DeMostAdmired JF-Expert Member Joined Oct 7, 2017 Posts 1,579 Reaction score 3,798 Nov 22, 2024 #61 ngara23 said: Kuna kocha wa makipa Simba alihukumiwa kifungo cha maisha Kwa kujihisisha na madawa ya kulevya Click to expand... Ni mara zote timu zikiendaga mwanza wanakuga wanakagua kama jana?
ngara23 said: Kuna kocha wa makipa Simba alihukumiwa kifungo cha maisha Kwa kujihisisha na madawa ya kulevya Click to expand... Ni mara zote timu zikiendaga mwanza wanakuga wanakagua kama jana?
ngara23 JF-Expert Member Joined Aug 31, 2019 Posts 9,091 Reaction score 21,087 Nov 22, 2024 Thread starter #62 DeMostAdmired said: Ni mara zote timu zikiendaga mwanza wanakuga wanakagua kama jana? Click to expand... Ukaguzi Huwa unafanyika mara Kwa mara
DeMostAdmired said: Ni mara zote timu zikiendaga mwanza wanakuga wanakagua kama jana? Click to expand... Ukaguzi Huwa unafanyika mara Kwa mara
ngara23 JF-Expert Member Joined Aug 31, 2019 Posts 9,091 Reaction score 21,087 Nov 22, 2024 Thread starter #63 cj21125 said: Kwani JD ya mkuu wa mkoa inasema timu au kikundi cha michezo kikiingia mkoani kwake ni lazima akitembelee au akutane nacho? Acheni kuingiza siasa kwenye mpira nyie vyura wa matopeni Click to expand... Sio laZima vile vile sio marufuku
cj21125 said: Kwani JD ya mkuu wa mkoa inasema timu au kikundi cha michezo kikiingia mkoani kwake ni lazima akitembelee au akutane nacho? Acheni kuingiza siasa kwenye mpira nyie vyura wa matopeni Click to expand... Sio laZima vile vile sio marufuku
INJECTION TECHNICIAN JF-Expert Member Joined Jan 9, 2020 Posts 356 Reaction score 794 Nov 22, 2024 #64 DeMostAdmired said: Anataka watu wajae kwenye thread yake Hana la maana lingine Click to expand... Upo sahihi mkuu ngoja nimuache na ujinga waje
DeMostAdmired said: Anataka watu wajae kwenye thread yake Hana la maana lingine Click to expand... Upo sahihi mkuu ngoja nimuache na ujinga waje
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Nov 22, 2024 #65 Fifa kasikia upuzi kama huu wanazifungilia mbali nchi kujihusisha na mipira Ova
N Nzagambaaa JF-Expert Member Joined Jan 22, 2023 Posts 1,135 Reaction score 1,826 Nov 22, 2024 #66 ngara23 said: Mkuu wa mkoa alipata taarifa za kuwepo uharifu Akafika Simba wanazuia asiingie uwanjani Click to expand... Makoloo popote walipo fyekaa ndani,wawekeewe na KY jelly
ngara23 said: Mkuu wa mkoa alipata taarifa za kuwepo uharifu Akafika Simba wanazuia asiingie uwanjani Click to expand... Makoloo popote walipo fyekaa ndani,wawekeewe na KY jelly
econonist JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 20,189 Reaction score 29,663 Nov 22, 2024 #67 Tunashabikia ujinga kisa kafanyiwa Simba. Sawa , ila madhara ya kuingiza Siasa kwenye mpira ni ujinga Sana.
Tunashabikia ujinga kisa kafanyiwa Simba. Sawa , ila madhara ya kuingiza Siasa kwenye mpira ni ujinga Sana.