INJECTION TECHNICIAN
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 356
- 794
Nikijua naongea na mtu kumbe naongea na kibalehe kinachoendeshwa na mihemko ya mabadiliko ya mwiliWewe utamzuiaje baba kuingia Moja ya chumba kwenye nyumba yyanilijua naongea
Mwanza hatokiHuyo mkuu wa mkoa alijikoroga tu, eti anasingizia kuwa mwenyekiti wa usalama mkoani kwake baada ya kujishitukia kajichanganya. Mwanza hatoshi apelekwe katavi, njombe au simiyu ambako hakuna timu za ligi kuu
Yanga mwenzangu usifuge huu uchafu kwa kisingizio cha Uyanga wa huyu Mkuu wa Mkoa. Kuna mwingine wa Mikia anaweza kuja fanya hivi tukalalamika. Tusisahau haya kwa sababu wamefanyiwa Simba.Viongozi wa Simba mmeonesha ni jinsi Gani mlivyo watu wa matukio na madeko
Hamjui kuwa mkuu wa mkoa ndo Rais wa mkoa katika mkoa wake
Utamzuiaje mkuu wa mkoa kuingia uwanjani ulio ndani ya mkoa wake kama sio dharau Kwa mamlaka
Mmekaribishwa vizuri Mwanza, Sasa mnazua taharuki na kujifanya mkoa juu ya mamlaka ya sehemu husika
Kuna viongozi wa Simba walihukumiwa kifungo cha maisha Kwa kujihisisha na madawa ya kulevya,
Sasa mkuu wa Mkoa kama alipata taarifa za kuwepo uharifu huu, mlitaka police wasifike kukagua
Kwani mazoezi Yana Siri Gani, hadi uzuie mamlaka zisifike, mazoezi ya mpira ni faragha kama ngono, si mfanyie hayo mazoezi chumbani.
Mkuu wa mkoa msimdharau kisa eti ni Simba, yeye Yuko huru kuja hadi hapo hotelini au popote malipo kufanya ukaguzi na kujihakikishia amani katika mkoa wake ipo ya kutosha
Yaani mpeleke nganda, ushirikina na fujo Mwanza halafu msiguswe, hiyo haiwezekani
Mheshimiwa Mtandana piga kazi
Hivi wewe unajielewa kweliNikijua naongea na mtu kumbe naongea na kibalehe kinachoendeshwa na mihemko ya mabadiliko ya mwili
Unajua maana ya taasisi binafsi yaani serikali Haina mkono katika mpira na Wala haitakiwi kutia mkono wake
Na ndio maana hata hyo taifa stars so unasikia Ina kesi ya kuingiza mchezaji kavaa jezi tofauti mashtaka yanapelekwa caf na sio kwa huyo mkuu wako wa mkoa
Mpira una Sheria zake na hta ruzuku ya kuiendesha tff inatoka caf usiongee Kama upo chooni unatoa haja kubwa
Unataka kusema pale amekuja kuchunguza ufisadiHivi wewe unajielewa kweli
Akina Malinzi si wamejaa jela miaka Kwa makosa ya kufisadi pesa ya FIFA
Yaani uvunje sheria eti taasisi huru na hutaki serikali ikuguse
Hakuna anayebishaYanga mwenzangu usifuge huu uchafu kwa kisingizio cha Uyanga wa huyu Mkuu wa Mkoa. Kuna mwingine wa Mikia anaweza kuja fanya hivi tukalalamika. Tusisahau haya kwa sababu wamefanyiwa Simba.
