DeMostAdmired
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 1,579
- 3,798
Anataka watu wajae kwenye thread yake Hana la maana lingineKwa sababu Kuna watu wanaohusika na Mambo ya michezo
Mkuu usikaze fuzu kwenye ujinga Kama huna mada acha na mie nikae nihudumie jamii
Kuwa mkuu wa mkoa hakumaanishi ndio utumie mamlaka vibaya, akikosea atasemwa tuViongozi wa Simba mmeonesha ni jinsi Gani mlivyo watu wa matukio na madeko
Hamjui kuwa mkuu wa mkoa ndo Rais wa mkoa katika mkoa wake
Utamzuiaje mkuu wa mkoa kuingia uwanjani ulio ndani ya mkoa wake kama sio dharau Kwa mamlaka
Mmekaribishwa vizuri Mwanza, Sasa mnazua taharuki na kujifanya mkoa juu ya mamlaka ya sehemu husika
Kuna viongozi wa Simba walihukumiwa kifungo cha maisha Kwa kujihisisha na madawa ya kulevya,
Sasa mkuu wa Mkoa kama alipata taarifa za kuwepo uharifu huu, mlitaka police wasifike kukagua
Kwani mazoezi Yana Siri Gani, hadi uzuie mamlaka zisifike, mazoezi ya mpira ni faragha kama ngono, si mfanyie hayo mazoezi chumbani.
Mkuu wa mkoa msimdharau kisa eti ni Simba, yeye Yuko huru kuja hadi hapo hotelini au popote malipo kufanya ukaguzi na kujihakikishia amani katika mkoa wake ipo ya kutosha
Yaani mpeleke nganda, ushirikina na fujo Mwanza halafu msiguswe, hiyo haiwezekani
Mheshimiwa Mtandana piga kazi
Simba wafanye uhalifu? 😂😂😂 Uhalifu gani huoMkuu wa mkoa alipata taarifa za kuwepo uharifu
Akafika Simba wanazuia asiingie uwanjani
Ofcourse anaweza, wakimzidi cheo na aliemteauaMkuu wa Mkoa hawezi kuzuiwa na mtu yeyote wewe Mzee..
Mkuu wa mkoa anahusika na vyoteKwa sababu Kuna watu wanaohusika na Mambo ya michezo
Mkuu usikaze fuzu kwenye ujinga Kama huna mada acha na mie nikae nihudumie jamii
Pale alikuja mlezi wa pamba na si mkuu wa mkoaHakuna anayebisha
Simba wanamfukuzaje mkuu wa mkoa aliyefika uwanjani Kirumba
Sasa mkuu wa mkoa atakuwa na meno Gani kama anafika mahala anafukizwa eti kwakuwa Kuna watu Fulani
Huo ndo ukweli nyuma ya paziaUmeamua kumvua cheo cha ukuu mkoa
Sawa nakuelewa ila je wakienda kagera sugar mwanza huwa anatembelea uwanjani na kufanya majukumu yake kama vile?Ni mkuu wa mkoa kwanza
Kuwa mlezi wa Pamba Jiji ni baadae
Simba sc ndo picha ya mpira wa TzHuwa anaenda
Ila ndo ivo wewe Huwa unaisubiri Yanga na Simba
Nahii ndio picha yenyeweSimba sc ndo picha ya mpira wa Tz
Wanaumbuka leoNahii ndio picha yenyeweView attachment 3158418
Kwani JD ya mkuu wa mkoa inasema timu au kikundi cha michezo kikiingia mkoani kwake ni lazima akitembelee au akutane nacho? Acheni kuingiza siasa kwenye mpira nyie vyura wa matopeniViongozi wa Simba mmeonesha ni jinsi Gani mlivyo watu wa matukio na madeko
Hamjui kuwa mkuu wa mkoa ndo Rais wa mkoa katika mkoa wake
Utamzuiaje mkuu wa mkoa kuingia uwanjani ulio ndani ya mkoa wake kama sio dharau Kwa mamlaka
Mmekaribishwa vizuri Mwanza, Sasa mnazua taharuki na kujifanya mko juu ya mamlaka ya sehemu husika
Kuna viongozi wa Simba walihukumiwa kifungo cha maisha Kwa kujihisisha na madawa ya kulevya,
Sasa mkuu wa Mkoa kama alipata taarifa za kuwepo uharifu huu, mlitaka police wasifike kukagua
Kwani mazoezi Yana Siri Gani, hadi uzuie mamlaka zisifike, mazoezi ya mpira ni faragha kama ngono, si mfanyie hayo mazoezi chumbani.
Mkuu wa mkoa msimdharau kisa eti ni Simba, yeye Yuko huru kuja hadi hapo hotelini au popote mlipo kufanya ukaguzi na kujihakikishia amani katika mkoa wake ipo ya kutosha
Yaani mpeleke nganda, ushirikina na fujo Mwanza halafu msiguswe, hiyo haiwezekani
Mheshimiwa Mtandana piga kazi
Huyo mkuu wa mkoa hajitambui kwasababu ni shabik nyuma mwiko hajui madhara ya yeye kwenda wanjanMkuu wa Mkoa hawezi kuzuiwa na mtu yeyote wewe Mzee..