Simba heshimu mamlaka, mkuu wa mkoa ni Rais wa eneo lote la Mkoa wake

Simba heshimu mamlaka, mkuu wa mkoa ni Rais wa eneo lote la Mkoa wake

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Viongozi wa Simba mmeonesha ni jinsi Gani mlivyo watu wa matukio na madeko
Hamjui kuwa mkuu wa mkoa ndo Rais wa mkoa katika mkoa wake
Utamzuiaje mkuu wa mkoa kuingia uwanjani ulio ndani ya mkoa wake kama sio dharau Kwa mamlaka

Mmekaribishwa vizuri Mwanza, Sasa mnazua taharuki na kujifanya mko juu ya mamlaka ya sehemu husika

Kuna viongozi wa Simba walihukumiwa kifungo cha maisha Kwa kujihisisha na madawa ya kulevya,
Sasa mkuu wa Mkoa kama alipata taarifa za kuwepo uharifu huu, mlitaka police wasifike kukagua

Kwani mazoezi Yana Siri Gani, hadi uzuie mamlaka zisifike, mazoezi ya mpira ni faragha kama ngono, si mfanyie hayo mazoezi chumbani.

Mkuu wa mkoa msimdharau kisa eti ni Simba, yeye Yuko huru kuja hadi hapo hotelini au popote mlipo kufanya ukaguzi na kujihakikishia amani katika mkoa wake ipo ya kutosha

Yaani mpeleke nganda, ushirikina na fujo Mwanza halafu msiguswe, hiyo haiwezekani

Mheshimiwa Mtandana piga kazi
 
Alizuiliwa ama hakuingia kwa maelezo yake?
 

Attachments

  • 5885296-e41be8555c1a80c924a4c9983bebab16.mp4
    4.9 MB
Viongozi wa Simba mmeonesha ni jinsi Gani mlivyo watu wa matukio na madeko
Hamjui kuwa mkuu wa mkoa ndo Rais wa mkoa katika mkoa wake
Utamzuiaje mkuu wa mkoa kuingia uwanjani ulio ndani ya mkoa wake kama sio dharau Kwa mamlaka

Mmekaribishwa vizuri Mwanza, Sasa mnazua taharuki na kujifanya mkoa juu ya mamlaka ya sehemu husika

Kuna viongozi wa Simba walihukumiwa kifungo cha maisha Kwa kujihisisha na madawa ya kulevya,
Sasa mkuu wa Mkoa kama alipata taarifa za kuwepo uharifu huu, mlitaka police wasifike kukagua

Kwani mazoezi Yana Siri Gani, hadi uzuie mamlaka zisifike, mazoezi ya mpira ni faragha kama ngono, si mfanyie hayo mazoezi chumbani.

Mkuu wa mkoa msimdharau kisa eti ni Simba, yeye Yuko huru kuja hadi hapo hotelini au popote malipo kufanya ukaguzi na kujihakikishia amani katika mkoa wake ipo ya kutosha

Yaani mpeleke nganda, ushirikina na fujo Mwanza halafu msiguswe, hiyo haiwezekani

Mheshimiwa Mtandana piga kazi
Mkuu mpira NI taasisi inayojitegemea nyie ndo mnaotuharibia Mpira mnaingiza siasa kwenye mpira serikali iache kuingiza siasa kwenye mpira
 
Mkuu mpira NI taasisi inayojitegemea nyie ndo mnaotuharibia Moira mnainguza siasa kwenye mpira serikali iache kuingiza siasa kwenye mpira
Hakuna siasa
Kwani mkuu wa mkoa kufika uwanjani jukwaani ameharibu Nini?
Mazoezi mbona Huwa tunaenda hata Bunju kuitazama tu Bure
Iweje ya Mwanza ndo iwe tukio la ajabu
Simba waache fujo
 
Hakuna siasa
Kwani mkuu wa mkoa kufika uwanjani jukwaani ameharibu Nini?
Mazoezi mbona Huwa tunaenda hata Bunju kuitazama tu Bure
Iweje ya Mwanza ndo iwe tukio la ajabu
Simba waache fujo
Acha kuandika story za vijiweni
 
Hakuna siasa
Kwani mkuu wa mkoa kufika uwanjani jukwaani ameharibu Nini?
Mazoezi mbona Huwa tunaenda hata Bunju kuitazama tu Bure
Iweje ya Mwanza ndo iwe tukio la ajabu
Simba waache fujo
Mkuu we unaoenda bunju kutazama Kama shabiki

Mkuu wa mkoa kaja Kama kiongozi Mambo hayo yanataka mualiko Kama angekuja Kama shabiki ilikuwa Haina haja ya kuonana na kamati ya simba
 
Mkuu we unaoenda bunju kutazama Kama shabiki

Mkuu wa mkoa kaja Kama kiongozi Mambo hayo yanataka mualiko Kama angekuja Kama shabiki ilikuwa Haina haja ya kuonana na kamati ya simba
Wewe utamzuiaje baba kuingia Moja ya chumba kwenye nyumba yake
 
Huyo mkuu wa mkoa alijikoroga tu, eti anasingizia kuwa mwenyekiti wa usalama mkoani kwake baada ya kujishitukia kajichanganya. Mwanza hatoshi apelekwe katavi, njombe au simiyu ambako hakuna timu za ligi kuu
 
Huyo mkuu wa mkoa alijikoroga tu, eti anasingizia kuwa mwenyekiti wa usalama mkoani kwake baada ya kujishitukia kajichanganya. Mwanza hatoshi apelekwe katavi, njombe au simiyu ambako hakuna timu za ligi kuu
 
Back
Top Bottom