Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
😂😂😂Napita hivi[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Napita hivi[emoji1787]
time will tell chief, mgunda soon anatua prisonsHuyo jamaa muongo tu Mgunda yupo na Simba kila siku mazoezini Humu watu wanapenda kuandika uongo mwingi Sana kuliko uhalisia.
ukosahihi chiefMsimu huu tuachane nao. Simba wana misimu miwili mbele ya kujipanga kuanzia uongozi ,benchi la ufundi na wachezaji wakati huo Yanga wanapokea mateso na manyanyaso yanayowakumba Simba kwa sasa.
Yanga akiinuka Simba anachechemea, akiinuka Simba Yanga anadidimia.
Hali hii itaendekea hadi siku mpira wa Simba na Yanga utakapoondoshwa na kukaa mbali na siasa na wanasiasa
Nimemtolea mfano kwanza kwasababu akitaka technical nitaelezea ila kwasababu yeye ameleta siasa na mimi nimeelezea kisiasi kwasababu yeye ndio muanzilishi wa thread hvyo nimempa ushauri tu basi.Sasa mbona na wewe pamoja na kumkosoa lakini umeshindwa kuelezea kimbinu na kiufundi kwanini Simba hawezi fungwa na Asec. Wewe na yeye hamna tofauti
umemuona lini mgunda ?Sina picha Ila kwa macho yangu nimemuona Mgunda na Mgosi wakipanga koni Kule bunju timu ya wanawake wakifanya mazoezi sijui uongo huwa unasaidia nini mtu akiongopa hasa huu uongo ambao haupati faida yoyote Ile