Simba heshimu mamlaka, mkuu wa mkoa ni Rais wa eneo lote la Mkoa wake

Simba heshimu mamlaka, mkuu wa mkoa ni Rais wa eneo lote la Mkoa wake

Viongozi wa Simba mmeonesha ni jinsi Gani mlivyo watu wa matukio na madeko
Hamjui kuwa mkuu wa mkoa ndo Rais wa mkoa katika mkoa wake
Utamzuiaje mkuu wa mkoa kuingia uwanjani ulio ndani ya mkoa wake kama sio dharau Kwa mamlaka

Mmekaribishwa vizuri Mwanza, Sasa mnazua taharuki na kujifanya mkoa juu ya mamlaka ya sehemu husika

Kuna viongozi wa Simba walihukumiwa kifungo cha maisha Kwa kujihisisha na madawa ya kulevya,
Sasa mkuu wa Mkoa kama alipata taarifa za kuwepo uharifu huu, mlitaka police wasifike kukagua

Kwani mazoezi Yana Siri Gani, hadi uzuie mamlaka zisifike, mazoezi ya mpira ni faragha kama ngono, si mfanyie hayo mazoezi chumbani.

Mkuu wa mkoa msimdharau kisa eti ni Simba, yeye Yuko huru kuja hadi hapo hotelini au popote malipo kufanya ukaguzi na kujihakikishia amani katika mkoa wake ipo ya kutosha

Yaani mpeleke nganda, ushirikina na fujo Mwanza halafu msiguswe, hiyo haiwezekani

Mheshimiwa Mtandana piga kazi
Kuwa mkuu wa mkoa hakumaanishi ndio utumie mamlaka vibaya, akikosea atasemwa tu
 
Kwa sababu Kuna watu wanaohusika na Mambo ya michezo


Mkuu usikaze fuzu kwenye ujinga Kama huna mada acha na mie nikae nihudumie jamii
Mkuu wa mkoa anahusika na vyote
Lilikuwa baya Gani kufika uwanja na kutimiza majukumu yake
Sasa mkuu wa mkoa kaka ukamzuia Kwa mabavu yaani ulitegemea arudi kisa anamwoga Matola wakati amepewa mamlaka na jeshi laZima atumie nguvu
 
Hakuna anayebisha
Simba wanamfukuzaje mkuu wa mkoa aliyefika uwanjani Kirumba
Sasa mkuu wa mkoa atakuwa na meno Gani kama anafika mahala anafukizwa eti kwakuwa Kuna watu Fulani
Pale alikuja mlezi wa pamba na si mkuu wa mkoa
 
Viongozi wa Simba mmeonesha ni jinsi Gani mlivyo watu wa matukio na madeko
Hamjui kuwa mkuu wa mkoa ndo Rais wa mkoa katika mkoa wake
Utamzuiaje mkuu wa mkoa kuingia uwanjani ulio ndani ya mkoa wake kama sio dharau Kwa mamlaka

Mmekaribishwa vizuri Mwanza, Sasa mnazua taharuki na kujifanya mko juu ya mamlaka ya sehemu husika

Kuna viongozi wa Simba walihukumiwa kifungo cha maisha Kwa kujihisisha na madawa ya kulevya,
Sasa mkuu wa Mkoa kama alipata taarifa za kuwepo uharifu huu, mlitaka police wasifike kukagua

Kwani mazoezi Yana Siri Gani, hadi uzuie mamlaka zisifike, mazoezi ya mpira ni faragha kama ngono, si mfanyie hayo mazoezi chumbani.

Mkuu wa mkoa msimdharau kisa eti ni Simba, yeye Yuko huru kuja hadi hapo hotelini au popote mlipo kufanya ukaguzi na kujihakikishia amani katika mkoa wake ipo ya kutosha

Yaani mpeleke nganda, ushirikina na fujo Mwanza halafu msiguswe, hiyo haiwezekani

Mheshimiwa Mtandana piga kazi
Kwani JD ya mkuu wa mkoa inasema timu au kikundi cha michezo kikiingia mkoani kwake ni lazima akitembelee au akutane nacho? Acheni kuingiza siasa kwenye mpira nyie vyura wa matopeni
 
Back
Top Bottom