Simba hawezi pata matokeo mbele ya Asec Mimosa wiki hii

ukosahihi chief
 
Sasa mbona na wewe pamoja na kumkosoa lakini umeshindwa kuelezea kimbinu na kiufundi kwanini Simba hawezi fungwa na Asec. Wewe na yeye hamna tofauti
Nimemtolea mfano kwanza kwasababu akitaka technical nitaelezea ila kwasababu yeye ameleta siasa na mimi nimeelezea kisiasi kwasababu yeye ndio muanzilishi wa thread hvyo nimempa ushauri tu basi.
 
Sina picha Ila kwa macho yangu nimemuona Mgunda na Mgosi wakipanga koni Kule bunju timu ya wanawake wakifanya mazoezi sijui uongo huwa unasaidia nini mtu akiongopa hasa huu uongo ambao haupati faida yoyote Ile
umemuona lini mgunda ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…