Tuache kulea huu upumbavu. Mpira uchezwe uwanjani siyo hizi figisu za kipumbavu na sisi tunashabikia. Kwenye group moja la Yanga wamenitoa kwa sababu ya misimamo yangu. Ushabiki usikuondoe akili.Tunashabikia upumbavu wa huyu jamaa sababu ni Yanga mwenzetu. Mpira siyo vita. Tutumieni akili na busara
Nakupa tu hii tahadhari kuna sehemu mkuu wa mkoa mwingine kichaa anaweza akaamua kutunyanyasa yanga tukakosa kujitetea. Haya mambo kama wana michezo tusipokemea yatatuangusha sana. Kama kila jambo tutaweka ushabiki tutaonekana hatujielewi kabisa.Hakuna anayebisha
Simba wanamfukuzaje mkuu wa mkoa aliyefika uwanjani Kirumba
Sasa mkuu wa mkoa atakuwa na meno Gani kama anafika mahala anafukizwa eti kwakuwa Kuna watu Fulani
Amekosea kitu GaniNakupa tu hii tahadhari kuna sehemu mkuu wa mkoa mwingine kichaa anaweza akaamua kutunyanyasa yanga tukakosa kujitetea. Haya mambo kama wana michezo tusipokemea yatatuangusha sana. Kama kila jambo tutaweka ushabiki tutaonekana hatujielewi kabisa.
Mkuu wa Mkoa amekosea sana na ameonesha hana ustahimilivu na hafahamu michezo. Ila ameonesha ni kilaza na kujichoresha sana.
Kulikuwa Kuna haja gani ya mkuu wa mkoa kwenda uwanjani na wakati ana wawakilishi wakeUhalifu unatokea popote sio kwamba Simba wakuwepo Uhalifu hautokei
Na uhalifu si ufisadi tu
Sasa kama mazoezi utamzuiaje mkuu wa mkoa kuingia uwanjani, wanaficha Siri Gani
Inaonekana hujui soka.Viongozi wa Simba mmeonesha ni jinsi Gani mlivyo watu wa matukio na madeko
Hamjui kuwa mkuu wa mkoa ndo Rais wa mkoa katika mkoa wake
Utamzuiaje mkuu wa mkoa kuingia uwanjani ulio ndani ya mkoa wake kama sio dharau Kwa mamlaka
Mmekaribishwa vizuri Mwanza, Sasa mnazua taharuki na kujifanya mkoa juu ya mamlaka ya sehemu husika
Kuna viongozi wa Simba walihukumiwa kifungo cha maisha Kwa kujihisisha na madawa ya kulevya,
Sasa mkuu wa Mkoa kama alipata taarifa za kuwepo uharifu huu, mlitaka police wasifike kukagua
Kwani mazoezi Yana Siri Gani, hadi uzuie mamlaka zisifike, mazoezi ya mpira ni faragha kama ngono, si mfanyie hayo mazoezi chumbani.
Mkuu wa mkoa msimdharau kisa eti ni Simba, yeye Yuko huru kuja hadi hapo hotelini au popote malipo kufanya ukaguzi na kujihakikishia amani katika mkoa wake ipo ya kutosha
Yaani mpeleke nganda, ushirikina na fujo Mwanza halafu msiguswe, hiyo haiwezekani
Mheshimiwa Mtandana piga kazi
We una ratiba ya Mkuu wa mkoa?Inaonekana hujui soka.
Mazoez ya mpira hasa (technical sessions) huwa ni Siri hata ulaya watu wa media na wengineo ambao hawahusiki na timu huwa wanaamriwa watoke nje ya uwanja.
Mkuu wa mkoa ni Rais wa mkoa husika hatukatai haya nambie huyo Mtanda alifata nini uwanjani? Kulikuwa na haja au ulazima gani yeye kwenda uwanjani hasa siku ya jana kwanini asingeenda juzi au kesho baada ya mechi ya leo?
Kwa sababu Kuna watu wanaohusika na Mambo ya michezoKwanini unataka asiende uwanjani?
Waende wawakilishi na yeye yupo tu
Haya alifata nn tuambie Bwn Baltazar EngongaWe una ratiba ya Mkuu wa mkoa?
Kwanini utake asiende hiyo Jana na aende siku unazotaka wewe?
Mkuu wa Mkoa hawezi kuzuiwa na mtu yeyote wewe Mzee..Mkuu wa mkoa alipata taarifa za kuwepo uharifu
Akafika Simba wanazuia asiingie uwanjani