wajinga wengi nchi hii, mkiongozwa na wachambuzi wengi wa mpira wa miguu.
Kwa akili zenu ni 'wajinga' hamuelewa hata kufungwa ni miongoni mwa matokeo ya mpira wa miguu?